Jamii
17 December 2023, 10:59 am
Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii
katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…
16 December 2023, 1:58 pm
Wadau wa shirika la UZIKWASA wajivunia kubadilishana uzoefu
kukaa kwa pamoja imekuwa ni fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine namna ambavyo waliweza kukabiliana na changamoto mbali mbali hali inayowezesha wengine kujifunza jinsi wenzao walivyofanikiwa. Na Catherine Sekibaha. Wadau wa washirika la UZIKWASA wamejivunia kubadilishana uzoefu kupitia mbinu wezeshi…
14 December 2023, 1:24 pm
Dc Mkalipa awataka vijana kuacha ulevi uliopitiliza
Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…
13 December 2023, 10:30 pm
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji
Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…
12 December 2023, 8:40 pm
Taasisi binafsi zafundwa uandaaji wa mipango kazi
Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…
12 December 2023, 18:38
Mkoa wa Songwe watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Hanang’
Na Mwandishi Wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael, amepokea msaada kutoka kwenye Kikundi cha Tunduma ni Fursa Online 11 Desema 2023. ambacho kimetoa tani moja ya mahindi, kilo 250 za sabuni, mavazi pamoja na viatu…
12 December 2023, 12:59 pm
Taasisi ya Tulia Trust yadhamiria kuondoa umasikini kwenye jamii
kutokana na kuto kuwepo kwa usawa ndani ya jamii taasisi ya Tulia Trust imeendelea na kampeni yake ya kukimbiza Bendera ikiwa imebeba ujumbe wa upendo, usawa na uwajibikaji wa kuwatembelea wenye mahitaji maalumu wilayani Rungwe. RUNGWE..MBEYA Na lennox Mwamakula Taasisi…
12 December 2023, 9:04 am
Watekelezaji wa mpango wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto watakiwa kutenga…
Mkutano huo umezinduliwa leo jijini Dodoma ambapo umeambatana na ufungunguzi wa Mwongozo Jumuishi wa Taifa wa Utekelezaji wa Mpango wa (PJT-MMMAM). Na Mwandishi wetu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima ametoa rai kwa…
10 December 2023, 11:51 am
Viongozi wa kimila wilayani Longido, wamuombea Dua Rais Samia
Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini wamuonbea dua ya heri, mafanikio na ushindi Rais Samia Suluhu Hassan Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa mila wa jamii ya kimasai na viongozi wa dini kutoka wilaya…
9 December 2023, 11:34 am
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024
Na Najat Omar Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024. Zanzibar : Kwa mara ya kwanza Zanzibar itapokea ugeni wa nchi 54 katika Mkutano mkuu wa Umoja wa wajane Afrika ambao unatarajiwa kufanyika Zanzibar mwezi June kuanzia…