Radio Tadio

Kilimo

12 September 2022, 5:26 pm

Bei ya ndizi kushuka kilio kwa wakulima

RUNGWE-MBEYA, NA:LOVENESS RAJABU Wafanyabiashara wa ndizi wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameeleza bei ya ndizi kwa kipindi hiki cha kiangazi. Wakizungumza na Chai FM wafanyabiashara wa ndizi katika soko la Mabonde wamesema kuwa kwa sasa bei ya ndizi ipo chini…

9 September 2022, 9:51 am

wakulima elfu 17 tayari wamesajiliwa Mbolea ya ruzuku

RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Wakulima wilayani rungwe Mkoani mbeya wametakiwa  kufuata taratibu  wa kujisajili  kwenye mfumo Ili kuweza kupata Ruzuku za pembejeo. Akizungumza na kituo Chai FM  afisa kilimo wilayani  hapa JUMA MZARA amesema katika halmashauri ya Rungwe wamesajiri wakulima elfu…

5 September 2022, 10:51 am

Kizungumkuti Viwatilifu Vya Korosho

Wananchi wa kijiji cha Isinde kata ya Mtapenda Halimashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi wamelalamikia kutopewa viwatilifu  kwaajili ya zao la korosho  licha ya kuwa wakulima wa zao hilo zaidi ya miaka mitano. Wakizungumza na kituo hiki wakulima hao wamesema kuwa …

5 May 2022, 2:00 pm

Wananchi watakiwa kutambua umuhimu wa Mbaazi

Na; Leonard Mwacha. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa zao la mbaazi kuwa lina manufaa makubwa katika matumizi mbalimbali pamoja na biashara. Wito huo umetolewa na, Mkurugenzi wa  wa asasi siyokuwa ya serikali SEIDA Bw. Fredrick Ogenga, kupitia warsha…

1 November 2021, 2:04 pm

Wiki ya AZAKI 2021

Wiki ya AZAKi 2021 ilianza tarehe 23 hadi 28 Oktoba katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre mjini Dodoma. Tukio hili ni moja ya mikusanyiko mikubwa ya Asasi za Kiraia nchini Tanzania. Tukio hili linalenga kuwaleta pamoja wanachama wakuu wa…

21 May 2021, 15:05 pm

Nyumba yateketea kwa moto

Na Karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mmingano kata ya Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa wameguswa na tukio la moto lililotokea Mapema Asubuhi ya leo ambapo nyumba ya Ndugu Sefu Bahili imeungua yote na hakuna kilichookolewa. Akiongea na…