Radio Tadio

Migogoro

6 April 2023, 9:57 am

Mkazi wa Ibindi Ajinyonga Nyumbani Kwake

KATAVI Mtu mmoja anayefamika kwa jina la Aden Mwakipesile mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji cha Ibindi wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake usiku wa kuamkia April 4. Mke wa marehemu Letisia Deus…

27 February 2023, 3:44 pm

MEYA: Tamko Mgomo Madereva Daladala Iringa

Kufuatia mgomo wa madereva daladala siku ya leo katika halmshauri ya manispaa ya Iringa, madereva wa pikipiki za miguu mitatu maarufu bajaj,wameelezwa kuwa sababu  ya mgomo  huo.  Na Hawa Mohammed. Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani manispaa ya Iringa…

3 November 2022, 5:48 am

Anusurika Kifo Baada ya Kuchomwa Kisu na Mumewe (Diwani)

KATAVI Mwanamke anaefahamika kwa majina ya Restuta Januari (Miaka 41) mkazi wa Kata ya Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi amenusurika kifo baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake na anae tajwa kuwa ni…

27 January 2022, 3:34 pm

Ucheleweshaji wa miradi hurudisha nyuma matumaini ya wananchi

Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea mwitikio wa wananchi kuchangia nguvu kazi katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo kuwa mdogo  ni pamoja na baadhi ya viongozi kusuasua kukamilisha miradi hiyo. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya…