Habari za Jumla
2 Febuari 2024, 2:27 um
Mdahalo kufanyika kata kinara kwa ukeketaji Arusha
“Vtendo vya ukeketaji nchini vimepungua lakini vimeongezeka kwa mkoa wa Arusha ambao unaongoza nchini kwa vitendo hivyo” Na. Anthony Masai. Maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji nchini yanatarajia kufanyika katika kijiji cha Olchorvosi,kata ya Musa,halmashauri ya…
1 Febuari 2024, 9:14 um
Mifumo ya mahakama iliyoboreshwa yapunguza idadi ya mahabusu gereza kuu la Arush…
“Wahalifu walipo gereza la Kisongo ni 704,asilimia 70 ni wafungwa na 30 ni mahabusu,tofauti na miaka ya nyuma ambapo ilikuwa kinyume chake” Na. Anthony Masai. Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu kanda ya Arusha Jaji Joackim Tinganga,amesema mabadiliko makubwa yaliyofanyika kwenye mifumo…
1 Febuari 2024, 8:09 um
DC Kaminyoge: Elimu ya Kisheria iendelee kutolewa kwa Wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Kaminyoge amewataka wadau wa Sheria kuendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kwani wanawategemea sana katika Utoaji wa Haki. Hayo ameyasema katika kilele cha Wiki ya Sheria katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya …
1 Febuari 2024, 4:48 um
Madiwani wahoji kutokamilika miradi, miundombinu jengo la halmashauri Tanganyika
Wamehoji kutorekebishwa Kwa baadhi ya Vyoo katika Jengo Hilo Kwa muda mrefu ambavyo vimeharibika, kucheleweshwa Kwa fedha za umalizaji Shule na Zahanati ambazo zimetumia nguvu za wananchi. Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Baraza la Madiwani halmashauri ya Wilaya…
31 Januari 2024, 10:20
Taasisi ya takwimu Tanzania NBS kuboresha mfumo wa takwimu mtandao
Na Hobokela Lwinga Kamisaa wa zoezi la Sensa na makazi ya watu ya mwaka 2022 ambaye pia ni Spika Mstaafu wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda amesema kuna mkakati wa kuboresha mfumo kwa ajili ya ukusanyaji…
30 Januari 2024, 22:07
Kyela:CHAMATA Kyela wakiwasha
Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya CHAMATA Tanzania wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameafikiana kuanza kufanya shughuli za utambulisho wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani. Na James Mwakyembe Kikao kazi cha…
26 Januari 2024, 6:03 um
Dalali, Nyerere jela miaka 30 kwa kubaka na kukutwa na dawa za kulevya
Dalali na Nyerere Wahukumiwa Jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya kubaka binti wa miaka 7 mwanafunzi wa darasa la kwanza na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kilo 35 zikiwa zimehifadhiwa nyumbani. Na,Daniel Manyanga Watu wawili…
22 Januari 2024, 1:29 um
Matukio ya mvua Ngorongoro mmoja afariki
Katika Matukio makubwa ya wiki wilayani hapa yametawaliwa kwa kiasi kikubwa ni athari mbalimbali ambazo zimesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ikiwemo mtu mmoja kupoteza Maisha baada ya kusombwa na maji. Na Edward Shao, Mvua zinazoendelea kunyesha hapa wilayani…
22 Januari 2024, 09:49
Halmashauri ya wilaya Kasulu yakusanya zaidi ya bilioni 19
Madiwani wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kusimamia na kuibua vyanzo vya mapato ili kusaidia kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekusanya zaidi ya shillingi billion 19 ambayo ni…
Januari 19, 2024, 10:34 um
Dc Makete afanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya Makete
Katika mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Samweli Sweda, mapema hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Makete na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo baadhi ya vifaa tiba kutotumika tangu 2021. Mkuu…