
Migogoro

16 July 2025, 4:00 pm
Dira ya maendeleo 2050 kuzinduliwa Julai 17
Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo 2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…

14 July 2025, 7:35 pm
NMB yawa mkombozi kwa walimu Geita
Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na walimu ili kuwapunguzia baadhi ya changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wa benki hiyo kama mikopo yenye mashariti nafuu. Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kuendeleza ushirikiano na Benki ya NMB kutokana na mchango…

5 June 2025, 4:49 pm
Serikali yatoa bilioni 51 ukarabati wa miradi ya maendeleo Zanka
Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Samia Day yaliyofanyika katika Wilaya ya Bahi, Kata yaZanka, Mhe. Kasper amesema fedha hizo zimeboresha miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu na afya. Na Anwary Shaban . Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kasper Mmuya amesema…

7 April 2025, 5:18 pm
Miradi ya zaidi ya bilioni 7 yajengwa katika kata ya Miyuji Dodoma
Miradi hiyo ni mradi wa barabara ya lami inayounganisha kata hiyo na Ipagala, zahanati ya Mpamaa, Shule ya Sekondari miyuji, na sule ya msingi mlimwa C. Na Alfred Bulahya.Kamati ya siasa kata ya Miyuji ikiongozwa na Diwani wa kata hiyo…

11 February 2025, 5:14 pm
Wananchi Kiteto wataka bajeti itatue changamoto za afya, elimu
Rasimu hii ya Bajeti imepitishwa kutumika Elfu Mbili na ishirini na Tano (2025) ishirini na Sita(2026). Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameishauri Bajeti ya zaidi ya shilingi billioni 38 iliyopitishwa na Baraza la madiwani itatue changamoto zinazo wakabili katika sekta…

18 October 2024, 8:04 pm
Vitongoji 150 kupata umeme wa REA Dodoma
Na Mariam Matundu. Vitongoji mia moja na hamsini katika mkoa wa Dodoma vinatarajia kufikishiwa umeme wa REA kupitia mpango wa vijiji kumi na tano kila jimbo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameyasema hayo Oct. 18, 2024 wakati wa…

7 October 2024, 7:01 pm
Kongwa mfano wa kuigwa utekelezaji miradi ya maendeleo
Na Fred Cheti Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imekuwa kinara katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, amebainisha hayo katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Kongwa wakati akiambatana na…

20 September 2024, 7:51 pm
Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104 inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…

6 September 2024, 9:03 pm
Nala kusahau adha ya maji
Na Mindi Joseph . Wakazi wa Nala wataondokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa sasa kutokana na kukosekana kwa huduma thabiti ya maji safi. Wakieleza kwa nyakati tofauti, gharama zianazowakabili ni pamoja na gharama kubwa ya kupata huduma ya maji toka…

31 July 2024, 5:48 pm
Mpangilio wa maendeleo katika mtaa wa Swaswa
Wataalamu wamekwisha kuwasili kwaajili ya kuanza maboresho mara moja. Na Yussuph Hassan.Na leo moja kwa moja katika kipindi chetu cha FAHARI YA DODOMA tumeangazia moja ya mtaa maarufu unaopatikana jijini Dodoma unaojulikana kwa jina la Swaswa ambao tumekwisha kuona asili…