
Kilimo

19 April 2023, 5:33 pm
“Changamkieni Fulsa za Udhamini wa Mikopo kutoka PASS TRUST ili Mjik…
Wananchi Mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia Fulsa za Udhamini wa Mikopo ya hadi Asilimia 80% katika Miradi inayochochea Ukuaji wa Uchumi wa Kijani katika Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazao ya Misitu. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mh,…

15 April 2023, 10:00 pm
Wakulima wapatiwa mafunzo ya kilimo bora kwa mazao ya Miwa na Mpunga – Ifa…
Wakulima wa halmashauri ya mji wa Ifakara wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, Aprili 14, 2023 wamepatiwa mafunzo juu ya Ulimaji bora wa Miwa, Mpunga na matumizi bora ya zana za kilimo kutoka Kampuni ya EFTA Tanzania Ltd. Na; Isidory Mtunda…

14 April 2023, 4:05 pm
Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo
Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…

12 April 2023, 9:29 am
Maafsa ugani Kilosa sasa kuwafikia wakulima vijijini kwa haraka.
Serikali imewakabidhi pikipiki maafisa ugani wote wilayani Kilosa ili kuondokana na adha walioyokuwa wanaipata ya usafiri na kushindwa kuwafikia wakulima wengi kwenye mashamba yao na kutatua changamoto. “Tunaishukuru serikali kwa kuiona kwa jicho la pekee wizara yetu ya kilimo kwa…

6 April 2023, 6:09 pm
Wananchi chemba wanufaika na elimu ya utunzaji ardhi
Hali hii inatajwa kusababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo kukata miti, uwepo wa milima iliyozungukwa na udongo wa kichanga usioweza kushinadana na kasi ya maji, hali inayotajwa na wataalamu kuwa na athari katika kilimo. Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima…

6 April 2023, 4:16 pm
Wananchi walia na baa la njaa Kilosa
Wananchi wa kitongoji cha Karadasi kilichopo kijiji cha Mambegwa kata ya Msowero wilayani Kilosa wameiomba serikali kuwaletea chakula cha msaada ambacho watakinunua kwa gharama nafuu. “Hali ya ukame imekua tishio la baa la njaa kijijini hapa mazao yote yamekauka na…

5 April 2023, 3:39 pm
Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu
Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…

31 March 2023, 6:50 pm
Tishio la upungufu wa Chakula Dodoma
Upungufu wa mvua umepelekea mazao yaliyopandwa kushindwa kuvunwa kama matarajio ya Mkoa yalivyokuwa. Na Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma unakabiliwa na tishio la kupata upungufu wa chakula kwenye baadhi ya maeneo kutokana na mvua zilizotarajiwa kwa msimu huu kunyesha chini…

29 March 2023, 5:38 pm
Serikali yaanza kudhibiti ndege waharibibu Bahi
Na Fred Cheti. Serikali wilaya Bahi imesema tayari imeshaanza kuchukua hatua ili kuwaangamiza ndege hao. Ndege hao aina ya Kwerea Kwerea wanaoharibu mazao katika vijiji vya Lukali,Mundemu ,Mayamaya na Zanka vilivyopo wilayani Bahi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya…

28 March 2023, 5:32 pm
Ilindi inatekeleza kilimo cha mtama ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Kilimo cha mtama mweupe ambao umekuwa ukihamasishwa na viongozi mbalimbali wilayani Bahi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Na Bernad Magawa Wakulima wa kijiji cha Ilindi wialayani Bahi wameanza kutekeleza kwa vitendo suala la kilimo chamtama mweupe…