Kilimo
19 Disemba 2023, 20:22
Mkuu wa mkoa wa Songwe amezindua zoezi la ugawaji miche TACRI
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt. Francis K. Michael, amezindua zoezi la ugawaji miche ya Kahawa, miti ya Mbao, matunda na vivuli zaidi ya Million sita na kusisitiza jamii kuhamasika kupanda miti kwa wingi kwa faida…
19 Disemba 2023, 19:39
Mbeya ya tatu uzalishaji wa chakula,wananchi washauriwa kuzalisha kwa tija
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Zuberi Homera ameshiriki Mkutano wa Wadau Nyanda za Juu Kusini lililoandaliwa na Baraza la Kumshauri Rais kuhusu masuala ya Chakula na Kilimo chini ya Waziri Mkuu Mstaafu Mh: Mizengo Kayanza…
13 Disemba 2023, 09:32
Jukwaa la wadau wa kilimo Bunda, larasimishwa rasmi
Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda linalokutanisha halmashauri ya Bunda mji na Bunda Dc limerasimishwa rasmi kupitia kikao kilichofanyika Dec 8 mwaka 2023 katika ukumbi wa Shaloom mjini Bunda. Na Thomas Masalu Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda…
13 Disemba 2023, 09:17
Upatikanaji wa pembejeo ni changamoto kwa wakulima wadogo
Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation (CSP) kwa kushirikiana na shirika la MVIWANYA umebaini kuwa upatikanaji wa pembejeo ni changamoto kwa wakulima wadogo. Na Thomas Masalu Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation…
12 Disemba 2023, 19:28
Songwe waanzisha mradi wa parachichi kujikwamua kiuchumi
Na mwandishi wetu,Songwe Ili Kujikwamua kiuchumi na kuanza kujitegemea Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Songwe imeanzisha mradi wa kilimo cha zao la parachichi ambalo wanategemea kuanza kuvuna baada ya miaka miwili. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa klabu ya…
11/12/2023, 12:42
Kyela: Ngedere watishia janga la njaa Ipande
Wanyama waharibifu kwa mazao ya chakula aina ya Ngedere wamevamia mashamba ya wananchi wa Ipande na kula mazao shambani. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazao unaofanywa na wanyama aina ya ngedere wakulima wa Kata ya Ipande…
8 Disemba 2023, 16:43
Prof Mkenda ahimiza kilimo cha parachichi Rombo
Wananchi wa Rombo mkoani Kilimanjaro wamepatiwa miche ya parachichi zaidi ya elfu moja kwa ajili ya kilimo cha kisasa. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya alfu moja kwa wakulima…
8 Disemba 2023, 11:40
Makala: Mkenda ahamasisha kilimo cha parachichi Rombo
Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya elfu moja kwa wakulima kutoka vijiji mbali mba doli Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Prof Adolf Mkenda amekabidhi Miche…
6 Disemba 2023, 12:56
Zifahamu hatua za kilimo cha zabibu
Kwa nini zao la zabibu hustawi zaidi katika eneo la mkoa wa Dodoma na si maeneo mengine? Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu kwa undani aina za zabibu nchi zilizotoka na njia zilizotumika pamoja na utafiti kwanini mkoa wa dodoma…
4 Disemba 2023, 17:32
Wakulima wa pareto watahadharishwa kuepuka vishoka
Mikoa ya Mbeya na Songwe ndiyo wazalishaji wakuu wa pareto na wakulima wamepewa wito kuuza zao hilo kwa wanunuzi wenye uhakika. Na Lameck Charles Wakulima wa zao la pareto katika mikoa ya Mbeya na Songwe wametakiwa kuepuka walanguzi (vishoka) wanaonunua…