Habari za Jumla
19 Aprili 2024, 21:14 um
Maji bonde la Ruvuma, Pwani ya Kusini ni stahimilivu kwa wananchi
Bonde limefanya tathmini ya maji yaliyopo juu ya ardhi na chini ya ardhi na linavituo vya kufuatilia mienendo ya maji na tunatoa vibari kwa wahitaji wa matumizi ya maji hasa kwa wanaohitaji kuweka miundombinu. Na Musa Mtepa Jumla ya vyanzo…
19 Aprili 2024, 20:35
152 wahitimu kitado cha sita,16 washindwa kutokana na utoro Kyela day
Mdau wa maendeleo na mkurugenzi wa kampuni ya Basai General Suplies Ltd Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi milioni moja na kuahidi kuwapatia mashine nyingine mpya ya kisasa kwaajiri ya kuchapia mitihani shuleni hapo ili kuondokana na kadhia hiyo. Na…
19 Aprili 2024, 8:19 um
Mafanikio ya Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar kipindi cha miaka mitatu-Mak…
19 Aprili 2024, 17:54
Zaidi ya ekari 100 za mazao zaharibiwa na mdudu hatari Mbozi
Mdudu anayefanana na funza anakula mizizi ya mazao yote ya Chakula ,Biashara na mbogamboga ambapo wakulima wameingiwa na hofu ya kuendelea kulima kutokana na uwepo na mdudu huyo hatari Kwao. Na Mwandishi wetu Songwe Zaidi ya ekari 100 za mashamba…
19 Aprili 2024, 17:40
Ruwasa Mbeya watoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Kawetere
Maporomoko mlima Kawetere yalitokea April 14,2024 majira ya saa tatu asubuhi na kusababisha nyumba zaidi ya ishirini kufukiwa na udongo ikiwemo shule ya mchepuo wa kiingereza ya Generation. Na Ezekiel Kamanga Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
19 Aprili 2024, 3:16 um
Vitendo vya wizi vyaongezeka Rungwe
Jamii imeshauriwa kutoa taarifa kwenye viongozi wa maeneo yao bindi wanapo ona vyaashiria ya uwizi au uvunjifu wa amani kwenye maeneo yao. NA lennox Mwamakula Wananchi wa mtaa wa Mpindo uliopo kata ya Bulyaga wilayani Rungwe wamekubaliana kuanzisha ulinzi shirikishi…
19 Aprili 2024, 11:49 mu
Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
Aprili 18, 2024, 11:10 um
ukaguzi wa miradi umefanyika na kamati ya fedha Makete
katika kutekeleza miradi ya maendeleo Makete katika sekta mbalimbali kamati ya Fedha utawala na mipango imefanya ukaguzi wa miradi kwalengo la kusukuma kasi ya miradi ikamilike kwa wakati Na Aldo Sanga. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, leo April i,18,…
18 Aprili 2024, 18:59
Moravian Mbeya yaimarisha taasisi zake za elimu,wanachuo 44 wahitimu fani ya ual…
Katika kuthamini na kuunga jitihada za Serikali katika Sekta ya elimu nchini,kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kuimarisha uendeshaji wa taasisi zake za elimu ikiwemo Shule,vyuo vya ufundi na ualimu kuhahakisha vinazalisha wasomi wengi ambao watakuwa msaada kwenye…
18 Aprili 2024, 18:17
Mhandisi Merryprisca Mahundi atoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Mbeya
Kutokana na Mvua zinazonyesha kusababisha maporomoko katika kata ya Itezi jiji Mbeya na kusababisha wakazi kukosa maeneo ya kuishi huku wengine wakipoteza mali pamoja na mifugo wadau mbalimbali wameendelea kutoa misaada ya kujikimu kwa wahanga hao. Na Ezra Mwilwa Taasisi…