Habari
24 Julai 2023, 09:12
Mwandishi wa Storm FM ashinda tuzo EJAT
Tuzo za EJAT hutolewa kila mwaka, huku mwaka 2022 matukio ya mauaji ya walinzi mkoani Geita, yalimuinua Said Sindo kuandaa kipindi na kushindania tuzo hiyo. Na Zubeda Handris- Geita Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kipindi cha Storm Asubuhi, Said Ally…
23 Julai 2023, 21:35
Mazingira Fm yatoa mshindi tuzo za EJAT 2022
Radio Mazingira Fm imefanikiwa kumtoa mshindi wa tuzo za EJAT zinazotolewa na baraza la habari Tanzania MCT ambaye ni Catherine Msafiri Madabuke. Na Adelinus Banenwa Catherine Msafiri Madabuke mtangazaji kutoka radio Mazingira fm ameibuka mshindi wa umahiri wa uandishi wa…
20 Julai 2023, 14:20
Waandishi wa habari Geita waanzisha mradi
Mkurugenzi wa umoja wa klabu za waandishi wa habari nchini (UTPC) Kenneth Simbaya ametoa wito kwa klabu zingine nchini kuiga uanzishaji wa miradi ya kujiingizia kipato kama klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Geita kwa kuanzisha mradi wa pikipiki.…
14 Julai 2023, 9:14 mu
Mpango uboreshaji matumizi ya ardhi, milki kuondoa migogoro ya ardhi Masw…
Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa Matumizi bora ya Ardhi Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu Utaenda kuondoa Changamoto ya Migogoro ya Ardhi kwa Wananchi Na Nicholaus Machunda Imeelezwa kuwa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa …
13 Julai 2023, 15:35
Timu ya Mtoto Kwanza yatambulishwa Mtwara
Na Gregory Millanzi “Sisi kwenye mkoa wetu huu watoto wana shida kubwa ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia, najua kupitia KIMAS na mradi huu utapambana na hatari zote ambazo zinatokana na hawa watoto, pia itaongeza uelewa wa malezi na makuzi ya…
4 Julai 2023, 5:18 um
Waandishi Redio Jamii wapigwa msasa ushindani habari za mtandaoni
Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii. Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…
Julai 4, 2023, 11:37 mu
Waandishi watajwa kuwa silaha, chachu mabadiliko ya maendeleo kwenye jamii
Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya kimaendeleo kwa Watanzania Na; Pascal Mwalyenga Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya…
2 Julai 2023, 15:43
Km 25 barabara za lami kupendezesha mitaa Bunda
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dk Vicent Naano amesema serikali imeleta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara kilometa 25 za lami ndani ya barabara za mitaa Bunda mjini, stendi mpya ya kisasa, soko, pamoja na machinjio. Dc Naano ameyasema…
2 Julai 2023, 15:35
CHADEMA: Baadhi ya AMCOS hatarini kufilisiwa Bunda
Baadhi ya vyama vya ushirika AMCOS halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara viko kwenye hatihati ya kuuzwa mali zao ikiwa ni pamoja na maghala au stoo kutokana na mikopo ya matrekta kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo. Haya yamebainishwa…
28 Juni 2023, 14:46
NAOT yawanoa wanahabari Shinyanga
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (National Audit Office of Tanzania – NAOT) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC) ambapo waandishi wa habari wamejengewa uwezo kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo nafasi ya vyombo vya…