Habari
30 November 2023, 22:27
Kisa Simba, Yanga bodaboda Kyela wasogeza mbele uchaguzi
Uchaguzi wa kuwapata viongozi wa umoja wa bodaboda Kyela uliopangwa kufanyika Disemba 2, 2023 umesogezwa mbele mpaka Disemba 8, 2023. Na Nsangatii Mwakipesile Mwenyekiti wa uchaguzi wa waendesha bodaboda wilayani Kyela Widrey Mwasyeka ametangaza kusogezwa mbele uchaguzi wa chama hicho…
30 November 2023, 6:27 pm
Chomete aipongeza CCM, serikali utatuzi changamoto za wananchi Bunda
Mbunge wa viti maalum Ghati Chomete amepongeza jitihada za serikali na viongozi wote wilayani Bunda kwa jitihada wanazozionesha katika kutatua changamoto za wananchi. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara kupitia Ghati Chomete amepongeza jitihada za serikali…
29 November 2023, 7:08 pm
Bunda: Waliopigana vita ya Kagera watakiwa ofisi ya mshauri wa mgambo wilaya
Edward Lucas Askari waliopigana vita ya Kagera mwaka 1978-1979 waliopo Wilayani Bunda wametakiwa kufika katika ofisi ya Mshauri wa Mgambo Wilaya Bunda. Taarifa hiyo imetolewa leo na Katibu Tawala Wilaya ya Bunda, Salum Halfani Mtelela mbele ya waandishi wa habari…
21 November 2023, 8:42 pm
Milioni 58 fedha mfuko wa Jimbo kutatua changamoto Bunda mji
Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini. Na Adelinus Banenwa Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini Hayo yamesemwa na…
20 November 2023, 08:57
leo hii katika magazeti 20/11/2023
November 17, 2023, 6:53 pm
Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…
17 November 2023, 10:02 AM
CCM Mtwara yakagua miradi ya maendeleo Masasi
Masasi Kamati ya Chama Cha Mapinduzi {CCM} mkoa wa Mtwara, imefanya ziara ya kikazi wilayani Masasi kwa lengo la kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Ziara hiyo imeongozwa na katibu wa chama ngazi ya mkoa David Molle, ambapo walitembelea…
16 November 2023, 9:49 pm
Baraza la madiwani Bunda laahirishwa madiwani wakidai taarifa za miradi
Madiwani wakataa kuendelea na kikao wakiomba kupata taarifa za miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya halmashauri. Na Edward Lucas. Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, Mhe. Charles Manumbu ameahirisha kikao cha baraza hilo na kumwagiza…
16 November 2023, 13:13 pm
Biteko awasha umeme wa REA Mtwara
Na Grace Hamisi Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Novemba 15,2023 amewasha umeme wa ujazilizi katika maeneo ya vijiji – miji awamu ya III mitaa ya Pachoto A, Pachoto B na Pwani kata ya Naliendele mkoani…
14 November 2023, 6:40 pm
Yafahamu makundi na mgawanyiko wa majukumu ya nyuki kwenye mzinga
Je Maisha ya Nyuki yapoje katika Mzinga. Na Yussuph Hassan. Nyuki wamegawanyika katika aina kuu mbili pamoja na mgawanyo wa majukumu katika kila koloni.Leo Afisa nyuki anatueleza makundi na aina ya majukumu ya nyuki kwenye makoloni yao.