Maendeleo
21 July 2023, 11:30 am
Dira ya Taifa ya 2025 yawa na mafanikio makubwa Geita
Wakati Dira ya Taifa ya mwaka 2025 ikiwa inaelekea ukingoni, wananchi mkoani Geita wameeleza mafanikio makubwa huku wakiipongeza serikali kwa kuwashirikisha. Na Mrisho Sadick Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 inayotegemewa kumalizika 2025 imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kusogeza…
21 July 2023, 10:10 am
Mafinga Mji wakagua miradi ya maendeleo
Kamati ya Mipango Miji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati Mheshimiwa Michael Msite imefanya ziara ya kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo Halmashauri ya Mji Mafinga. Miradi iliyotembelewa ni Ujenzi wa Shule mpya ya msingi Muungano yenye Mkondo mmoja, Ujenzi…
19 July 2023, 11:17
Waendesha pikipiki walia na mikataba kandamizi Kigoma
Shughuli ya uendeshaji wa pikipiki maarufu bodaboda kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na mchango mkubwa kwa vijana kujipatia kipato kwa kusafirisha abiria huku wengi wao wakipewa pikipiki hizo kwa mikataba hali iayosababisha kutofikia malengo yao. Na,Hagai Ruyagila Vijana waendesha…
17 July 2023, 10:15 am
Shule ya Makomelo Kupunguza Adha ya Mrundikano Shuleni
KATAVI Adha ya Wanafunzi wa Shule za Msingi kutoka Kitongoji cha Songambele Kijiji cha Tumaini Kata ya Itenka kutembea Umbali wa Kilomita 9 kupata Elimu shule ya Msingi Itenka inatarajiwa kuisha kuanzia Mwezi Agosti pindi itakapokamilika Shule mpya ya Makomelo.…
15 July 2023, 4:43 pm
Uwekezaji wa Bandari ni salama
Mjadala wa Serikali ya Tanzania kutaka kuingia makubaliano na serikali ya dubai kupitia Kampuni ya DP World ya uboreshaji na uendelezaji wa Bandari bado unaendelea huku wabunge wakiendelea kuwatoa hofu wananchi. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini…
14 July 2023, 5:32 pm
Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa
Wakandarasi wazalendo nchini wameiomba serikali kuwapatia miradi mikubwa ili kutoa ajira kwa watanzania wengi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa serikali hasa ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa…
10 July 2023, 6:23 pm
Kongwa yapongezwa kwa kupata hati safi ya ukaguzi
Senyamule amesema kitendo hiki kimeipa heshima kubwa halmashauri ya wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma na nchi kwa ujumla. Na Mariam Matundu. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Kongwa kwa kupata Hati safi…
6 July 2023, 5:22 pm
Serikali kupitia JKT kuwafundisha stadi za kazi watoto waishio katika makao ya w…
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekabidhi msaada wa mchele, sukari, mafuta ya kupikia, chumvi na unga wa ugali unaozalishwa na vijana walioko kwenye kambi mbalimbali za JKT nchini. Na Mariam Matundu. Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imeandaa mkakati…
July 4, 2023, 2:51 pm
Madiwani manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundombinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi.
22 June 2023, 12:53 pm
Wafanyakizi Storm FM wafika bungeni Dodoma
Na Mrisho Sadick: Baadhi ya Wafanyakazi wa Storm FM Redio (Sauti ya Geita) leo Juni 22,2023 wametembelea Bungeni Jijini Dodoma kushuhudia uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kibunge kwa mwaliko wa Mbubge wa Jimbo la Geita mjini Mhe Constantine Kanyasu. Wafanyakazi…