Radio Tadio

Elimu

13 Oktoba 2023, 19:31

Miundombinu mibovu sekondari Ruiwa chanzo cha kushuka ufaulu

Miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi wengi ni pamoja na miundombinu ya vyumba vya madarasa hivyo wadau wanaombwa kutatua changamoto za wanafunzi wanazokumbana nazo. Na Ezra Mwilwa Ubovu wa miundombinu katika Shule ya Sekondari Ruiwa iliyopo halmashauri ya wilaya ya Mbarali…

13 Oktoba 2023, 07:22

Kambarage atatua changamoto ya maji Kunzugu sekondari

Kiasi cha shilingi million moja  laki moja na elfu Arobaini na nne (1,144,000) zimetolewa na Ndugu Kambarage Wasira katika kutatua changamoto ya maji shule ya sekondari kunzugu leo kwenye mahafali ya kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi…

12/10/2023, 11:05

Wilaya ya Geita kufanya msako wa wazazi waliotelekeza familia

Wakati serikali ikiendelea kupambania haki sawa kwa mtoto wa kike wananchi na wadau wametakiwa kuiunga mkono katika mapambano hayo. Na Mrisho Sadick: Watendaji wa Mitaa na Kata wilayani Geita wameagizwa kufanya msako nakuwachukulia hatua kali wazazi na walezi ambao wamewatelekezea…

11 Oktoba 2023, 09:43

Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda  amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…