Miundombinu
9 Disemba 2023, 13:34
Kyela:Barabara 21 zakarabatiwa Butihama
Pichani ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Butihama hapa wilayani Kyela Yohana Mwambungu akiwa katika moja ya makaravati mapya yaliyojengwa.Picha na James Mwakyembe. Wananchi wa kitongoji cha Butihama wameipongeza serikali kwa kufanikisha ujenzi wa barabara 21 pamoja na makaravati 14 hali…
9 Disemba 2023, 11:55 mu
KIA kuwekwa taa za kisasa
Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini (TAA) inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya viwanja vya ndege hapa nchini huku uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ukiwekwa taa za kisasa. Na Elizabeth Mafie Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini…
7 Disemba 2023, 3:33 um
Serikali yaruhusu sekta binafsi kuanzisha safari za treni reli ya mwendokasi
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa usafirishaji jijini Arusha. Picha na Anthony Masai “Sheria ya reli namba 17 imefanyiwa marekebisho ambapo kwa sasa inaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika miundombinu ya reli“. Na Anthony…
7 Disemba 2023, 1:43 um
Ndege kuruka saa 24 Arusha
Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…
6 Disemba 2023, 12:41 um
Mvua yaleta athari katika baadhi ya maeneo jijini Dodoma
Tukio hilo limetokea Usiku wa Kumkia Disemba 5 baada ya Mvua kubwa kunyesha jijini Dodoma na kusababisha eneo hilo kujaa maji na kusababisha baadhi ya nyumba kubomoka. Na Seleman Kodima. Mtu mmoja amejeruhiwa huku Zaidi ya Nyuma Tano za Mtaa…
6 Disemba 2023, 11:44 mu
Bahi Road walalamika kuziba kwa makaravati ya kupitisha maji ya mvua
Baadhi ya wafanyabiashara wa eneo hilo wamelalamika kushindwa kuendelea na biashara zao kutokana na maji kuzingira eneo hilo. Na Khadija Ibrahim. Wafanyabiashara katika mtaa wa Bahi road Jijini Dodoma wamelalamikia ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo hilo kilichosababisha kuziba…
4 Disemba 2023, 4:45 um
Ujenzi daraja la Munguri kuanza Januari mwakani
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema daraja hilo ni lazima lijengwe kwa kuwa ni daraja la kitaifa. Na Nizar Mafita. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amethibitisha ujenzi wa daraja la Munguri kuanzia mwezi Januari mwakani. Akitoa maelezo mafupi kwa Waziri…
2 Disemba 2023, 3:41 um
RC Katavi apiga marufuku shughuli katika hifadhi ya barabara
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na Wajumbe katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa hatua zaidi ziweze kuchukuliwa kwa Wananchi watakaobainika kufanya Shughuli zilizo kinyume katika hifadhi ya Barabara. Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
19 Novemba 2023, 4:37 um
Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA
TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…
17 Novemba 2023, 11:55 mu
Prof Kabudi akabidhi mradi wa kukabarati barabara Kilosa
Serikali imeendelea kuwafikia wananchi waishio vijijini kwa kuwasogozea nyanja za ufunguzi wa maendeleo hususani katika ukarabati wa barabara kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) ambapo zinakwenda kuwaunganisha wananchi pamoja na kuwainua kiuchumi kwenye kilimo ambayo watayasafirisha hadi…