Radio Tadio

Habari za Jumla

21 Febuari 2024, 15:08

Chunya yavuka malengo zoezi la chanjo ya surua rubella

Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya Chunya imetoa chanjo ya Surua Rubella kwa watoto 44,942 sawa na asilimia 116.37 wakati lengo lilikuwa kuwafikia watoto 38,619 na kwa takwimu hiyo Halmashauri ya wilaya ya Chunya imekuwa ni wilaya iliyochanja watoto…

21 Febuari 2024, 14:46

Kamanda wa polisi Songwe apandishwa cheo

Namwandishi wetu, Songwe Maofisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe wakiongozwa na Afisa Mnadhimu, Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP GALLUS HYERA wamempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa huo kwa kupandishwa cheo kutoka Kamishna…

21 Febuari 2024, 13:07

Profesa Ndalichako kuifanya sekta ya elimu kuwa kipaumbele Kasulu

Waziri ofisi ya Waziri Mkuu, ajira, vijana  na wenye ulemavu Pro. Joyce Ndalichako amesema ataendelea kuhakikisha sekta ya elimu katika jimbo la kasulu mjini inapewa kipaumbele. Profesa Ndalichko amesema hayo wakati akigawa viti  mwendo na fimbo Kwa walemavu, pamoja na magari…

20 Febuari 2024, 16:08

Biteko aridhishwa ujenzi wa miradi ya umeme

Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Dotto Biteko amefanya ziara leo tarehe 20.2.2024 na kukagua miradi ya uendelezaji wa umeme wa joto ardhi katika eneo la Kyejo Mbaka pamoja na Ngosi ikiwa…

20 Febuari 2024, 11:25

Idadi ya wanafunzi walioripoti shule Kasulu hairidhishi

Tangu shule zifunguliwe januari 8 mwaka 2024 takwimu zinaonyesha wanafunzi walio wengi hawajaripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza. Na Michael Mpunije Idadi ya wanafunzi walioripoti shuleni kuanza kidato cha kwanza tangu shule zilipofunguliwa januari 8 mwaka huu inatajwa kuwa…

20 Febuari 2024, 10:38

Chuo kikuu TEKU chafanya ibada ya kumshukru Mungu

Na Ezra Mwilwa Kanisa la Moravian Tanzania Ushirika wa Teku wamefanya Ibaada maalumu kwaajiri ya kumshukuru Mungu juu ya Chuo kikuu Teofilo Kisanji kuendelea kukua na kutunukiwa hadhi kubwa ya vyuo vikuu Nchini. Katika ibada hiyo imehudhuriwa na Askofu Mteule…

19 Febuari 2024, 11:07

Madereva bajaji wanawake wadai kufanyiwa ukatili

Na Mwanaisha Makumbuli, Mbeya Madereva bajaji wanawake katika halmashauri ya jiji la Mbeya  wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia na baadhi ya wanaume ikiwemo kutolewa lugha za fedheha na matusi, kitendo kinachowakatisha tamaa na kujiona hawastahili kufanya shughuli hiyo.…