
Migogoro

November 23, 2023, 12:24 pm
Waziri Silaa amaliza mgogoro wa mpaka kati ya Makete na Wanging’ombe
Kutokana na kudumu kwa muda mrefu kuhusu mpaka kati ya Makete na Wanging’ombe imetafutiwa ufumbuzi wa tatizo hilo ambao ulikuwa kizungumkuti. na Gift kyando Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mh Jerry Silaha hii leo ametatua mgogoro wa…

29 October 2023, 8:21 pm
TAKUKURU yaagizwa kumchunguza mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Geita
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya mji wa Geita limeonesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Cornel Magembe ameiagiza taasisi ya Kuzuia na Kupambana…

26 October 2023, 8:47 pm
RC Mtanda; Wanaotakiwa kumaliza mgogoro huu ni wananchi wenyewe
Mkuu wa mkoa wa Mara Mhe Saidi Mohamed Mtanda amewataka wananchi wa Vijiji vya Mekomariro kutoka Wilaya ya Bunda na Remong’orori kutoka Wilaya ya Serengeti kuhakikisha wanakaa na kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa…

October 23, 2023, 11:55 am
Amuua kaka yake kisa shamba la urithi
Matukio ya mauaji ya watu wakigombea mali za urithi yameshamiri kwa mikoa ya Kanda ya ziwa hasa yakiwahusisha ndugu wa karibu, ambapo wananchi wamelimba jeshi la polisi kwa kushirikiana na asasi za Kiraia wanalojukumu la kuzidi kutoa elimu zaidi dhiidi…

14 October 2023, 11:20 am
Wananchi Kasokola wauomba uongozi kumaliza migogoro ya wafugaji, wakulima
Wananchi wa kitongoji cha Ivungwe B kata ya kasokola wameuomba uongozi wa kata hiyo kumaliza migogoro baina ya wafugaji na wakulima Na Ben Gadau – MpandaBaadhi ya wananchi wa kitongoji cha Ivungwe B kata ya kasokola wameuomba uongozi wa kata…

11 October 2023, 15:53
Mgogoro wa ardhi Mbeya wasababisha mapigano, polisi watumia mabomu
Jeshi la polisi limejikuta likitumia nguvu kwa kutumia mabomu ya machozi kuwaondoa wananchi hali iliyoleta taharuki ya mapigano kati ya wananchi na jeshi la polisi. Na Sifael Kyonjola Mtaa wa Gombe kata ya Itezi jijini Mbeya umegeuka uwanja wa mapambano…

4 October 2023, 12:12 am
Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria
wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…

29 September 2023, 10:30 pm
Bodaboda Geita wagoma kuzika wakiwadai rambirambi viongozi wao
Suala la kupewa pesa pungufu unapotokea msiba wa bodaboda mwenzao katika chama cha bodaboda mkoa wa Geita, limewaibua bodaboda hao na kuamini viongozi wao wana kawaida ya kula rambirambi. Na Zubeda Handrish- Geita Waendesha boda boda mkoani Geita wamegoma kufanya…

6 September 2023, 11:46 am
Mke achukuliwa vitu vya ndani bila ya mume kujua, akidaiwa mkopo
Matukio ya watu waliochukua mikopo katika makampuni ya kukopesha fedha na kushindwa kurejesha fedha hizo yamekithiri, huku tukio la mke kukopa bila ya kumshirikisha mume na kushindwa kurejesha na kuchukuliwa vitu vya ndani limeacha watu vinywa wazi. Na Zubeda Handrish-…

24 August 2023, 8:39 am
Wakulima Kasokola walizwa na mifugo
MPANDA Baadhi ya wakulima katika kata ya Kasokola halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia wafugaji kulisha mifugo kwenye mazao yao hali ambayo inawarudisha nyuma kiuchumi. Wamebainisha hayo katika mkutano wa hadhara mbele ya mkuu wa wilaya ya Mpanda…