Radio Tadio

Habari

May 22, 2024, 12:06 pm

Mtoto azaliwa amevunjika mkono, wauguzi waomba fedha

Na Anas Ibrahim-Huheso Fm Imeelezwa kuwa Sofia Budeba mkazi wa kijiji cha Nyangota katika kata ya Ngaya halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga, Sofia Budeba anadaiwa kujifungua mtoto akiwa amevunjika mkono. Akizungumza na wanahabari Sofia Budeba amesema alifika katika zahanati ya…

21 May 2024, 22:40

NEMC kuwafikia wachimbaji madini zaidi ya 300 Mbeya, Songwe

Sekta ya madini ni sekta nyeti katika kuliingizia taifa pato,katokana na hali hiyo serikali imeendelea kuwatengenezea mazingira rafiki wachimbaji sambamba na kutoa elimu ya mara mara ili kujiepusha na madhara wanayoweza kuyapata kutokana na kazi ya uchimbaji. Na Kelvin Lameck…

19 May 2024, 5:52 pm

Wanane mikononi mwa polisi kwa dawa za kulevya Simiyu

Hatutasita kukuchukulia hatua kali za kisheria kwa wale ambao wanajihusisha na uhalifu maana mkono wa serikali ni mrefu hivyo njia sahihi ni kuachana na vitendo vya uhalifu Na, Daniel Manyanga  Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu wanane kwa tuhuma…

10 May 2024, 5:18 pm

Viboko, mamba tishio kwa wakazi wa Geita DC

Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita limeketi  Mei 8-9, 2024 katika kikao chake cha kawaida kwaajili ya kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa shughuli za serikali ngazi ya kata kwa kipindi cha januari hadi machi 202 ambapo jumla ya…

6 February 2024, 11:17

Akutwa na nyaraka za serikali na meno ya trmbo Songwe

Na mwandishi wetu, Songwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linaendelea kuimalisha ulinzi na usalama kwa kuishirikisha jamii katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu kwa kufanya doria, misako na operesheni ambapo limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa 01 kwa tuhuma za kupatikana na…

23 January 2024, 8:43 am

Mamba waendelea kuleta maafa Buzimbwe

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kijiji cha Buzimbwe ameshambuliwa na mamba wakati akioga ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kitongoji cha Majengo kijiji cha…

18 January 2024, 9:29 AM

Hokololo, NBS watoa mafunzo kwa watendaji Mtwara

MASASI Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Mtwara kupitia Chama cha Mapinduzi  CCM,  AGNES  HOKOLOLO , amewataka viongozi walioshiriki mafunzo ya kujengewa uwezo kutoka Tume ya Taifa ya Takwinu NBS  kuyatumia kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo katika maeneo…