Habari za Jumla
29 December 2022, 7:45 am
Barabara ya Lami Km 36 kujengwa Makete
Barabara ya Makete-Mbeya kufunguka kwa lami Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa barabara za lami katika mikoa ya nyanda za juu kusini ili kuunganisha vema ukanda huo na bandari ya Mtwara na hivyo kurahisisha shughuli za…
20 December 2022, 11:18 am
Rungwe yavuka malengo chanjo ya Uviko-19
KIPINDI: Sikiliza kipindi cha mimi na afya yangu makala maalumu kuhusu Uvumi juu ya chanjo ya Uviko-19 wilayani Rungwe. sikiliza hapa sehemu ya kwanza .
19 December 2022, 06:56 am
Argentina bingwa wa kombe la Dunia 2022
ARGENTINA BINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2022 Pale wazee waliposema ya kale ni dhahabu walimaanisha kabisa hasa ukizingatia kilichotokea kwenye kombe la dunia nchini Qatari historia imeandikwa takribani miaka thelathini na sita nchi ya Argentina kuhusu story ya ushindi wa…
17 December 2022, 2:37 pm
GGML yaipa donge nono Geita Gold FC
Na Zubeda Handrish: Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Geita Golid Mining Limited (GGML) @anglogoldashantitanzania imeingia udhamini kwa mara nyingine tena na Geita Gold Football Club kwa mkataba mnono wa thamani ya Sh. Milioni 800 kwa mwaka 2022/2023. Kufuatia mkataba…
17 December 2022, 2:29 pm
Uwanja wa Magogo mbioni kukamilika
Na Zubeda Handrish: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Zahara Michuzi ametoa tathimini ya maendeleo ya uwanja utakaotumiwa na klabu ya @geitagoldfc ulioko Magogo akisema zaidi ya Bilioni 1.8 zimetumika hadi sasa huku bajeti ya awamu ya kwanza ya kukamilisha uwanja…
17 December 2022, 2:13 pm
Storm FM funga mwaka
Na Zubeda Handrish: Storm FM tukiwa tunaukamilisha mwaka 2022 tunafunga na Bonanza la Funga Mwaka kwa kushirikisha vilabu vya soka na michezo mbalimbali siku ya kufunga. Leo Dec 17, 2022 ni ufunguzi wa bonanza hilo ambapo zinaanza timu za Shadow…
16 December 2022, 17:13
Serikali Yatoa Milioni 50 Kumalizia Ujenzi Wa Zahanati Mtumile
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeahidi kutoa fedha ili kumalizia ujenzi wa boma la zahanati ya Mtumile baada ya nguvu kazi za wananchi kufikia hatua ya kuezeka bati. Kauli hiyo imetolewa na Waziri…
15 December 2022, 8:15 pm
Wakazi wa Mtaa wa uwanja wapondwa mawe na watu wasioonekana
Na Mrisho Sadick Wakazi wa Mtaa wa Uwanja Kata ya Nyankumbu wilayani na Mkoani Geita wamekumbwa na taharuki kufuatia tukio la kurushiwa mawe ya ajabu kwenye makazi yao na watu ambao hawaonekani nyakati za mchana na usiku hali ambayo imeendelea…
14 December 2022, 21:44
Kivuko cha Pangani kuanza kufanya kazi kwa saa 18
Hatimaye kufuatia hitaji la muda mrefu leo hii Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetangaza kuwa Kivuko cha Pangani-Bweni kimeongezewa muda wa saa 2 za kufanya kazi tofauti na muda wa awali ambapo klikuwa kikifanya kazi kuanzia saa 12 Asubuh mpaka…
13 December 2022, 11:14 am
Bandari Mtwara inavyokabiliana na vumbi la makaa ya mawe
na Mc Kaluta Mizinga sita ya kumwaga maji (Misty Cannon Sprayer) imefungwa katika bandari ya Mtwara ili kudhibiti vumbi la makaa ya mawe kutoka katika maeneo hayo. Lakini pia magari ya kumwaga maji na kunyonya vumbi yanafanyakazi kutwa nzima ili…