
Recent posts

October 31, 2023, 10:43 am
Serikali yazidi kuimarisha miundombinu ya barabara na maji Nyasa
Serikali yazidi kuimarisha miundombinu ya barabara na maji Nyasa Mkuu wa wilaya ya nyasa MH.FILBERTO HASSAN SANGA amewahasa wananchi kutumia vizuri fursa za uchumi zinapojitokeza hasa kilimo na uvuvi kwa kuwa ndio shughuli tegemezi na zinazofanywa na watu wengi wilayani…

September 12, 2023, 9:24 am
Maisha na UVIKO 19
Umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19 kwa wana jamii na kuchukua tahadhari ili kujilinda dhidi ya maambukizi ya mlipuko huo. Mtalaam wa afya kutoka ofisi ya Mganga mkuu wilaya ya Nyasa Dr Richard Kubingwa Akitoa elimu ya uchanjaji na kujikinga…

September 12, 2023, 8:16 am
Wanajamii kunufaika na intaneti Nyasa
lengo la mradi huo ni kuhakikisha jamii hasa vijijini wanapata huduma ya intanenti yenye kasi na gharama zinazoweza kufikiwa na watu wote Mkurugenzi wa Tzcna Dr Matogolo jabhera akifunga kifaa cha kusaidia upatikanaji wa intaneti katika shule ya sekondari luhangarasi…

September 11, 2023, 9:46 am
Viongozi wa shule wapewa mafunzo ya manunuzi
Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Nyasa wapatiwa mafunzo kuhusu manunuzi ya umma. Na Sichali Netho Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Septemba 9, 2023 imetoa mafunzo ya mfumo wa manunuzi wa umma (NeST) kwa wataalam kutoka shule za…

October 13, 2021, 9:13 am
Mila na desturi zazuia fursa nyasa
Wanawake wa wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma,wailalamikia serikali kwa kukosa fursa ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo uvuvi katika ziwa nyasa na uuzaji wa samaki. unyanja fm ilifika mpaka ziwani na kuongea na baadhi ya wanawake hao,wanao jihusisha na biashara ya…