Kilimo
31 Oktoba 2023, 11:49 mu
Wakulima Wagomea mbolea ya Ruzuku
Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Chinangali 2 Mkoani Dodoma wamegoma Kujisajili kuchukua mbolea za ruzuku zinazotolewa na Serikali kutokana na kile wanachodai zinaua Mashamba yao. Hayo yamebainika baada ya Dodoma Tv kufika eneo hilo na kuzungumza…
31 Oktoba 2023, 11:21 mu
Wakulima wa mpunga Bahi wailalamikia tume ya umwagiliaji
Wakulima hao wanasema pamoja na kufuatilia kwa muda mrefu, bado tume ya umwagiliaji haijaonyesha ushirikiano katika kutatua kero hiyo. Na. Bernad Magawa Wakulima wa mpunga wilayani Bahi Wameilalamikia tume ya umwagiliaji kwa kushindwa kuwarekebishia miundombinu ya kilimo kwa miaka miwili…
23 Oktoba 2023, 11:02 mu
USAID yanufaisha vijana Kilosa kilimo cha mbogamboga, matunda
Shirika la Marekani la Maendeleo la Kimataifa (USAID), kupitia mradi wa Kilimo Tija wameanza kuboresha teknolojia za kisasa za kilimo nchini Tanzania sambamba na kuweka mifumo ya kilimo pamoja na masoko ya mazao ya mbogamboga na matunda kwa kutoa elimu…
18 Oktoba 2023, 9:29 mu
FAO yaahidi kuunga mkono juhudi za Tanzania
Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama, viongozi wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za…
17 Oktoba 2023, 10:25 mu
Serikali ya wilaya Geita yaagizwa kuongeza kasi usambazaji wa mbolea
Serikali imetakiwa kuharakisha mchakato wa usambazaji wa Mbole kwa wakulima kwakuwa wakulima wengi hususani katika wilaya ya Geita hawajafikiwa na mbolea hizo. Na Mrisho Sadick Chama Cha Mpinduzi CCM wilaya ya Geita kimeiagiza serikali ya wilaya ya Geita kusambaza kwa…
11 Oktoba 2023, 14:34 um
Zao la mwani Mtwara ladoda, wakulima walilia soko
Zao la mwani limekuwa zao jipya katika mkoa wa Mtwara ambapo wanawake wanaoishi kata ya Msangamkuu wamechangamkia fursa hiyo ya kilimo cha mwani na sasa hawana soko la kuuza zao hilo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la mwani wa…
10 Oktoba 2023, 11:03 um
Serikali kuwapa wakulima mbinu mpya za kilimo Zanzibar
Wakulima Zanzibar wametakiwa kulima kilimo cha kisasa ili waendane na mapinduzi makubwa ya kilimo ulimwenguni ili waweze kujikomboa kupitia kilimo kwa kujihakikishia kupata chakula cha uhakika. Na Fatma Rashid Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othamn Masoud Othmani…
9 Oktoba 2023, 9:27 mu
Vijana watakiwa kutambua umuhimu wa sekta ya kilimo
Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania AMDT Leo imewakutanisha Wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma, wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali na vijana katika Mdahalo wa kuibua changamoto zinazowakabili vijana ili kupata majibu sahihi. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa…
30 Septemba 2023, 19:30
Vyama vya ushirika mwarobaini wa masoko kwa wakulima
Na Isaya Kigodi/Mafinga Ili kuendana na mahitaji ya soko, Wakulima wilayani Mufindi wametakiwa kujiunga na vyama vya ushirika jambo ambalo litawarahisishia kulifikia soko. Hayo yamesemwa na Afisa ushirika Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Bi. Pili Mwaipaja wakati akizungumza na Mufindi…
27 Septemba 2023, 6:21 um
Zanzibar kuwa kivutio cha kijani na utalii endelevu
Kilimo ni miongoni mwa uti wa mgongo wa taifa ambacho kinatuingizia kipato pamoja na chakula kwa mahitaji yetu ya kila siku hivo ni jukumu letu kuhakikisha tunaendeza kilimo ili kuweza kujikwamua na hali ya maisha. Na mwandishi wetu Rais wa…