Radio Tadio

Mawasiliano

13 June 2025, 5:12 pm

Zingatieni sheria na miongozo ya uchimbaji-DC Mpanda

“Changamoto zilizopo ni kutokutekelezwa kwa sheria ya usalama mahala pa kazi” Na Anna Mhina Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewataka wachimbaji wa madini kuzingatia sheria na miongozo ya uchimbaji ili kutosababisha madhara yanayoweza kuepukika. Jamila ameyasema hayo kwenye…

8 May 2025, 13:56

Kilio kisichosikika utelekezaji watoto Kigoma

Kwa mujibu wa Takwimu za Ofisi ya Ustawi wa Jamii, kati ya mwezi March hadi April mwaka 2025 pekee kuna zaidi ya watoto 150 walitelekezwa katika Wilaya ya Kigoma. Hii leo wengi wa watoto hawa wanaishi mtaani, hawawajui wazazi wao…

18 December 2024, 7:09 pm

Zimamoto Mara watoa tahadhari kuelekea sikukuu

Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mara limewataka wananchi wote kuchukua tahadhari za usalama kuelekea sikukuu za kufunga mwaka 2024. Na Adelinus Banenwa Akizungumza kupitia kipindi cha Duru za habari ndani ya studio za radio Mazingira Fm Mrakibu wa…

10 October 2024, 5:11 pm

Zaidi ya wananchi 350 Manyara wapatiwa huduma ya macho

Mganga mfawidhi wa hospital ya halmashauri ya mji wa Babati(Mrara) Dr Gillian Francis  Lupembe amesema Idadi ya wagonjwa waliokwenda kupata huduma ya matibabu ya macho  imekuwa kubwa kutokana na  watu wengi wanachangamoto  ya uoni. Na Marino Kawishe Zaidi ya wananchi…

6 October 2024, 5:21 pm

Moses akutwa na baiskeli aliyoiba kanisani Sengerema

Jamii imekua haiwaamini vijana kutokana na kuwa na tamaa ya mali za haraka jambo lililopelekea kuwa wadokozi na wezi wa vitu mbalimbali kwenye maeneo yao. Na;Emmanuel Twimanye Kijana  mmoja mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa na  Jeshi la Polisi jamii…

19 July 2024, 17:29

UWSA Mbeya kuongeza mtandao wa maji taka

Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka  na kukarabati ili kuwafikia  wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi  na usafi wa…

28 May 2024, 5:28 pm

Halmashauri ya Ushetu yapata hati safi

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ushetu Gagi Lala akiwa katika baraza la madiwani (picha na Sebastian Mnakaya ) usimamizi wa ukusanyaji wa mapato umekwenda vizuri ukilinganishwa na mwaka wa fedha 2022/2023 ambao ukusanyaji ulikuwa mbovu mpaka kusababisha kupata hati chafu na…

24 January 2024, 21:29

Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini

Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…