Elimu
12 Novemba 2023, 11:54 mu
Idara ya elimu sekondari Bunda mji yawapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vi…
Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda imefanya hafla ya kuwapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya Kidato cha Nne na Sita mwaka 2022. Na Adelinus Banenwa Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda…
9 Novemba 2023, 8:05 mu
Ujenzi wa Sekondari Bunda Mjini wafikia 85%
Ujenzi wa shule ya Sekondari ya Bunda Mjini unagharimu shilingi 584 mil chini ya mradi wa SEQUIP yafikia asilimia 85. Na Adelinus Banenwa Ujenzi wa shule ya Sekondari ya Bunda Mjini unagharimu shilingi 584 mil chini ya mradi wa SEQUIP…
8 Novemba 2023, 3:35 um
MEMKWA mkombozi kwa watoto Nagulo Bahi
Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa MEMKWA ni moja ya jitihada za kufikia malengo ya maendeleo endelevu hasa Elimu bora. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa mtaa wa Nagulo Bahi Kata ya Bahi wametakiwa kujitokeza kuwaandikisha watoto kwaajili ya…
7 Novemba 2023, 19:05
Wazazi waonywa kuwaozesha watoto kwa wachimba madini Chunya
Na Samweli Mpogole Wazazi na walezi wilaya ya Chunya wametakiwa kuacha tabia ya kuwafanyisha kazi watoto katika shughuli za uchimbaji madini na kuwaozesha wakiwa bado masomoni badala yake wawasimamie katika masomo yao. Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri…
4 Novemba 2023, 07:13
Mkurugenzi Songwe agawa pedi sekondari, ahamasisha uandikishaji watoto shuleni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe CPA Cecilia Kavishe, amefanya ziara ya kuangalia hali ya uandikishaji wa Wanafunzi wa Elimu ya awali, Darasa la kwanza na Elimu ya watu wazima (MEMKWA) katika Kata za Namkukwe, Manda na Magamba.…
3 Novemba 2023, 22:58
Uhasibu ndaki ya Mbeya yazalisha wahitimu Zaidi ya 2000 kada mbalimbali
Jumla ya wahitimu elfu mbili mia moja kumi na nne wa kada mbalimbali za Taasisi ya Uhasibu Ndaki ya Mbeya wametunukiwa vyeti vyao ikiwa ni Mahafali ya ishirini na moja nchini na ya kumi na moja kampasi ya Mbeya mgeni…
3 Novemba 2023, 20:50
Polisi Mbeya mguu kwa mguu kutoa elimu ya ukatili
na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwenye shule za msingi,sekondari na vyuo ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimeanza kushamiri nchini Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga ameongoza Dawati…
3 Novemba 2023, 20:25
RC Homera ataka wahitimu TIA kuwa na nidhamu ya fedha
na ,Prince Fungo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka wahitimu wa taasisi ya fedha ya uhasibu (TIA) kampasi ya Mbeya kutumia maarifa waliyoyapata chuoni hapo Kwenda kutatua changamoto za kiuchumi kwenye jamii ikiwemo kuwa na nidhamu ya fedha…
31 Oktoba 2023, 12:55 um
UWaWa kutatua changamoto ya utoro wilayani Pangani, Tanga.
Na Cosmas Clement. Makala haya yanaelezea jinsi hali ya utoro ilivyopungua kwa shule za msingi wilaya ya Pangani kwa kipindi cha kuanzia June 2022 hadi June 2023 kutoka asilimia 15 kufikia asilimia 2. katika makala haya utasikia jinsi ushirikiano wa…
30 Oktoba 2023, 9:02 um
Wazazi walalamikiwa kushindwa kulipa Ada za watoto wao
Shule ya Sekondari Ntunduru imekuwa ikifanya vizuri tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, ambapo kwa mwaka huu 2023 jumla ya wahitimu 70 wanatarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne wakiwa wasichana 37 na wavulana 33. Na:Joyce Rollingstone. Shule ya sekondari ntunduru…