Radio Tadio

Migogoro

4 March 2023, 5:49 pm

Mbunge wa Mpanda Mjini ataka elimu kwa wachimbaji wadogo

MPANDA Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastian Kapufi ameitaka sekta ya madini mkoani Katavi kutoa ELimu ya kutambua maeneo ya njia ya mtandao, nukta majira kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kuondoa migogoro ya maeneo iliyoanza kujitokeza kwa wachimbaji…

27 February 2023, 15:44

MEYA: Tamko Mgomo Madereva Daladala Iringa

Kufuatia mgomo wa madereva daladala siku ya leo katika halmshauri ya manispaa ya Iringa, madereva wa pikipiki za miguu mitatu maarufu bajaj,wameelezwa kuwa sababu  ya mgomo  huo.  Na Hawa Mohammed. Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani manispaa ya Iringa…

3 November 2022, 5:48 am

Anusurika Kifo Baada ya Kuchomwa Kisu na Mumewe (Diwani)

KATAVI Mwanamke anaefahamika kwa majina ya Restuta Januari (Miaka 41) mkazi wa Kata ya Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi amenusurika kifo baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake na anae tajwa kuwa ni…

27 January 2022, 15:34

Ucheleweshaji wa miradi hurudisha nyuma matumaini ya wananchi

Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea mwitikio wa wananchi kuchangia nguvu kazi katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo kuwa mdogo  ni pamoja na baadhi ya viongozi kusuasua kukamilisha miradi hiyo. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya…

29 June 2021, 12:56

Tanzania yazindua mpango wa Tatu wa maendeleo ya Taifa

Na;Yussuph Hans. Tanzania imezindua mpango wa tatu wa Maendeleo kwa Taifa wa miaka mitano 2021 – 2026. Mpango wa tatu wa maendeleo ya Taifa umegharimu Tsh Trilion 114.8, sekta binafsi ikichangia Tsh Trilion 40.6 huku sekta ya umma ikichangia Tsh…