Mawasiliano
7 September 2023, 1:50 pm
Tume ya Utangazaji Zanzibar yasitisha matangazo ya Adhana FM
Ni Baada ya Masafa yake Kuingiliana Masafa ya Anga Na Harith Subeit Zanzibar Kituo cha Radio Adhana Fm kilichopo mtaa wa Rahaleo Zanzibar kimesitisha matangazo yake kupitia masafa ya 104.09 FM kutokana na masafa hayo kuingiliana na masafa ya mawasiliano…
28 August 2023, 17:45
Serikali yakamilisha ujenzi wa minara 304 ndani ya Mwaka mmoja.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) unaendelea na ukaguzi wa minara yote iliyowashwa ili kuona utendaji kazi wake unakidhai vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mikataba Na Selemani Kodima Katika kuendelea kutatua changamoto za mawasiliano nchini ,Serikali imefanikiwa kukamilisha miradi ya mawasiliano …
21 July 2023, 12:02
Kigoma: Wananchi watakiwa kuacha shughuli karibu na hifadhi za barabara
Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika ya hifadhi za barabara Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka wakazi wa Mkoani hapa kufuata sheria…
14 July 2023, 4:05 pm
Storm FM yaendelea kujengewa uwezo na TADIO
Mtandao wa Redio Jamii wa TADIO umeendelea kuziimarisha redio hizo kwendana na wakati hususani katika kurusha matangazo kwa njia ya mtandao. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa TADIO umeendelea kuijengea uwezo Storm FM wa namna ya kutumia mtandao wa Redio Portal…
10 July 2023, 10:33 am
Mawasiliano kuimarika Katavi
MPANDA Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kupitia mradi wa Tanzania ya Kidigitali inatarajia kujenga minara ya mawasiliano katika mkoa wa Katavi ili kuimarisha mawasiliano kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi mkoani humo. Hayo amesema na Naibu…
27 June 2023, 18:28
Serikali yaondoa tozo miamala ya kutuma fedha kwa njia ya simu
Mkoa wa Dodoma umebahatika kupata minara 36 huku 6 ikijengwa na Vodacom. Na Mindi Joseph. Serikali imeondoa tozo kwenye miamala ya kutuma fedha katika mitandao mbalimbali ya simu ili kuondoa adha kwa watazania. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na…
7 June 2023, 10:59 am
Mafunzo uongozi yatolewa Katavi
KATAVI Maafisa tarafa na watendaji wa kata mkoa wa Katavi wametakiwa kutekeleza majukumu ya serikali katika maeneo yao. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Katavi wakati wa utolewaji wa mafunzo ya…
15 May 2023, 7:34 pm
Waandishi wa Habari Katavi, Kazi Iendelee
KATAVI Waandishi wa Habari Mkoa wa Katavi wameaswa kuendelea kuhabarisha mambo yanayofanywa na serikali katika sekta Mbalimbali ili wananchi wafahamu namna serikali inanyo sogeza huduma hizo kwa Wananchi. Deodatus Kangu Afisa utumishi wa Manispaa ya Mpanda aliye Mwakilisha Msitahiki meya…
8 March 2023, 11:19
TASAC labainisha kutekeleza miongozo inayotolewa na serikali
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…
21 February 2023, 14:25
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu ,imetajwa kusababisha baadhi ya watu kupoteza fedha na mali kwa watu wasiojulikana. Na Victor Chigwada. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na Baadhi ya wananchi wa…