Elimu
Oktoba 18, 2023, 12:56 mu
Shule ya sekondari Lupila wilayani Makete yakabidhiwa vitabu
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mdau wa maendeleo wilaya ya Makete Ndg. Antony Sanga amekabidhi vitabu vya kiada vyenye thamani ya shilingi milioni saba laki tisa na elfu themanini shule ya sekondari Lupila wilayani…
Oktoba 18, 2023, 12:46 mu
Mchungaji wa kwanza Makete atunukiwa shahada ya juu ya heshima
Chuo Kikuu cha Iringa kimemtunuku Shahada ya Juu ya Heshima Hayati Mchungaji Dkt. Tupevilwe Lugano Sanga. Mchungaji Tupevilwe Lugavano Sanga aliyezaliwa 1898, ni Mchungaji wa mwanzoni kabisa katika jamii ya Wakinga aliyetoa maisha yake kumtumikia Mungu pamoja na kuhamasisha maendeleo…
17 Oktoba 2023, 15:48
Wazazi washauriwa kutengeneza mazingira mazuri kuondoa utoro kwa wanafunzi
Mazingira mazuri kwa wanafunzi kunatajwa kuwa chanzo cha mafaniko kwa wananfunzi wengi, wanafunzi wengi wameshindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao kwa sababu ya kukutana na changamoto kwenye mazingira ya shule na nyumbani. Na Deus Mellah Wazazi na walimu kwa kushirikiana…
17 Oktoba 2023, 2:26 um
Wazazi washauriwa kuanzisha ujenzi wa hosteli
Shule ya sekondari Kijuka imeanzishwa mwaka 2012 kwa nguvu ya wananchi na serikali ambapo tangu kuanzishwa imekuwa ikifanya vibaya kitaaluma kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu na kwa mwaka huu 2023 wamehitimu wanafunzi 42 kati ya wanafunzi 88 walioanza kidato…
17 Oktoba 2023, 11:05 mu
Wanafunzi Esperanto sekondari sasa kusoma kidijitali
Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intarnet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo. Na Avelina Sulus na Taro Michael Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intanet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo.Hayo…
16 Oktoba 2023, 7:03 um
Michese waishukuru serikali kwa kutoa fedha za ujenzi wa shule
Kwa mujibu wa viongozi wa mitaa hiyo wanasema kuwa fedha kiasi cha shilingi milioni mia tano zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi huo. Na Khadija Ayoub. Baadhi ya wananchi katika eneo la michese jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kuwapatia…
14 Oktoba 2023, 1:28 um
Sekondari ya Nyiendo kuwekewa umeme vyumba sita vya madarasa
Eng. Kambarage Wasira kwa kushirikiana na mdau wa maendeleo ndugu Eng.Gasper Mchanga wameahidi kuweka umeme katika madarasa 6 shule ya Sekondari Nyiendo iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Mfumo wa umeme utakaogharimu shilingi milioni mbili…
14 Oktoba 2023, 10:20 mu
Wananchi Katavi washauriwa kumaliza dozi
Wananchi Katavi washauriwa kumaliza dozi za dawa wanazoandikiwa Na Kalala Robert – MpandaWananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kumaliza dozi za dawa wanazoandikiwa na madaktari ili kuweza kuuwa vijidudu na kuacha afya zao zikiwa salama. Mtu asipomaliza dozi ya…
13 Oktoba 2023, 19:31
Miundombinu mibovu sekondari Ruiwa chanzo cha kushuka ufaulu
Miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi wengi ni pamoja na miundombinu ya vyumba vya madarasa hivyo wadau wanaombwa kutatua changamoto za wanafunzi wanazokumbana nazo. Na Ezra Mwilwa Ubovu wa miundombinu katika Shule ya Sekondari Ruiwa iliyopo halmashauri ya wilaya ya Mbarali…
13 Oktoba 2023, 7:22 mu
Kambarage atatua changamoto ya maji Kunzugu sekondari
Kiasi cha shilingi million moja laki moja na elfu Arobaini na nne (1,144,000) zimetolewa na Ndugu Kambarage Wasira katika kutatua changamoto ya maji shule ya sekondari kunzugu leo kwenye mahafali ya kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi…