Habari za Jumla
Febuari 14, 2022, 3:31 um
DR KITIMA:Wanaume na wanawake wote wana haki ya Kuishi,Acheni mauaji.
DAR ES SALAAM Jamii imetakiwa kuelewa kuwa wanaume na wanawake wote wana haki sawa ya kuishi na kufanya shughuli zozote zilizo halali na kwamba wanaume waache tabia ya unyanyasaji na mauaji yanayofanywa dhidi ya wanawake. Wito huo umetolewa mwishoni mwa…
14 Febuari 2022, 12:45 um
Uhaba wa soko kilio wakulima wa ndizi Rungwe
RUNGWE-MBEYA Kukosekana kwa soko la uhakika la ndizi imetajwa kuwa sababu inayopelekea wakulima wa zao hilo kuuza mazao yao kabla ya wakati husika. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya wakulima wilayani Rungwe ambapo wamesema kuwa inawalazimu kuuza ndizi zao mashambani kabla…
14 Febuari 2022, 11:23 MU
World radio day at radio fadhila with school children
13 Febuari 2022, 1:20 um
Halmashauri ya Rungwe imekusanya mapato kwa asilimia 80%
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Rungwe limefanya kikao kilichotoa taswira hali ya ukusanyaji mapato huku Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga akiwataka Madiwani pamoja na watendaji idara mbalimbali kuendeleza juhudi za kusimamia miradi na mapato…
12 Febuari 2022, 19:37 um
Maadhimisho ya siku ya redio duniani
Na Amua Rushita. Waandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia kupitia Mradi wa Sauti mpya, wamekutana katika kuadhimisha siku ya redio duniani kwa kuwa na majadala juu ya siku hii inayoadhimishwa kidunia, karibu usikilize kipindi maalumu kutoka hap mkoani…
10 Febuari 2022, 12:10 um
Wauguzi wajengewa uwezo kuhusu mdomo Sungura
MBEYA Mafunzo ya siku tatu kuwajengea uwezo wauguzi wa hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya yameanza rasmi ili kukabiliana na watoto wanaozaliwa mdomo wazi na mdomo sungura ili waweze kupatiwa matibabu mapema. Dkt Zackaria Amos ni Mkufunzi wa mafunzo hayo…
9 Febuari 2022, 9:58 mu
Serikali kuwalinda mangariba walioacha kukeketa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewapongeza Ngariba waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya ukeketaji baada ya kuacha kufanya vitendo hivyo na kisha kugeuka kuwa wanaharakati wa kukemea vitendo vinavyo dhalilisha utu wa mtoto…
8 Febuari 2022, 5:58 um
Waandishi wawe chachu elimu dhidi ya vitendo vya ukatili
MBEYA Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Kaimu Afisa Elimu Mkoa Wilbrod Yanga amewataka Waandishi wa habari chipukizi ishirini na moja Mkoani Mbeya walionufaika na mradi wa SAUTI MPYA kuendeleza elimu waliyoipata baada ya mradi huo wa…
8 Febuari 2022, 9:44 mu
KILELE CHA WIKI YA SHERIA , MAHAKAMA YA WILAYA MASWA YAPOKEA …
Mahakama ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imepokea jumla ya malalamiko 345 katika wiki ya sheria huku malalamiko ya utelekezwaji wa watoto yakiongoza yakifuatiwa na Migogoro ya Ardhi. Akitoa taarifa kwa mgeni rasimi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya …
7 Febuari 2022, 10:58 mu
Wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito warudi shule
MBEYA Serikali mkoani Mbeya kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito kurudi kuendelea na masomo kwa utaratibu ambao serikali imeupanga. Homera ameyasema kuwa serikali ya awamu ya sita kupitia kwa Rais…