Maendeleo
16 May 2023, 10:56 am
Serikali yazindua kampeni ya kulinda maadili
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepongeza juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum kwa juhudi za kutoa za Elimuu juu ya umuhimu wa Familia na Upendo katika Jamii zetu. Na Mariam Matundu. Katika kuadhimisha…
15 May 2023, 7:31 pm
Vijana Katavi waaswa kuchangamkia fursa
KATAVI Vijana mkoa wa Katavi wameaswa kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali kwa kuunda umoja na kusajiliwa kisheria na Bodi ya wakandarasi ili waweze kupata kazi zinazotolewa na serikali kupitia wakala wa Barabara Tanrods katika mkoa wa Katavi. Ushauri huo umetolewa…
11 May 2023, 11:12 am
UVCCM Bahi yahimiza wananchi kuendelea kushiriki miradi ya maendeleo
Katibu wa Jumuiya hiyo wilaya ya Bahi Fatuma sanda amesema miradi mikubwa iliyopelekwa wilayani humo ni fahari ya wananchi . Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Vijana wa chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika…
10 May 2023, 4:05 am
Wafanyabiashara wa Mahindi Waomba Kupewa Eneo Kubwa
MPANDA Wafanyabiashara wa soko la Mahindi Kata ya Mpanda Hotel Manispaa Mpanda Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu miundombinu ya soko huku baadhi wakiiomba serikali kuwatafutia eneo pana kwa ajili ya shughuli hiyo Maoni hayo wameyatoa wakati wakizungumza na…
9 May 2023, 8:20 pm
PETS Wapongeza Shirika la UDESO
KATAVI Wananchi na wanakamati ya PETS wilayani Tanganyika mkoani katavi, wanaoshiriki mafunzo ya ufahamu wa haki, wajibu na majukumu ya wananchi katika usimamizi na ufuatiliaji wa matumizi sahihi ya pesa zinazotolewa na serikali kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo wamelipongeza…
6 May 2023, 1:13 pm
Mradi wa Kituo Cha Mafuta NFS Mafinga wa million 850 wakamilika.
Na Mwandishi wetu MWENGE wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa kituo cha Mafuta NFS kilichopo Mafinga mjini mkoani Iringa na kuzindua. Mradi huo wenye thamani ya zaidi ya Milioni 850 unatarajia kutoa ajira za muda mrefu na ajira…
2 May 2023, 7:47 pm
Miradi ya Bilioni 4.9 yakubaliwa na Viongozi wa Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Mufind…
Na Mwandishi wetu. Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 umeridhia miradi yote katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa miradi yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 4.9. Akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo yote Kiongozi wa mbio za…
29 April 2023, 12:14 pm
Baraza la Madiwani Mafinga laazimia kuwakamata wasiorejesha Mikopo ya Halmashaur…
Madiwani wakiwa katika baraza la Madiwani. Picha Frank Leonard. Na Frank Leonard BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Mafinga limeagiza kusakwa na kukamatwa kwa wanachama wa vikundi vilivyoshindwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya vijana, wanawake…
18 April 2023, 9:20 pm
Mlele Yapongezwa kwa Utekelezaji wa Miradi ya Serikali
MLELE Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mlele Wolfgang Mizengo Pinda amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Kwa utekelezaji wa Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kutokana na fedha za Serikali Kuu na usimamizi mzuri wa miradi hiyo. Pinda ametoa pongezi katika ziara…
18 April 2023, 1:29 pm
Mbunge Sitta aibana serikali kuwapatia watumishi kada ya Elimu na Afya Jimbo la…
Serikali imeombwa kuhakikisha inafikisha watumishi wa afya na elimu katika Jimbo la Urambo ili waweze kuwahudumia wananchi. Na Hafidh Ally Jimbo la Urambo Mkoani Tabora linakabiliwa na uhaba wa watumishi wa uma katika kada za afya na elimu jambo linalopelekea…