Habari za Jumla
4 December 2022, 15:03
Uwepo wa Paka Dhahabu katika hifadhi asilia ya msitu wa Minziro, Tanzania
Msitu wa Minziro ni msitu mnene wenye bionuai ya kepee unaopatikana Tanzania. Msitu huu unaomilikiwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) upo katika Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera. Makao makuu ya Ofisi ya Hifadhi ya Asilia ya Minziro yapo Bunazi.…
3 December 2022, 12:47 pm
Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani
Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…
2 December 2022, 8:46 pm
Waziri wa Viwanda anena kuhusu uwekezaji wa Malengo
Dar es Salaam, Novemba 30, 2022: Jukwaa la kwanza kuwahi kutokea Tanzania la Uwekezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) limefanyika leo Jijini Dar es Salaam na limeratibiwa na UNDP na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa ushirikiano na Serikali…
22 November 2022, 16:35
Mguso kwa Watumishi wapya Pangani.
Watumishi wa kada mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Pangani waloshiriki kwenye mafunzo ya Siku tatu ya uongozi wa mguso yanayotolewa na Shirika la UZIKWASA wamelishukuru shirika hilo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma pamoja na…
21 November 2022, 15:35
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na kabati Kilwa
Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…
17 November 2022, 15:56
DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi
Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…
17 November 2022, 15:52
Watoto wafundishwe kilimo- Chikongwe
Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…
13 November 2022, 11:22
DC aagiza wazazi 191 wakamatwe
Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Jamhuri William ameagiza kukamatwa kwa wazazi wa wanafunzi 191 ambao hawajafanya mtihani wa kidato cha pili kutokana na utoro, ili wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Msako huo wa nyumba kwa nyumba utaenda sambamba…
31 October 2022, 17:07
Watanzania wafika milioni 61.74, Wanawake waongoza kwa idadi
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika mwezi Agosti, 2022 yametangwazwa na kuonesha kuwa idadi ya watanzania imefikia watu milioni 61,741,120, ambapo wanawake wapo milioni 31.6 sawa na asilimia 51 huku Wanaume wakiwa ni milioni 30.5 sawa na asilimia…
25 October 2022, 12:18
Wagawa Mizinga 40 ya Nyuki Pangani
Taasisi ya Foundation for Trees Tanzania iliyopo Jijini Tanga imetoa Mizinga 40 ya Nyuki kwa Kikundi cha Ufugaji Nyuki cha MSETO kilichopo Wilayani Pangani ili kuwezesha wananchi hao kufanya shughuli za ufugaji na kuachana na uharibifu wa Mazingira. Akizungumza wakati…