Radio Tadio

Habari za Jumla

26 November 2020, 6:54 am

Wanafunzi 130 warudishwa nyumbani kwa siku 7.

Wanafunzi 130 wa shule ya sekondari ya Tosamaganga iliyopo wilayani Iringa wamerudishwa nyumbani kwa siku saba hadi watakapolipa shilingi elfu 35 kila mmoja baada ya kushiriki vurugu zilizosababisha uharibifu wa mali za shule wakigomea tarehe ya kuanza mtihani wa mwisho…

22 November 2020, 13:45 pm

IGP Sirro awahakikishia usalama wana Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi litachukua muda mfupi kukabiliana na uhalifu unaoendelea katika Mkoa wa Mtwara, kama ilivyofanya katika kukabiliana na mauaji ya raia katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani…

18 November 2020, 9:49 AM

Ujasilia Mali-BiasharaYa Chipsi Inawalipa Vijana

KIPINDI CH UJASILIA MALI-huyu ni kijana anayejishugulisha na biashara ya chpsi anaelezea mafanikio aliyo yapata kupitia biashara ya chipsi baada tu ya kumalishule alifanya shuguli mbalimbali lakinia alipo amua tu kufanya biashara ya chipsi imemlipa anaendesha familia yake kupitia biashara…