Radio Tadio

Migogoro

7 September 2026, 17:09

Mfumo wa stakabadhi ghalani wawanufaisha wakulima Chemba

Mfumo huo umepanua masoko na kuwawezesha wakulima kupata fedha taslimu kwa haraka na kwa wakati, huku ukisaidia wilaya kupata mapato yake kwa urahisi. Wakulima wametakiwa kuendelea kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora wa mazao na taratibu zilizowekwa ili…

7 September 2026, 16:26

Serikali yawekeza bil 67.9 kuboresha miundombinu ya TIA

Uwekezaji huo unaendelea kuonesha jitihada za Serikali katika kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu na kuhakikisha taasisi za elimu zinakuwa na mazingira bora ya kutoa mafunzo yenye kukidhi mahitaji ya soko la ajira na maendeleo ya Taifa. Na Anwary Shabani.  …

27 August 2026, 16:45

Tanzania kuwa na utoshelevu wa chakula 130% kufikia 2025/2026

TPHPA itaendelea kushirikiana na Serikali, wakulima, vijana, wanawake, wafanyabiashara, watafiti pamoja na taasisi mbalimbali za umma na binafsi, ikiwemo zisizo za Serikali, kuhakikisha udhibiti wa visumbufu unaimarishwa na Tanzania inakuwa na kilimo chenye tija na uzalishaji endelevu. Anwar Shabani, Tanzania…

18 August 2026, 16:40

Kaya maskini Dodoma kunufaika na TASAF

Utekelezaji wa mpango watatu unatarajiwa kugharimu dola za kimarekani Zaidi ya milioni 650 ambapo utanufaisha Zaidi ya kaya milioni 1.5 zenye uhitaji Tanzania bara na Zanzibar. Na Anwary Shaban. Kaya maskini jijini Dodoma zinatarajia kunufaika na  mfuko wa maendeleo ya…

5 August 2026, 16:43

Mixx by Yas kuunga mkono juhudi za kuimarisha sekta ya tiba asili nchini

Kwa kutoa msaada huo wa mawasiliano, Mixx by Yas inaendelea kuonesha dhamira yake ya kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kuboresha utoaji wa huduma na kuongeza ufanisi wa shughuli za maendeleo katika jamii. Na Anwar shabani.                                                Kampuni ya Mixx by Yas…

30 June 2026, 16:47

Sekta ya bima kuchangia asilimia 3 ya pato la taifa

TIRA inaendelea kusimamia sekta ya bima kwa kulinda maslahi ya wateja na kuimarisha huduma, ikiwa ni sehemu ya kufikia lengo la serikali la asilimia 3 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Na Bennard Filbert. Kufikia mwaka 2030, Serikali inalenga…

26 June 2026, 15:51

Maadhimisho Siku ya Ushirika kufanyika Julai 3-4 Dodoma

Siku ya Ushirika Duniani huadhimishwa kila mwaka Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai. Mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete kuanzia Julai 3 hadi 4. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…

4 June 2026, 18:26

Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges

Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…