Migogoro
5 Januari 2026, 16:46
Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…
19 Disemba 2025, 15:14
Serikali kuhakikisha watoto wanaoishi mazingira magumu wanafikiwa
Serikali ilichukua hatua ya haraka ya kufuatilia hali ya mtoto huyo baada ya kupata taarifa hizo kwa kumtafuta Bibi wa mtoto huyo katika hospitali ya Agha Khan jijini Dodoma. Na Mariam Matundu. Serikali imeendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote…
18 Disemba 2025, 16:10
Mahudhurio hafifu mkutano wa mtaa mwenyekiti avunja kikao
Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…
13 Disemba 2025, 8:45 um
Milion 330.7 kujenga shule mpya Nyasura
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…
8 Disemba 2025, 17:02
Viongozi wapya wataja vipaumbele kuboresha huduma kwa wananchi
Picha ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula wakati wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ikumbukwe kuwa, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, Madiwani…
8 Disemba 2025, 16:28
Uwajibikaji, ushirikiano, weledi vyatajwa kuwa nguzo muhimu kwa madiwani
Picha ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaji Jabir Shekimweri katika mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Shekimweri amesisitiza umuhimu wa madiwani kushirikiana na watendaji wa halmashauri katika kutekeleza miradi ya…
14 Oktoba 2025, 12:36
Mvua zatatiza shughuli Idifu, wananchi waomba daraja
Hali hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wakulima na wafanyabiashara hasa msimu wa masika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Mugu na Mjiha, vilivyopo Kata ya Idifu, Wilaya ya Chamwino, wameiomba serikali kujenga daraja katika eneo la Nyika, ambalo…
14 Oktoba 2025, 12:13
Changamoto ya maji Chanhumba karibu kutatuliwa
Hatua ya kufungwa kwa transifoma mpya katika kijiji cha Chanhumba italeta faraja kwa wananchi waliokuwa wakikabiliwa na upungufu wa maji. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Chanhumba, Kata ya Handali, Wilaya ya Chamwino, wameanza kupata matumaini juu ya utatuzi…
9 Oktoba 2025, 17:17
Wanawake, vijana na wenye ulemavu wapata elimu ya mikopo
Picha ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, wakati akifungua mafunzo kwa vikundi , katika ukumbi wa Nala Hotel, Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.Dkt. Kazungu amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza ujuzi na maarifa…
9 Oktoba 2025, 10:31
Kanda namba tatu yatoa elimu ya mapato Mbalawala
Picha ni baadhi wa wananchi wakiwa na mifugo yao katika Mnada wa Mbalawala. Picha na Lilian Leopold. Katika ziara hiyo, timu ya watumishi wa kanda ilishiriki katika shughuli za makusanyo ya ushuru wa mifugo, biashara ndogo ndogo, pamoja na utoaji…