Habari
8 November 2023, 1:19 pm
Akutwa amefariki kwenye bajaji Mpanda
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 50 amekutwa amefariki dunia katika eneo la Rugwa. Na Gladness Richard – Mpanda Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Hillalie Rioba mwenye umri wa miaka 50 amefariki dunia katika eneo la Rugwa kata ya Kazima…
2 November 2023, 12:46 pm
Mpango maalum ‘Tumewasikia Tumewafikia’ wazinduliwa Dodoma
Mpango huo ulizinduliwa katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma ambapo ni programu ya nchi nzima yenye lengo la kuhakikisha wananchi wanapata taarifa juu ya yale yanayotekelezwa na seikali ya awamu ya sita ukiwa na jina TUMEWASIKIA TUMEWAFIKIA. Na…
28 October 2023, 14:10 pm
Zoezi la ugawaji vitambulisho vya NIDA lazinduliwa
Wananchi wote ambao hawajasajiliwa kufika kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kupata utaratibu awali kwa ajili ya kusajiliwa ili na wao waweze kupata vitambulisho hivyo kama wengine Na Musa Mtepa; Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmadi Abasi, Oktoba 27,2023…
22 October 2023, 11:01 pm
UWT Bunda: Wanawake tumejipa kazi nyingi, tumesahau malezi kwa watoto
“Akina mama tumejipa shughuli nyingi tumesahau wajibu wetu wa malezi, twende tuwalinde watoto” Na Edward Lucas Wanawake wameaswa kuzingatia malezi ya watoto ili kukabiliana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii Wito huo umetolewa leo na Mjumbe Kamati…
22 October 2023, 7:22 am
NIDA Bunda: Zaidi ya vitambulisho elfu 50 vyapelekwa ofisi za kata
“Mbali na vitambulisho vilivyokuwepo awali, serikali imeleta tena vitambulisho vingine kwa wale waliojiandikisha hivi karibuni kwahiyo wananchi wafike ofisi za kata kuchukua vitambulisho vyao” Na Edward Lucas Wito umetolewa wananchi wilaya ya Bunda mkoani Mara kufika katika ofisi za kata…
17 October 2023, 14:25 pm
Siku ya mwanamke anayeishi kijijini
Suala la ukatili bado linaendelea katika jamii huku suala la undugu likiwa kikwazo kutokomeza, wanajamii wamekuwa wakifichiana matukio hayo hasa rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi na taasisi za elimu. Na Musa Mtepa Wananchi mkoani Mtwara wametakiwa kukomesha vitendo…
11 October 2023, 14:19
Bei za mafuta zasababisha mgomo wa daladala Mbeya, nauli zapandishwa kiholela
Wakazi wa Mbeya wamejikuta wakiamka na kukuta wanakosa usafiri wa kwenda kwenye shughuli zao hali iliyowasababishia kutumia usafiri wa bajaji kwa gharama kubwa. Na Ezra Mwilwa Wananchi jijini Mbeya wameiomba Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA kuchukua hatua za kisheria…
10 October 2023, 19:16
Wamiliki viwanda Mufindi watakiwa kusimamia maslahi ya wafanyakazi
Na Kefa Sika/Mafinga Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amewataka wamiliki na wasimamizi wa viwanda wilayani Mufindi kusimamia taratibu na sheria za ufanyaji kazi ili kuwasaidia wananchi. Salekwa ameyasema hayo katika ziara ya viwandani mjini Mafinga kuwa kila…
29 September 2023, 23:09
Mch. Mwakipesile ahukumiwa miaka 3 jela
Kila nchi inaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na sheria na katika sheria hakuna ambaye anakuwa juu ya sheria, hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu taratibu na kuheshimu sheria. Na Josea Sinkala Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka…
28 September 2023, 4:42 pm
MCT yakiri kukinzana kwa sheria ya matumizi sahihi ya mitandao
Hali hiyo imekuwa ikikinzana na Sheria ya haki ya kupata Taarifa ambayo inatoa wigo kwa wananchi kuwa huru kupata taarifa ambazo hazijazuiliwa kisheria. Na Seleman Kodima. Pamoja na Serikali kuhimiza Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii, Baraza la Habari Tanzania…