Radio Tadio

Habari za Jumla

6 Febuari 2024, 10:47

Kamati zapongezwa utekelezaji wa miradi Rungwe

Na mwandishi wetu Kamati ya fedha (FUM) imefanya ukaguzi wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi Umoja yenye Mchepuo wa Kingereza iliyopo Ilenge kata ya KyimoMwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mheshimiwa Mpokigwa Mwankuga ndiye aliyeongoza kamati hii ambapo…

5 Febuari 2024, 15:32

Viongozi wa dini wakemea ramli chonganishi Kigoma

Jamii imeshauriwa kutojihusisha na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo vinafanywa na waganga wa kienyeji ili kuwatapeli wananchi. Na, Josephine Kiravu Viongozi wa dini Kutoka madhehebu mbalimbali Mkoani kigoma wamekemea vikali vitendo vinavyoendelea kufanywa na waganga wanaopiga ramli chonganishi maarufu kwa…

2 Febuari 2024, 2:27 um

Mdahalo kufanyika kata kinara kwa ukeketaji Arusha

“Vtendo vya ukeketaji nchini vimepungua lakini vimeongezeka kwa mkoa wa Arusha ambao unaongoza nchini kwa vitendo hivyo” Na. Anthony Masai. Maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji nchini yanatarajia kufanyika katika kijiji cha Olchorvosi,kata ya Musa,halmashauri ya…

1 Febuari 2024, 8:09 um

DC  Kaminyoge:  Elimu ya Kisheria  iendelee  kutolewa kwa Wananchi   

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa   Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Kaminyoge  amewataka  wadau  wa  Sheria   kuendelea  kutoa  Elimu  kwa  Wananchi  kwani  wanawategemea  sana  katika  Utoaji  wa  Haki. Hayo  ameyasema  katika  kilele  cha  Wiki  ya  Sheria  katika  Viwanja   vya  Mahakama  ya  Wilaya …

30 Januari 2024, 22:07

Kyela:CHAMATA Kyela wakiwasha

Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya CHAMATA Tanzania wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameafikiana kuanza kufanya shughuli za utambulisho wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani. Na James Mwakyembe Kikao kazi cha…