Radio Tadio

Maendeleo

21 June 2023, 8:14 pm

Watumishi Mafinga Mji watakiwa kusoma mapato na matumizi

Na Sima Bingileki Watumishi katika Halmashauri ya Mji mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuweka wazi na kuwasomea wananchi mapokezi ya fedha za miradi ya maendeleo kwenye mikutano ya Kata na mbao za matangazo kwani wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi.…

16 June 2023, 7:24 pm

Wananchi Kilimani waneemeka ufugaji samaki

MPANDA Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Kilimani kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamekuwa na maoni mseto kutokana na fursa za ufugaji wa samaki zinazofanywa na mwekezaji Injinia Ismail Nassoro. Wakizungumza na kituo hiki wananchi wamesema kupitia…

16 June 2023, 7:22 pm

Wakazi Dirifu waomba utaratibu kusomewa mapato, matumizi

MPANDA Wakazi wa kijiji cha Dirifu manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamewataka viongozi wa kijiji hicho kuwa na utaratibu wa kuwasomewa mapato na matumizi ili kuongeza uwajibikaji kwa wananchi. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara, wananchi hao wamesema kuwa kumekuwa…

10 June 2023, 3:35 pm

Mpanda: Wananchi waomba mchakato TASAF upitiwe upya

MPANDA Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kupitia upya mchakato wa upatikanaji wa kaya maskini ili kuuwezesha mpango wa kunusuru kaya maskini unafika kwa walengwa kama ilivyokusudiwa. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao wameonyesha kutoridhishwa na…

1 June 2023, 10:09 am

Wazazi waaswa kuchangia miradi ya maendeleo shuleni

MPANDA Wazazi wa watoto wanaosoma shule ya msingi Uhuru manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kujikita katika kuchangia miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia wanafunzi changamoto zitokanazo na upungufu wa madawati pamoja na matundu ya vyoo. Kauli hiyo imetolewa na diwani…

29 May 2023, 5:52 pm

Samia, Chongolo wazawadiwa ng’ombe Mufindi Kusini

Na Mwandishi wetu Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti Wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Kihenzile amekabidhi zawadi ya ng’ombe kwa ajili ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan. Hata hivyo amekabidhi pia ng’ombe wa…