Habari za Jumla
30 Machi 2023, 3:38 um
Wananchi Tanganyika waomba elimu ya afya ya meno na kinywa
KATAVI Baadhi ya wananchi wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu ya afya ya kinywa na meno kabla ya kupata athari. Wakizungumza na Mpanda radio Fm wamekiri kupata huduma bora ya afya ya meno huku wakiomba serikali kutoa elimu…
30 Machi 2023, 3:36 um
Vijana na watu wenye ulemavu wasumbufu kulipa mikopo asilimia 10
MPANDA Vijana na watu wenye ulemavu wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi sumbufu kwa kutolipa mikopo ya 10% ambayo inatolewa na halmashauri ya wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Hayo yamesemwa na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii wa manispaa…
29 Machi 2023, 8:29 mu
Wananchi kata ya Nsemulwa walia na barabara
MPANDA Baadhi ya wananchi wa Kata ya Nsemlwa Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba serikali kutengeneza miundombivu mibovu ya barabara iliyopo katika kata hiyo katika kipindi hiki cha mvua za masika ili kuwaondolea adha wanayokutana nayo. Wakizungumza na…
25 Machi 2023, 12:38 mu
Wananchi Kayenze wajipanga kuchangishana kujenga choo cha soko
KATAVIKijiji cha Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika mkoani Katavi kimepanga kuchangishana kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Choo katika Soko Linalomilikiwa na kijiji. Diwani wa kata ya katuma Paulo Pamasi ameiambia mpanda Radio kuwa kuanzia mwezi ujao mara…
15 Machi 2023, 11:57 mu
Diwani Magamba atoa siku mbili kikundi cha Kagera Group kufanya uchaguzi
MPANDA Diwani wa kata ya magamba ametoa siku mbili kwa Uongozi wa kikundi cha kagera group kuwasilisha taarifa ya uendeshaji wa kikundi hicho ili kurahisisha agenda ya uchaguzi kuziba nafasi za viongozi waliovuliwa nyadhifa zao. Agizo hilo limetolewa na diwani…
9 Machi 2023, 11:04 MU
Mtandao wa Askari wanawake Tanzania na watoto wenye usonji
Picha na Lilian Martin Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani umoja wa Majeshi wilayani Masasi kupitia mtandao wa Askari wanawake wameadhimisha siku ya wanawake Duniani Kwa kuwa pamoja na watoto wenye mtindio wa ubongo na usonji katika shule ya…
3 Machi 2023, 9:43 UM
Mbunge awapongeza Kwa ubunifu week ya elimu Masasi
katika siku ya maadhimisho ya week ya elimu Kwa Halmashauri ya mji Masasi yaliyohudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na secondary zilizopo katika halmashauri hiyo pichani ni wanafunzi wakionyesha burudani. sambamba na hayo katika maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na Mh…
27 Febuari 2023, 3:33 um
Bahi wajipanga kutinga tano bora matokeo darasa la saba kitaifa
Mheshimiwa Godwin Gondwe akiongoza wadau wa elimu wilayani Bahi katika hafla ya kufanya tathmini ya elimu na kutoa tuzo kwa shule, walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma. Na Benard Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaongoza wadau…
27 Febuari 2023, 12:27 um
Wanawake wenye Ulemavu Waiangukia Serikali
Kutokana na changamoto wanazokumbana nazo watoto wenye ulemavu wawapo shuleni. Na Fabiola Bosco. Baadhi ya wazazi wenye watoto walio na ulemavu wameiomba serikali kuwakumbuka kwa kuwapa usaidizi wa namna ya kuwahudumia Watoto wenye ulemavu wawapo shuleni pamoja na upande wa…
21 Febuari 2023, 4:55 um
Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…