Habari za Jumla
6 January 2023, 5:49 pm
Wanafunzi 17 wanunuliwa vifaa kujiunga na Kidato cha Kwanza Iwawa Sekondari
Mbunge Jimbo la Makete Mhe. Festo Sanga kwa kushirikiana na Jofrey Mbilinyi Mkurugenzi wa GNM CARGO wamekabidhi vifaa kwa wanafunzi 17 waliomaliza shule ya Msingi Maleutsi Kata ya Iwawa Wilaya ya Makete na kufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza. Vifaa…
6 January 2023, 12:00 pm
Wakurugenzi simamieni Malipo ya Ushuru wa Mbao wa 3%- Waziri Kijaji
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dk Ashatu Kijaji amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe kuhakikisha inakusanya mapato ya Mbao kwa 3% kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Serikali na siyo shilingi 100 kwa kila…
6 January 2023, 11:40 am
Watoto wote waende Shule-Rc Mtaka
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wazazi/walezi wenye watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza kuwapeleka shule ifikapo tarehe 9, Januari 2023. Akizungumza na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kwenye Baraza la 7 la wafanyabiashara…
4 January 2023, 9:31 am
Daraja lasombwa na Maji Mwakauta-Makete
Daraja la Mbao lililokuwa likitumiwa na watembea kwa miguu wanaovuka kutoka Kijiji cha Mwakauta kwenda kupata huduma za Afya Hospitali ya Bulongwa limesombwa na Maji baada ya mvua kubwa kunyesha siku kadhaa zilizopita. Ni siku 5 zimepita wananchi wa…
3 January 2023, 8:01 pm
Wananchi wabeba Tofali kujenga Bwalo la Wanafunzi Sekondari
Wananchi wa Kata ya Iniho Wilaya ya Makete wameshiriki katika kazi ya kusogeza tofali kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi Bwalo la Shule ya Sekondari Mwakavuta baada ya changamoto ya barabara na magari ya mizigo kushindwa kufikisha vifaa eneo la…
30 December 2022, 8:08 pm
Milioni 200 Kujenga Mradi wa Maji Kijiji cha Tandala Wilayani Makete
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Antoni Sanga amesema Serikali imetoa fedha Milioni 200 kukabiliana na uhaba wa Maji kijiji cha Tandala Kata ya Tandala Wilayani Makete. Mhandisi Sanga leo amefika Tandala na kukutana na viongozi wa Kijiji ambapo…
30 December 2022, 8:22 am
Mzazi atakayemtorosha mwanafunzi atasoma yeye-Dc Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amewataka wazazi kuacha tabia ya kutowapeleka wanafunzi shule na kuwatorosha kwenda mijini kufanya biashara huku wakijua wanawanyima watoto haki ya Msingi ya kupata elimu. Mhe. Sweda amesema mzazi/mlezi ambaye hatompeleka mwanafunzi…
30 December 2022, 6:54 am
Waandishi wa Habari wakutana Mkoani Njombe
Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Njombe, Njombe press club NPC kimefanya mkutano mkuu mkoa humo huku agenda kuu za mkutano huo mkuu ikiwa ni Marekebisho ya katiba pamoja na kubariki uongozi wa muda ulio kuwa umechaguliwa kuendelea…
30 December 2022, 6:39 am
Afariki Dunia kwa kusombwa na Maji Makete
Bibi anayekadiriwa kuwa na miaka zaidi ya 80 afariki kwa kusombwa na Maji kijiji cha Lupalilo Wilaya ya Makete akijaribu kuvuka mto juu ya daraja dogo katika mto Idetele unaotenganisha Kijiji cha Lupalilo na Ilevelo. Baadhi ya wanandugu wamesema…
29 December 2022, 7:54 am
Milioni 170 kujenga Daraja Kijiji cha Makwaranga-Makete
Serikali imeanza ujenzi wa Daraja la Zege litakalounganisha Kijiji cha Ipelele na Makwaranga Kata ya Ipelele Wilaya ya Makete lenye thamani ya zaidi ya Milioni 170. Daraja hilo litawafanya wananchi wa vijiji hivyo kutumia barabara ya Ipelele-Makwaranga yenye urefu wa…