Migogoro
30 June 2026, 16:47
Sekta ya bima kuchangia asilimia 3 ya pato la taifa
TIRA inaendelea kusimamia sekta ya bima kwa kulinda maslahi ya wateja na kuimarisha huduma, ikiwa ni sehemu ya kufikia lengo la serikali la asilimia 3 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Na Bennard Filbert. Kufikia mwaka 2030, Serikali inalenga…
26 June 2026, 16:21
Serikali yaendelea kuchukua hatua kuimarisha huduma za ustawi wa jamii
Watu wenye ulemavu waliofikiwa wakiwa 3,266 lengo ni kuwajengea uwezo wazazi na walezi ili kuhakikisha watoto wanapata malezi bora. Na Mariam Matundu.Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuratibu vikao shirikishi vya kijamii…
26 June 2026, 15:51
Maadhimisho Siku ya Ushirika kufanyika Julai 3-4 Dodoma
Siku ya Ushirika Duniani huadhimishwa kila mwaka Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai. Mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete kuanzia Julai 3 hadi 4. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…
4 June 2026, 18:26
Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges
Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…
1 June 2026, 17:20
Miradi 6 yenye thamani bil 1.6 yazinduliwa na mbio za mwenge Mpwapwa
Mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2026 zinabebwa na kaulimbiu isemayo Tanzania ni yetu sote tushikamane Kwa pamoja kuleta maendeleo. Na Steven Noel. Jumla ya miradi sita yenye thamani ya shilingi Bilion 1.6 imezinduliwa kutembelea na kuwekewa mawe ya Msingi…
4 May 2026, 16:36
Watumishi wa umma watakiwa kuwa wadilifu Kigoma
Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza watumishi wa umma kwa kujitoa kikamilifu kuhakikisha Jamii inapata huduma bora ikiwemo elimu na afya hali ambayo imesaidia kuondoa migogoro iliyokuwa inatokana na kukosa huduma kwa wakati. Na Hagai Ruyagila Watumishi wa sekta ya umma na…
15 April 2026, 18:08
Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe
Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…
14 April 2026, 12:41
Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza uadilifu
Viongozi wa dini wana mchango mkubwa katika masuala ya ulinzi na usalama wa jamii kwani nafasi yao ina uzito kwa sababu wanaheshimiwa, wanaaminika, na wana uwezo wa kufikia watu wengi kwa urahisi. Na Hagai Ruyagila Viongozi wa dini katika Kata…
19 March 2026, 16:24
Watendaji wa mitaa kuimarisha ufuatiliaji wa ujenzi na biashara
Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…
13 February 2026, 16:29
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…