Migogoro
4 June 2026, 18:26
Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges
Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…
1 June 2026, 17:20
Miradi 6 yenye thamani bil 1.6 yazinduliwa na mbio za mwenge Mpwapwa
Mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2026 zinabebwa na kaulimbiu isemayo Tanzania ni yetu sote tushikamane Kwa pamoja kuleta maendeleo. Na Steven Noel. Jumla ya miradi sita yenye thamani ya shilingi Bilion 1.6 imezinduliwa kutembelea na kuwekewa mawe ya Msingi…
4 May 2026, 16:36
Watumishi wa umma watakiwa kuwa wadilifu Kigoma
Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza watumishi wa umma kwa kujitoa kikamilifu kuhakikisha Jamii inapata huduma bora ikiwemo elimu na afya hali ambayo imesaidia kuondoa migogoro iliyokuwa inatokana na kukosa huduma kwa wakati. Na Hagai Ruyagila Watumishi wa sekta ya umma na…
15 April 2026, 18:08
Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe
Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…
14 April 2026, 12:41
Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza uadilifu
Viongozi wa dini wana mchango mkubwa katika masuala ya ulinzi na usalama wa jamii kwani nafasi yao ina uzito kwa sababu wanaheshimiwa, wanaaminika, na wana uwezo wa kufikia watu wengi kwa urahisi. Na Hagai Ruyagila Viongozi wa dini katika Kata…
19 March 2026, 16:24
Watendaji wa mitaa kuimarisha ufuatiliaji wa ujenzi na biashara
Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…
13 February 2026, 16:29
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…
4 February 2026, 9:21 am
Mume ang’atwa mdomo kisa mchepuko
Baada ya kupatiwa matibabu. Picha na Anna Mhina “Niligongewa mlango saa tano za usiku “ Na Anna Mhina Kijana mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 mkazi wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata…
14 January 2026, 14:50
‘Kushiriki shughuli za maendeleo ni wajibu kwa mwananchi’
Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287 ( Mamlaka za Serikali za Mitaa- Wilaya) na Sura ya 288 ( Mamlaka za Serikali Mitaa- Miji) zinatambua na kusisitiza wananchi katika kupanga na kutekeleza miradi ya maendeleo, kuhudhuria mikutano ya vijiji…
13 January 2026, 13:27
Ukosefu wa elimu ya fedha changamoto kwa vijana
Picha ni mmoja wa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 kata ya Kizota jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Lengo la mkopo wa asilimia 10 wa halmashauri ni kusaidia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ili kukuza maendeleo…