Mawasiliano
11 November 2022, 05:24
Kauli ya Nape malalamiko ya kupunjwa ‘bando’
Waziri wa Mawasiliano Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape amesema wizara yake imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuwaita watoa huduma baada ya kutokea sintofahamu ya bei ya vifurushi. Spika Dk Tulia Ackson amemtaka Waziri huyo kufafanua uwepo wa utata…
27 October 2022, 10:35
Wakazi wa Gulwe wakosa mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…
25 October 2022, 16:02
Mikoa Mitano Yaongoza Kuwa Na Laini Za Simu Zinazotumika
Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika, ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa mitano nchini…
14 April 2021, 09:48
Jamii imetakiwa kujali na kuwathamini watoto wanao ishi na kufanya kazi mtaani
Na Mariam Kasawa Imeelezwa kuwa mtoto anae ishi mtaani ana haki ya kupata haki zote za msingi kama anazopatiwa mtoto mwingine ili kumkinga na maovu. Akizungumza na Kapu kubwa la Dodoma fm Afisa ustawi wa jamii ngazi ya mtaani wa…