Radio Tadio

Kilimo

14 April 2023, 4:05 pm

Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo

Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…

6 April 2023, 6:09 pm

Wananchi chemba wanufaika na elimu ya utunzaji ardhi

Hali hii inatajwa kusababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo kukata miti, uwepo wa milima iliyozungukwa na udongo wa kichanga usioweza kushinadana na kasi ya maji, hali inayotajwa na wataalamu kuwa na athari katika kilimo. Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima…

6 April 2023, 4:16 pm

Wananchi walia na baa la njaa Kilosa

Wananchi wa kitongoji cha Karadasi kilichopo kijiji cha Mambegwa kata ya Msowero wilayani Kilosa wameiomba serikali kuwaletea chakula cha msaada ambacho watakinunua kwa gharama nafuu. “Hali ya ukame imekua tishio la baa la njaa kijijini hapa mazao yote yamekauka na…

5 April 2023, 3:39 pm

Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu

Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…

31 March 2023, 6:50 pm

Tishio la upungufu wa Chakula Dodoma

Upungufu wa mvua umepelekea mazao yaliyopandwa kushindwa kuvunwa kama matarajio ya Mkoa yalivyokuwa. Na Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma unakabiliwa na tishio la kupata upungufu wa chakula kwenye baadhi ya maeneo kutokana na mvua zilizotarajiwa kwa msimu huu kunyesha chini…

29 March 2023, 5:38 pm

Serikali yaanza kudhibiti ndege waharibibu Bahi

Na Fred Cheti. Serikali wilaya Bahi imesema tayari imeshaanza kuchukua hatua ili kuwaangamiza ndege hao. Ndege hao aina ya Kwerea Kwerea wanaoharibu mazao katika vijiji vya Lukali,Mundemu ,Mayamaya na Zanka vilivyopo wilayani Bahi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya…