Elimu
13 Oktoba 2023, 3:52 mu
Ikolongo waomba wataalamu wa afya kutoa elimu ushiriki wa wanaume kliniki
Wanananchi wa kijiji Cha Ikolongo Halmashauri ya nsimbo mkoani katavi wameomba wataalamu wa afya kuendelea kutoa elimu kuhusu ushiriki wa wanaume kwenda kliniki. Na Festo Kinyogoto – NsimboWanananchi wa kijiji Cha Ikolongo Halmashauri ya nsimbo mkoani katavi wameomba wataalamu wa…
12 Oktoba 2023, 21:53
Wilaya tatu mkoani Iringa zapewa elimu matumizi takwimu za sensa 2022
Na Bestina Nyangaro-Mafinga Halmashauri za Mufindi, Mafinga mji na Kilolo zimepatiwa mafunzo ya matumizi ya takwimu za matokeo ya sensa ya Sita iliyofanyika mwezi Agosti mwaka 2022. Mafunzo hayo yametolewa hii leo katika ukumbi wa CCM Halmashauri ya mji Mafinga,…
12 Oktoba 2023, 12:19 um
Shule za msingi mbili Chamwino zapatiwa msaada wa madawati
Mradi huo wa Majaribio ambao umetekelezwa na kikundi cha Ujirani Mwema katika kijiji cha Wilunze ni matokeo ya kamati za ufatiliaji na uwajibikaji ngazi ya serikali za Vijiji ambapo Mradi huo umesimamiwa na Shirika la AFNET kwa Ufadhili wa Taasisi…
12 Oktoba 2023, 11:05 mu
Wilaya ya Geita kufanya msako wa wazazi waliotelekeza familia
Wakati serikali ikiendelea kupambania haki sawa kwa mtoto wa kike wananchi na wadau wametakiwa kuiunga mkono katika mapambano hayo. Na Mrisho Sadick: Watendaji wa Mitaa na Kata wilayani Geita wameagizwa kufanya msako nakuwachukulia hatua kali wazazi na walezi ambao wamewatelekezea…
11 Oktoba 2023, 12:14
Wanafunzi walio nje ya mfumo rasmi wa elimu walia na uhaba wa mabweni
Wanafunzi wanaosomo masomu ya elimu ya watu wazima wakiwemo waliorudi shule baada ya kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wamesema licha ya Srikali kuwarudisha shuleni kusoma bado wanakabiliwa na mazingira magumu kutokana na wengi wao kuishi…
11 Oktoba 2023, 9:43 mu
Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…
10 Oktoba 2023, 3:59 um
Wananchi Katavi waliomba jeshi la zimamoto kutoa elimu ya vifaa vya kuzimia moto
Wananchi mkoani Katavi wameliomba jeshi la zimamoto na uokoaji kutoa elimu ya vifaa vya kuzimia moto. Na Lusy Dashud -Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameomba jeshi la zima moto na uokoaji kutoa elimu zaidi juu ya matumizi ya…
9 Oktoba 2023, 13:39
Wananchi wa ilembo halmashauri ya wilaya ya mbeya waondokana na adha ya umeme
Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo elimu ambapo wanafunzi wamekuwa wakipata elimu na kutimiza ndoto zao Na Samweli Mpogole Wananchi wa Kata ya Ilembo Halmashauri ya Wilaya Mbeya wameishukuru Serikali kwa Kuwafikishia huduma ya Umeme…
7 Oktoba 2023, 12:56 um
94 kati ya 154 wahitimu elimu ya msingi Tingirima
Na Taro M. Mujora Shule ya msingi Tingirima iliyopo halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imefanya mahafali ya 42 ya kuwaaga wanafunzi waliohitimu elimu ya msingi shuleni hapo. Mahafali hayo yamefanyika jana Oktoba 6,2023 shuleni hapo huku mgeni rasmi…
Oktoba 7, 2023, 9:53 mu
Wito watolewa kuwa na desturi ya kujiendeleza na elimu ya watu wazima
Elimu ya watu wazima imeelezwa kua mkombozi kwa watanzania hususani ambao hawakupata nafasi ya kuendele na masomo wakiwa katika mafumo rasmi wa Elim katika Shule za sekondari na Vyuo na Gift Kyando Afisa Elimu watu wazima mkoa wa Njombe Joseph…