Migogoro
6 April 2023, 9:57 am
Mkazi wa Ibindi Ajinyonga Nyumbani Kwake
KATAVI Mtu mmoja anayefamika kwa jina la Aden Mwakipesile mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji cha Ibindi wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake usiku wa kuamkia April 4. Mke wa marehemu Letisia Deus…
6 April 2023, 8:46 am
Serikali Kutatua Mgogoro wa Kagera Group Dhidi ya Wanakijiji Dirifu
MPANDA Serikali imehaidi kutatua mgogoro uliopo kati ya bodi ya kagera group na wanakijiji wa dirifu kata ya magamba ,manispaa ya mpanda mkoani katavi. Hayo yamesemwa na katibu tawala wa manispaa ya Mpanda Kenneth Pesambili akimwakilisha mkuu wa wilaya ya…
15 March 2023, 11:57 am
Diwani Magamba Atoa Sikumbili kwa Kikundi cha Kagera Group Kurahisisha Uchaguzi
MPANDA Diwani wa kata ya magamba ametoa siku mbili kwa Uongozi wa kikundi cha kagera group kuwasilisha taarifa ya uendeshaji wa kikundi hicho ili kurahisisha agenda ya uchaguzi kuziba nafasi za viongozi waliovuliwa nyadhifa zao. Agizo hilo limetolewa na diwani…
9 March 2023, 12:39 pm
Mkuu wa mkoa wa Dodoma atatua mgogoro wa wakulima na wafugaji
Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa vijiji vya Izava na Chitego vilivyopo katika wilaya za Kongwa na Chamwino. Na Alfred Bulahya. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa…
4 March 2023, 5:49 pm
Mbunge wa Mpanda Mjini Ataka Elimu kwa Wachimbaji Wadogo wa Madini
MPANDA Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastian Kapufi ameitaka sekta ya madini mkoani Katavi kutoa ELimu ya kutambua maeneo ya njia ya mtandao, nukta majira kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kuondoa migogoro ya maeneo iliyoanza kujitokeza kwa wachimbaji…
27 February 2023, 3:44 pm
MEYA: Tamko Mgomo Madereva Daladala Iringa
Kufuatia mgomo wa madereva daladala siku ya leo katika halmshauri ya manispaa ya Iringa, madereva wa pikipiki za miguu mitatu maarufu bajaj,wameelezwa kuwa sababu ya mgomo huo. Na Hawa Mohammed. Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani manispaa ya Iringa…
1 February 2023, 3:56 pm
Rorya: Adaiwa kuuawa na mumewe kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali
Bashiri Kichere Nyitati mkazi wa Kibuyi Kata ya Nyamunga Wilaya ya Rorya Mkoani Mara anasakwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Mke wake Sesilia au Kulwa Cosmas Wang’anga kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali…
3 November 2022, 5:48 am
Anusurika Kifo Baada ya Kuchomwa Kisu na Mumewe (Diwani)
KATAVI Mwanamke anaefahamika kwa majina ya Restuta Januari (Miaka 41) mkazi wa Kata ya Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi amenusurika kifo baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake na anae tajwa kuwa ni…
11 August 2022, 7:41 am
Waziri Mabula Awaonya Viongozi Wa Vijiji Na Vitongoji Ambao Ndio Vinara Wa Kucho…
WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi Angelina Mabula ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji wanaokuwa chachu ya migogoro kwa kuuza ardhi zaidi ya mara moja ili kujinufaisha matumbo Yao Hali…
27 January 2022, 3:34 pm
Ucheleweshaji wa miradi hurudisha nyuma matumaini ya wananchi
Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea mwitikio wa wananchi kuchangia nguvu kazi katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo kuwa mdogo ni pamoja na baadhi ya viongozi kusuasua kukamilisha miradi hiyo. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya…