Habari
4 July 2023, 5:18 pm
Waandishi Redio Jamii wapigwa msasa ushindani habari za mtandaoni
Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii. Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…
July 4, 2023, 11:37 am
Waandishi watajwa kuwa silaha, chachu mabadiliko ya maendeleo kwenye jamii
Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya kimaendeleo kwa Watanzania Na; Pascal Mwalyenga Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya…
2 July 2023, 3:43 pm
Km 25 barabara za lami kupendezesha mitaa Bunda
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dk Vicent Naano amesema serikali imeleta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara kilometa 25 za lami ndani ya barabara za mitaa Bunda mjini, stendi mpya ya kisasa, soko, pamoja na machinjio. Dc Naano ameyasema…
2 July 2023, 3:35 pm
CHADEMA: Baadhi ya AMCOS hatarini kufilisiwa Bunda
Baadhi ya vyama vya ushirika AMCOS halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara viko kwenye hatihati ya kuuzwa mali zao ikiwa ni pamoja na maghala au stoo kutokana na mikopo ya matrekta kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo. Haya yamebainishwa…
June 28, 2023, 2:46 pm
NAOT yawanoa wanahabari Shinyanga
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (National Audit Office of Tanzania – NAOT) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC) ambapo waandishi wa habari wamejengewa uwezo kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo nafasi ya vyombo vya…
24 June 2023, 8:50 am
RC Mara atoa siku 14 halmashauri Bunda Mji, Bunda wilaya kugawanya mali, madeni
Mkuu wa mkoa wa Mara Mhe Said Mtanda ametoa siku kumi na nne (14) kwa halmashauri ya mji wa Bunda na halmashauri ya wilaya Bunda kufanya mgawanyo wa mali na madeni ili kuondoa mkanganyiko uliopo kwa sasa. Hayo ameyasema katika…
22 June 2023, 7:13 pm
Maswa: RC aagiza hoja zote za CAG zifungwe
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…
21 June 2023, 10:47 am
TRA: Wafanyabiashara lipeni kodi msisubiri siku ya mwisho kuna faini
Afisa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi Mamlaka ya Mapato TRA mkoa wa Mara, Geofrey Comoro amewaasa wafanyabiashara wasisubiri siku ya mwisho kufanya malipo ya kodi ya mapato bali wafanye mapema ili kuepuka faini na usumbufu usio wa lazima. Comoro ameyasema…
21 June 2023, 10:40 am
CHADEMA: Ugumu wa maisha kwa vijana chanzo cha kucheza kamari, kubeti
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefanya mkutano katika kata ya Bunda Stoo halmashauri ya mji wa Bunda huku wakigusia mambo mbalimbali likiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana na ugumu wa maisha. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya…
21 June 2023, 10:31 am
Wakazi Nyamakokoto watakiwa kununua milango 15 iliyoibwa shule za Balili, Bunda
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Emmanuel Malibwa amewataka wakazi wa kata hiyo kuchangia utengenezaji wa milango 15 ya vyoo iliyoibwa katika shule za msingi za Balili na Bunda. Akizungumza na radio Mazingira Fm katika kutamatatisha ziara yake ndani ya mitaa…