Elimu
22 Juni 2023, 4:14 um
Wananchi Chali Isanga waahidiwa shule ya sekondari
Wanafunzi wa kijiji hicho wamekuwa wakilazimika kutembea kilomita zaidi ya 16 kufuata shule ya sekondari Chokopelo. Na Bernad Magawa. Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Comredi Daniel Chongolo ameahidi kujenga shule ya Sekondari kijiji cha chali Isanga wilayani Bahi…
13 Juni 2023, 1:55 um
Elimu ya TEHAMA yachochea idadi ya wasichana nyanja ya teknolojia
Na Mindi Joseph. Wanafunzi wa kike wamesema uwepo wa elimu ya TEHAMA inayotolewa na wadau imechochea kuongeza idadi ya wasichana kwenye nyanja ya teknolojia. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Mnadani sekondari wamesema elimu hiyo…
13 Juni 2023, 1:11 um
Ndaki ya sayansi UDOM yaanza programu huduma kwa jamii masomo ya sayansi
Wana mpango wa kuweka ushirikiano na jiji la Dodoma idara ya elimu ili kufkia shule nyingi zaidi . Na Mariam Matundu. Ndaki ya sayansi asilia na hisabati kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wameanza programu ya huduma kwa jamii katika…
Juni 13, 2023, 8:23 mu
DED Makete: Ujenzi sekondari Mwakavuta ukamilike kabla ya Agosti 2023
MIRADI IENDE HARAKA TUNAJIANDAA KUPOKEA WANAFUNZI MWEZI AGOSTI 2023 -DED MAKETE
Juni 13, 2023, 8:16 mu
Milioni 133 kujenga nyumba za walimu, madarasa na vyoo shule ya msingi Missiwa
Milioni 183 zinajenga Madarasa 3, nyumba ya Walimu na Vyoo Matundu 4 Missiwa Shule ya Msingi
12 Juni 2023, 2:40 um
TCRA yatoa mafunzo Mpanda Radio Fm
MPANDA Vyombo vya habari mkoani Katavi vimetakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozo pamoja na kulinda haki ya mtoto na kutokutoa vipindi vyenye maudhui yenye lugha ya matusi. Hayo yamebainishwa na Josephine Ndeje afisa mahusiano kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA]…
12 Juni 2023, 12:23 UM
Vyama vya ushirika Mtwara vyapigwa msasa kutumia mfumo mpya wa ‘MUVU’
Takribani wajumbe 110 kutoka vyama vya ushirika wilaya za Masasi na Nanyumbu, wakiwemo makatibu, wahasibu na maafisi ushirika, wameshiriki katika mafunzo ya kujengewa uwezo wa kuendesha mfumo mpya wa ‘MUVU’ ili waweze kutekeleza majukumu yao kiufanisi na kidigitali zaidi. Mfumo huo…
12 Juni 2023, 11:42 mu
Majina wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo yatangazwa
Na mwandishi wetu Wanafunzi 188,128 waliokidhi vigezo wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha tano katika shule mbalimbali nchini pamoja na vyuo vya fani mbalimbali. Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2022 yanaonesha kuwa watahiniwa 192,348 walipata ufaulu…
Juni 8, 2023, 2:26 um
Makete: Zaidi ya shilingi mil. 300 kujenga shule ya msingi Ighala-Ikuwo
Mkuu wa Wilaya akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ikuwo na kuwaeleza dhamira ya Serikali kuboresha miundombinu ya Elimu nchini
8 Juni 2023, 9:49 MU
Mkuu wa wilaya Masasi, viongozi wa dini wakutana apokea maoni
Mkuu wa wilaya ya Masasi Lauter Kanona amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa kimila na kidini ndani ya wilaya hiyo, mazungumzo yaliyolenga kujitambulisha mbele ya jamii hiyo na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwao. Miongoni mwa mambo ambayo yamejadiliwa…