Migogoro
11 Oktoba 2023, 15:53
Mgogoro wa ardhi Mbeya wasababisha mapigano, polisi watumia mabomu
Jeshi la polisi limejikuta likitumia nguvu kwa kutumia mabomu ya machozi kuwaondoa wananchi hali iliyoleta taharuki ya mapigano kati ya wananchi na jeshi la polisi. Na Sifael Kyonjola Mtaa wa Gombe kata ya Itezi jijini Mbeya umegeuka uwanja wa mapambano…
4 Oktoba 2023, 12:12 mu
Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria
wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…
29 Septemba 2023, 10:30 um
Bodaboda Geita wagoma kuzika wakiwadai rambirambi viongozi wao
Suala la kupewa pesa pungufu unapotokea msiba wa bodaboda mwenzao katika chama cha bodaboda mkoa wa Geita, limewaibua bodaboda hao na kuamini viongozi wao wana kawaida ya kula rambirambi. Na Zubeda Handrish- Geita Waendesha boda boda mkoani Geita wamegoma kufanya…
6 Septemba 2023, 11:46 mu
Mke achukuliwa vitu vya ndani bila ya mume kujua, akidaiwa mkopo
Matukio ya watu waliochukua mikopo katika makampuni ya kukopesha fedha na kushindwa kurejesha fedha hizo yamekithiri, huku tukio la mke kukopa bila ya kumshirikisha mume na kushindwa kurejesha na kuchukuliwa vitu vya ndani limeacha watu vinywa wazi. Na Zubeda Handrish-…
24 Agosti 2023, 8:39 mu
Wakulima Kasokola walizwa na mifugo
MPANDA Baadhi ya wakulima katika kata ya Kasokola halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia wafugaji kulisha mifugo kwenye mazao yao hali ambayo inawarudisha nyuma kiuchumi. Wamebainisha hayo katika mkutano wa hadhara mbele ya mkuu wa wilaya ya Mpanda…
18 Agosti 2023, 10:06 mu
Sakata bwawa la Milala lazidi kufukuta
MPANDA Wananchi wa kitongoji cha Bwawani mtaa wa Kigamboni wanaoishi pembezoni mwa bwawa la Milala mkoani Katavi wamelalamikia ucheleweshwaji wa fidia na taarifa kuhusu makazi yao, ambayo walisimamishwa kufanya shughuli zote za kimaendeleo. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao…
17 Agosti 2023, 6:04 um
Wakazi wa Misisi Bunda waiomba serikali kuingilia kati nyumba kubomoka
“Serikali itusaidie kampuni ya ujenzi ya China iturekebishie nyumba zetu zilizoharibika wakati wakilipua miamba kutengenezea barabara ya Nyamuswa” wakazi wa Misisi wilaya ya Bunda Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Misisi kata ya Sazira Halmashauri ya Mji wa Bunda…
9 Agosti 2023, 7:13 mu
Kapufi aahidi kushughulikia mgogoro bwawa la Milala
MPANDA Baadhi ya wakazi wa kata ya Minsukumilo ambao walipisha kufanya shughuli za uzalishaji pembezoni mwa bwawa la milala wameomba kupata hatma yao mara baada ya kupisha uendelezaji. Wameyasema hayo wakati wa ziara ya mbunge wa Jimbo la Mpanda mjini…
21 Julai 2023, 9:12 um
Mikakati kupambana na wanyama waharibifu yawekwa wazi Bunda
Kuongeza magari, kuweka uzio wa waya na kuongeza vituo vya vikosi vya kudhibiti wanyamapori waharibifu ni miongoni mwa mikakati iliyojadiliwa katika kusaidia kilio cha wananchi wanaopakana na hifadhi ya Serengeti jimbo la Bunda. Na Edward Lucas Mkuu wa Wilaya ya…
Julai 3, 2023, 12:43 um
Tanzania yapokea wakimbizi 11,049 toka DRC ndani ya miezi mitano
Mkurugenzi idara ya huduma kwa wakimbizi nchini Tanzania Bw. Suddy Mwakibisa amesema serikali ya Tanzania imepokea waomba hifadhi 11,049 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Mei 30 2023. Na; Amina Semagogwa Serikali ya Tanzania …