Elimu
Oktoba 7, 2023, 9:41 mu
DC Samweli Sweda aagiza Fundi kuongeza Kasi ujenzi wa Bwalo
katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wakati mkuu wa wilaya ya Makete Mh:Samweli Sweda ametembelea miradi inayotekelezwa katika maeneo yote ya Wilaya ya makete Huku akitoa maagizo kwa watendaji na mafundi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na Aldo Sanga…
Oktoba 7, 2023, 9:31 mu
Wahitim 34 watunukiwa vyeti shule ya sekondari Kitulo
Kuelekea mtihani wa Taifa wa kumaliza elimu ya sekondari jumla ya wanafunzai 34 wametunukiwa vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Kitulo iliyopo Makete Njombe na Aldo Sanga Jumla ya wanafunzi 34 wa metunukiwa cheti cha kuhitim…
6 Oktoba 2023, 2:35 um
Wanafunzi Pemba watakiwa kuitumia mitandao vizuri
Shirika la Save the Children Tanzania limetoa mafunzo kwa wanafunzi kisiwani pemba kwa lengo la kuwawezesha kupelekea ujumbe wao kwa viongozi wenye mamlaka kupitia jukwaa hilo la mikutano ya mtandaoni. Na Is-haka Mohammed. Kuwepo kwa jukwaa la kuwasiliana mtandaoni kumeelezwa…
6 Oktoba 2023, 8:39 mu
Sekondari Kabasa yapigwa jeki
Mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondari Kabasa, Kambarage Wasira akiwa mgeni rasmi atoa milioni moja (1,000,000/=Tsh) kukabili sehemu ya changamoto katika shule hiyo. Na Edward Lucas Ikiwa ni wiki moja imepita tangu Kambarage ashiriki mahafali ya darasa la…
5 Oktoba 2023, 11:56 um
Kabasa sekondari wampa kongole Samia ujenzi vyumba vya madarasa
“Kabasa Sekondari ina madarasa 28 na yanayotumika ni 22 tu hivyo ina ziada ya madarasa 6” Na Edward Lucas Shule ya Sekondari Kabasa iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, imempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa…
5 Oktoba 2023, 22:06
Zimamoto Mbeya yatoa elimu shule za msingi
Elimu ni msingi wa maendeleo, kila mtu anapaswa kupata elimu ili kuweza kufanikiwa juu ya jambo ambalo anatamani kulijua haijalishi umri, hapa jeshi la zimamoto linaonesha wazi namna ambavyo limeendelea kutoa elimu ili kuwezesha wananchi kukabiliana na majanga mbalimbali ikiwemo…
5 Oktoba 2023, 3:43 um
ZATU yaiomba serikali kuwepo tume ya utumishi ya walimu Zanzibar
Elimu ni haki ya kila mtu hivyo kila mmoja kwa mujibu wa nafasi yake hana budi kuhakikisha anashirikiana kwa pamoja na wenzake ili watoto waweze kupata haki yao ya msingi ya elimu. Na Mwiaba Kombo. Wizara ya Elimu na Mafunzo…
Oktoba 5, 2023, 8:52 mu
Serikali yatoa fedha ujenzi wa madarasa
Kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari Matamba serikali imetoa fedha shilingi milioni 700 kutatua changamoto hiyo, Na mwandishi wetu. Zaidi ya Shilingi Milioni 700 zimetolewa na Serikali kujenga madarasa, bweni na yoo katika shule ya…
4 Oktoba 2023, 3:58 um
DC Bunda atoa kongole kwa mbunge Maboto kusaidia madawati
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mh. Dkt. Vicent Naano amemshukuru mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Robert Chacha Maboto kwa kusaidia shule za jimbo la Bunda Mjini kwa kutoa madawati 1049 zilizopatikana kutokana na fedha za mfuko wa jimbo. Na…
4 Oktoba 2023, 3:44 um
NMB yatoa msaada wa dawati 100 Nyasura
Katika kuadhimisha wiki ya huduma Kwa wateja banki ya NMB tawi la Bunda wametoa msaada wa madawati 100 kwa sule ya msingi ya Nyasura iliyopo kata ya Nyasura halamshauri ya mji wa Bunda mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Katika kuadhimisha…