Elimu
12 Oktoba 2023, 11:05 mu
Wilaya ya Geita kufanya msako wa wazazi waliotelekeza familia
Wakati serikali ikiendelea kupambania haki sawa kwa mtoto wa kike wananchi na wadau wametakiwa kuiunga mkono katika mapambano hayo. Na Mrisho Sadick: Watendaji wa Mitaa na Kata wilayani Geita wameagizwa kufanya msako nakuwachukulia hatua kali wazazi na walezi ambao wamewatelekezea…
11 Oktoba 2023, 12:14
Wanafunzi walio nje ya mfumo rasmi wa elimu walia na uhaba wa mabweni
Wanafunzi wanaosomo masomu ya elimu ya watu wazima wakiwemo waliorudi shule baada ya kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wamesema licha ya Srikali kuwarudisha shuleni kusoma bado wanakabiliwa na mazingira magumu kutokana na wengi wao kuishi…
11 Oktoba 2023, 9:43 mu
Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…
10 Oktoba 2023, 3:59 um
Wananchi Katavi waliomba jeshi la zimamoto kutoa elimu ya vifaa vya kuzimia moto
Wananchi mkoani Katavi wameliomba jeshi la zimamoto na uokoaji kutoa elimu ya vifaa vya kuzimia moto. Na Lusy Dashud -Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameomba jeshi la zima moto na uokoaji kutoa elimu zaidi juu ya matumizi ya…
9 Oktoba 2023, 13:39
Wananchi wa ilembo halmashauri ya wilaya ya mbeya waondokana na adha ya umeme
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo elimu ambapo wanafunzi wamekuwa wakipata elimu na kutimiza ndoto zao Na Samweli Mpogole Wananchi wa Kata ya Ilembo Halmashauri ya Wilaya Mbeya wameishukuru Serikali kwa Kuwafikishia huduma ya Umeme…
7 Oktoba 2023, 12:56 um
94 kati ya 154 wahitimu elimu ya msingi Tingirima
Na Taro M. Mujora Shule ya msingi Tingirima iliyopo halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imefanya mahafali ya 42 ya kuwaaga wanafunzi waliohitimu elimu ya msingi shuleni hapo. Mahafali hayo yamefanyika jana Oktoba 6,2023 shuleni hapo huku mgeni rasmi…
Oktoba 7, 2023, 9:53 mu
Wito watolewa kuwa na desturi ya kujiendeleza na elimu ya watu wazima
Elimu ya watu wazima imeelezwa kua mkombozi kwa watanzania hususani ambao hawakupata nafasi ya kuendele na masomo wakiwa katika mafumo rasmi wa Elim katika Shule za sekondari na Vyuo na Gift Kyando Afisa Elimu watu wazima mkoa wa Njombe Joseph…
Oktoba 7, 2023, 9:41 mu
DC Samweli Sweda aagiza Fundi kuongeza Kasi ujenzi wa Bwalo
katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wakati mkuu wa wilaya ya Makete Mh:Samweli Sweda ametembelea miradi inayotekelezwa katika maeneo yote ya Wilaya ya makete Huku akitoa maagizo kwa watendaji na mafundi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na Aldo Sanga…
Oktoba 7, 2023, 9:31 mu
Wahitim 34 watunukiwa vyeti shule ya sekondari Kitulo
Kuelekea mtihani wa Taifa wa kumaliza elimu ya sekondari jumla ya wanafunzai 34 wametunukiwa vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Kitulo iliyopo Makete Njombe na Aldo Sanga Jumla ya wanafunzi 34 wa metunukiwa cheti cha kuhitim…
6 Oktoba 2023, 2:35 um
Wanafunzi Pemba watakiwa kuitumia mitandao vizuri
Shirika la Save the Children Tanzania limetoa mafunzo kwa wanafunzi kisiwani pemba kwa lengo la kuwawezesha kupelekea ujumbe wao kwa viongozi wenye mamlaka kupitia jukwaa hilo la mikutano ya mtandaoni. Na Is-haka Mohammed. Kuwepo kwa jukwaa la kuwasiliana mtandaoni kumeelezwa…