Radio Tadio
Migogoro
29 June 2021, 12:56 pm
Tanzania yazindua mpango wa Tatu wa maendeleo ya Taifa
Na;Yussuph Hans. Tanzania imezindua mpango wa tatu wa Maendeleo kwa Taifa wa miaka mitano 2021 – 2026. Mpango wa tatu wa maendeleo ya Taifa umegharimu Tsh Trilion 114.8, sekta binafsi ikichangia Tsh Trilion 40.6 huku sekta ya umma ikichangia Tsh…