Habari za Jumla
6 Febuari 2024, 10:54
Rungwe yafanya tathmini ya matokeo ya mitihani ya taifa 2023
Na mwandishi wetu Tathmini ya matokeo ya Mtihani wa taifa kidato cha pili na nne kwa mwaka 2023 imefanyika leo tarehe 2.2.2024 uliwakutanisha Viongozi kutoka idara ya elimu, wakuu wa shule za sekondari 45 Maafisa elimu kata kutoka katika kata…
6 Febuari 2024, 10:47
Kamati zapongezwa utekelezaji wa miradi Rungwe
Na mwandishi wetu Kamati ya fedha (FUM) imefanya ukaguzi wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi Umoja yenye Mchepuo wa Kingereza iliyopo Ilenge kata ya KyimoMwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mheshimiwa Mpokigwa Mwankuga ndiye aliyeongoza kamati hii ambapo…
6 Febuari 2024, 10:38
Waharibifu wa vyanzo vya maji, misitu Mbeya kuchukuliwa hatua
Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwenye siku ya upandaji miti Mkoani Mbeya ametoa mamlaka husika kuwachukulia hatua viongozi na wote watakaojihusisha na uharibifu wa Misitu na vyanzo vya…
5 Febuari 2024, 15:32
Viongozi wa dini wakemea ramli chonganishi Kigoma
Jamii imeshauriwa kutojihusisha na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo vinafanywa na waganga wa kienyeji ili kuwatapeli wananchi. Na, Josephine Kiravu Viongozi wa dini Kutoka madhehebu mbalimbali Mkoani kigoma wamekemea vikali vitendo vinavyoendelea kufanywa na waganga wanaopiga ramli chonganishi maarufu kwa…
2 Febuari 2024, 2:27 um
Mdahalo kufanyika kata kinara kwa ukeketaji Arusha
“Vtendo vya ukeketaji nchini vimepungua lakini vimeongezeka kwa mkoa wa Arusha ambao unaongoza nchini kwa vitendo hivyo” Na. Anthony Masai. Maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji nchini yanatarajia kufanyika katika kijiji cha Olchorvosi,kata ya Musa,halmashauri ya…
1 Febuari 2024, 9:14 um
Mifumo ya mahakama iliyoboreshwa yapunguza idadi ya mahabusu gereza kuu la Arush…
“Wahalifu walipo gereza la Kisongo ni 704,asilimia 70 ni wafungwa na 30 ni mahabusu,tofauti na miaka ya nyuma ambapo ilikuwa kinyume chake” Na. Anthony Masai. Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu kanda ya Arusha Jaji Joackim Tinganga,amesema mabadiliko makubwa yaliyofanyika kwenye mifumo…
1 Febuari 2024, 8:09 um
DC Kaminyoge: Elimu ya Kisheria iendelee kutolewa kwa Wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Kaminyoge amewataka wadau wa Sheria kuendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kwani wanawategemea sana katika Utoaji wa Haki. Hayo ameyasema katika kilele cha Wiki ya Sheria katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya …
1 Febuari 2024, 4:48 um
Madiwani wahoji kutokamilika miradi, miundombinu jengo la halmashauri Tanganyika
Wamehoji kutorekebishwa Kwa baadhi ya Vyoo katika Jengo Hilo Kwa muda mrefu ambavyo vimeharibika, kucheleweshwa Kwa fedha za umalizaji Shule na Zahanati ambazo zimetumia nguvu za wananchi. Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Baraza la Madiwani halmashauri ya Wilaya…
31 Januari 2024, 10:20
Taasisi ya takwimu Tanzania NBS kuboresha mfumo wa takwimu mtandao
Na Hobokela Lwinga Kamisaa wa zoezi la Sensa na makazi ya watu ya mwaka 2022 ambaye pia ni Spika Mstaafu wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda amesema kuna mkakati wa kuboresha mfumo kwa ajili ya ukusanyaji…
30 Januari 2024, 22:07
Kyela:CHAMATA Kyela wakiwasha
Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya CHAMATA Tanzania wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameafikiana kuanza kufanya shughuli za utambulisho wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani. Na James Mwakyembe Kikao kazi cha…