Radio Tadio

Migogoro

18 August 2026, 16:40

Kaya maskini Dodoma kunufaika na TASAF

Utekelezaji wa mpango watatu unatarajiwa kugharimu dola za kimarekani Zaidi ya milioni 650 ambapo utanufaisha Zaidi ya kaya milioni 1.5 zenye uhitaji Tanzania bara na Zanzibar. Na Anwary Shaban. Kaya maskini jijini Dodoma zinatarajia kunufaika na  mfuko wa maendeleo ya…

5 August 2026, 16:43

Mixx by Yas kuunga mkono juhudi za kuimarisha sekta ya tiba asili nchini

Kwa kutoa msaada huo wa mawasiliano, Mixx by Yas inaendelea kuonesha dhamira yake ya kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kuboresha utoaji wa huduma na kuongeza ufanisi wa shughuli za maendeleo katika jamii. Na Anwar shabani.                                                Kampuni ya Mixx by Yas…

30 June 2026, 16:47

Sekta ya bima kuchangia asilimia 3 ya pato la taifa

TIRA inaendelea kusimamia sekta ya bima kwa kulinda maslahi ya wateja na kuimarisha huduma, ikiwa ni sehemu ya kufikia lengo la serikali la asilimia 3 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Na Bennard Filbert. Kufikia mwaka 2030, Serikali inalenga…

26 June 2026, 15:51

Maadhimisho Siku ya Ushirika kufanyika Julai 3-4 Dodoma

Siku ya Ushirika Duniani huadhimishwa kila mwaka Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai. Mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete kuanzia Julai 3 hadi 4. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…

4 June 2026, 18:26

Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges

Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…

4 May 2026, 16:36

Watumishi wa umma watakiwa kuwa wadilifu Kigoma

Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza watumishi wa umma kwa kujitoa kikamilifu kuhakikisha Jamii inapata huduma bora ikiwemo elimu na afya hali ambayo imesaidia kuondoa migogoro iliyokuwa inatokana na kukosa huduma kwa wakati. Na Hagai Ruyagila Watumishi wa sekta ya umma na…