Habari za Jumla
17 Januari 2023, 5:33 um
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kuzinduliwa January 19 Katavi.
KATAVI Wananchi Mkoani Katavi wameombwa kujitokeza katika uzinduzi wa jengo la mahakama ya hakimu mkazi mkoani Katavi . Wito huo umetolewa na Afisa Habari wa mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Katavi Wakili James Kapele ambapo amesema uzinduzi huo utaambatana…
17 Januari 2023, 4:55 um
Msasani Walia na Maji Safi.
MPANDA Wananchi wa Mtaa wa Msasani Kata ya Mpanda Hotel wamelalamikia kukosekana kwa maji safi na salama kwa matumizi yao ya kila siku. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm Wamedai changamoto imekua ni ya kudumu kutokana na mabomba kuharibika mara kwa…
Januari 17, 2023, 9:58 mu
Wazazi wanashawishi Wanafunzi wafeli Mitihani
Wazazi kijiji cha Usagatikwa Kata ya Tandala na Ibaga Kata ya Mang’oto wamebainika kushawishi wanafunzi wafeli mitihani ya Darasa la Saba kwa maksudi. Kaimu Afisa Elimu Idara ya Msingi Wilaya ya Makete Mwalimu Bakari Msuya amesema kumekuwa na tabia…
Januari 17, 2023, 9:31 mu
Waiomba Serikali kunusuru wanafunzi kupigwa na Radi
Wananchi wa Kijiji cha Ihela Kata ya Tandala Wilayani Makete wameiomba Serikali kuangalia chanzo cha radi eneo la shule ili kuepusha hatari ya watoto kupigwa radi Wakizungumza na Kitulo Fm kwa nyakati tofauti wananchi hao wameeleza kuwa kumekuwa na…
Januari 17, 2023, 9:02 mu
Mama wa Kambo Kizimbani kwa kumchoma mtoto wa Mumewe Mkoani Njombe
MKAZI wa Matalawe mkoani Njombe, Furaha Lugenge (28) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumchoma moto mtoto wa mume wake sehemu za mapajani na kwenye makalio kwa kutumia moto wa mkaa kwa madai ya mtoto huyo kukojoa kitandani. Mbele ya…
Januari 17, 2023, 8:57 mu
Idadi ya wanafunzi kuripoti shule bado changamoto
Kijiji cha Usagatikwa wilayani Makete mkoani Njombe kipo kwenye hatari ya kukosa wasomi katika siku zijazo kutokana na wanafunzi wanaopangiwa kuanza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Lupalilo wengi wao kutohitimu kidato cha Nne Akitoa taarifa ya ripoti…
Januari 16, 2023, 8:24 mu
Wanafunzi walioacha masomo washauriwa kujisajili waanze kusoma
Wanafunzi wa kike walioacha masomo kwa sababu mbalimbali kuanzia mwaka 2016 wametakiwa kujiandikisha ili waweze kuanza masomo kwa muhula wa masomo 2023/24 katika program ya Elimu ya Sekondari kwa Njia Mbadala (SEQUIP-AEP) Baptista Kaguo Mratibu wa elimu ya watu…
Januari 16, 2023, 8:00 mu
Waiba Alama za Barabarani Ikonda-Makete
Watu wasiojulikana wameng’oa na kuiba Mabomba matano ya Vibao vya alama za usalama Barabarani katika Barabara kuu ya Makete – Njombe usiku wa kuamkia January 13, 2023 katika eneo la kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe Wakizungumza na…
Januari 16, 2023, 7:46 mu
Wananchi waiomba Serikali kujenga Barabara Kigulu
Wananchi wa Kijiji cha Kigulu wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Kijiji hicho ili kurahisisha shughuli za usafiri na kuongeza mzunguko wa Uchumi kwa wananchi. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda wananchi hao…
Januari 11, 2023, 7:47 um
Elimu ya Utunzaji wa Mazingira kuanza kutolewa Liganga na Mchuchuma Ludewa
Kufuatia kuanza kwa miradi midogo ya uchimbaji madini ya makaa ya mawe wilayani Ludewa mkoani Njombe huku miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma ikitarajiwa kuanza hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali Umbrella of Women and Disabled organization (UWODO) imewasili…