Radio Tadio

Mawasiliano

19 January 2024, 6:44 pm

Chande: Mabadiliko Posta lazima, dunia ya sasa ni kidijitali

“kuhusu usafirishaji wa mizigo,tumeshafungua vituo  vya utimilifu Arusha,Zanzibar,Dodoma na Dar es Salaam ili ndani ya siku mbili mtu akiwa sehemu yoyote duniani anapokea mzigo wake“ Na. Anthony Masai. Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Maharage Chande amesema,hakuna namna ambavyo…

12 January 2024, 16:32

Mawasiliano wilayani Buhigwe ni changamoto kubwa

Halmashauri  ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, na Baadhi ya Maeneo ya Wilaya Zinazopakana na Nchi Jirani za Burundi na Congo, zinakabiliwa na Changamoto ya mawasiliano kwa kuwa na Mwingiliano na Nchi Hizo hatua inayokwamisha  ufanisi  katika utendaji kazi kwa…

10 January 2024, 6:57 pm

Naibu waziri wa Habari atoa maagizo kwa wakandarasi nchini

Serikali ya awamu ya sita imejidhatiti katika kuimarisha mawasiliano nchini kwa kuongeza kasi ya ujenzi wa minara na vituo vya kuongeza nguvu ya mawasiliano. Na Mrisho Sadick – Chato Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandis Kundo…

8 December 2023, 8:53 am

Wananchi walia na waya uliopita chini kwenye makazi yao

Changamoto ya nyaya zilizopitishwa chini ya nyumba za watu kinyemela zimezua taharuki kwa wakazi wa Tambukareli mjini Geita. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala mjini Geita wanaoishi pembezoni mwa Barabara ya Q…

2 October 2023, 5:55 pm

Mapogoro walia kukosa huduma ya mawasiliano

Kukosekana kwa mawasiliano ya kutosha kunapelekea baadhi ya wananchi hasa waishio vijijini kushindwa kuwasiliana na ndugu zao pamoja na uzalishaji mali kudorola na kushindwa kufikia malengo yao. Na Mwanaisha Makumbuli Baadhi ya wanakijiji wa Mapogoro halmashauri ya wilaya ya Chunya…

27 September 2023, 15:21

UCSAF kupeleka mawasiliano katika kata 1900 Nchini

Mfuko wa Mawasiliano kwa wote UCSAF umeendelea na jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ambapo kwa kpindi cha mwaka mmoja julai 2022 hadi june 2023 umejenga minara 304. Na Mariam Matundu. Mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umesaini…

12 September 2023, 8:16 am

Wanajamii kunufaika na intaneti Nyasa

lengo la mradi huo ni kuhakikisha jamii hasa vijijini wanapata huduma ya intanenti yenye kasi na gharama zinazoweza kufikiwa na watu wote Mkurugenzi wa Tzcna Dr Matogolo jabhera akifunga kifaa cha kusaidia upatikanaji wa intaneti katika shule ya sekondari luhangarasi…