Radio Tadio

Elimu

15 Novemba 2023, 15:34

Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike

Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni  wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada                 Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…

13 Novemba 2023, 16:07

Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa

Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri  amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika  shindano la Mdahalo…