Elimu
17 Novemba 2023, 21:21
Coplo Kinyaga:Mnaweza kuisaidia jamii kuwa salama na majanga
Na Sifael kyonjola Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto yanapotokea katika jamii inayowazunguka. Mafunzo hayo yametolewa na afisa habari zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya…
17 Novemba 2023, 16:56
Wanahabari Mbeya wapewa mbinu za kukabiliana na majanga ya moto
Na Mwanaisha Makumbuli Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Mbeya, (MBPC) wamepewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto ili kuwajengea uwezo wa kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya majanga hayo. Pia mafunzo hayo ya siku moja…
17 Novemba 2023, 9:55 MU
Wanafunzi Masasi wahimizwa kupambana na vitendo vya ukatili
MASASI. Mwenyekiti wa kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili idara ye elimu mkoa wa Mtwara Kristine Simo, ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Upendo Charity inayojishughulisha na kusaidia jamii yenye uhitaji iliyopo wilayani Masasi, amewataka wanafunzi…
15 Novemba 2023, 3:34 um
Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike
Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…
14 Novemba 2023, 19:45
Dr.Tulia:Toeni elimu huo ndio wajibu wenu kama ustawi wa jamii
Na Deus Mellah Spika wa bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mbeya mjini Dr Tulia Akson amewataka mafiasa ustawi wa jamii nchini kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii…
13 Novemba 2023, 4:07 um
Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa
Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika shindano la Mdahalo…
13 Novemba 2023, 15:48
St. Francis Mbeya wafanya maombi kabla ya mtihani kidato cha nne
Na Deus Mellah Wakati mtihani wa taifa wa kidato cha nne ukianza leo kwa shule zote za sekondari nchini wanafunzi kidato cha nne wa shule ya St. Francis girls ya jijini Mbeya wamefanya ibada maalumu ya kumuomba Mungu ili aweze…
13 Novemba 2023, 11:41 mu
Wanafunzi kidato cha nne wapewe nafasi na uhuru wakati wote wa mtihani
Kuanza kwa mtihani wa kidato cha nne kumeisukuma taasisi ya mtetezi wa mama wilayani Geita kuandaa kongamano la kuwaombea nakuwapatia vifaa watahiniwa katika shule za Katoro na Ludete. Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi Mkoani Geita wametakiwa kuwatimizia mahitaji ya…
13 Novemba 2023, 10:18 mu
Wanafunzi kidato cha nne waanza mtihani wa taifa
Na mwandishi wetu Wanafunzi 572, 338 wa kidato cha nne kutoka shule 5,371 kote nchini wameanza mtihani wa taifa leo. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), imeeleza kuwa mwaka huu kuna ongezeko la watahiniwa 8, 633 sawa na…
12 Novemba 2023, 7:43 um
Wanafunzi 4953 kidato cha nne Bunda kuanza mtihani Nov 13
Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha nne wilayani Bunda kati yao wasichana ni 2470 na wavulana 2483. Na Adelinus Banenwa Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha…