Radio Tadio

Miundombinu

9 Disemba 2023, 13:34

Kyela:Barabara 21 zakarabatiwa Butihama

Pichani ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Butihama hapa wilayani Kyela Yohana Mwambungu akiwa katika moja ya makaravati mapya yaliyojengwa.Picha na James Mwakyembe. Wananchi wa kitongoji cha Butihama wameipongeza serikali kwa kufanikisha ujenzi wa barabara 21 pamoja na makaravati 14 hali…

9 Disemba 2023, 11:55 mu

KIA kuwekwa taa za kisasa

Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini (TAA) inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya viwanja vya ndege hapa nchini huku uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ukiwekwa taa za kisasa. Na Elizabeth Mafie Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini…

7 Disemba 2023, 1:43 um

Ndege kuruka saa 24 Arusha

Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…

4 Disemba 2023, 4:45 um

Ujenzi daraja la Munguri kuanza Januari mwakani

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema daraja hilo ni lazima lijengwe kwa kuwa ni daraja la kitaifa. Na Nizar Mafita. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amethibitisha  ujenzi wa daraja la Munguri kuanzia mwezi Januari mwakani. Akitoa maelezo mafupi kwa Waziri…

2 Disemba 2023, 3:41 um

RC Katavi apiga marufuku shughuli katika hifadhi ya barabara

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na Wajumbe katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa hatua zaidi ziweze kuchukuliwa kwa Wananchi watakaobainika kufanya Shughuli zilizo kinyume katika hifadhi ya Barabara. Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…

19 Novemba 2023, 4:37 um

Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA

 TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka   kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…

17 Novemba 2023, 11:55 mu

Prof Kabudi akabidhi mradi wa kukabarati barabara Kilosa

Serikali imeendelea kuwafikia wananchi waishio vijijini  kwa kuwasogozea nyanja za ufunguzi wa maendeleo hususani katika ukarabati wa barabara kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) ambapo zinakwenda kuwaunganisha wananchi pamoja na kuwainua kiuchumi kwenye kilimo ambayo watayasafirisha hadi…