Elimu
14 Novemba 2023, 19:45
Dr.Tulia:Toeni elimu huo ndio wajibu wenu kama ustawi wa jamii
Na Deus Mellah Spika wa bunge la jamhuri wa muungano wa tanzania ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mbeya mjini Dr Tulia Akson amewataka mafiasa ustawi wa jamii nchini kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii…
13 Novemba 2023, 4:07 um
Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa
Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika shindano la Mdahalo…
13 Novemba 2023, 15:48
St. Francis Mbeya wafanya maombi kabla ya mtihani kidato cha nne
Na Deus Mellah Wakati mtihani wa taifa wa kidato cha nne ukianza leo kwa shule zote za sekondari nchini wanafunzi kidato cha nne wa shule ya St. Francis girls ya jijini Mbeya wamefanya ibada maalumu ya kumuomba Mungu ili aweze…
13 Novemba 2023, 11:41 mu
Wanafunzi kidato cha nne wapewe nafasi na uhuru wakati wote wa mtihani
Kuanza kwa mtihani wa kidato cha nne kumeisukuma taasisi ya mtetezi wa mama wilayani Geita kuandaa kongamano la kuwaombea nakuwapatia vifaa watahiniwa katika shule za Katoro na Ludete. Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi Mkoani Geita wametakiwa kuwatimizia mahitaji ya…
13 Novemba 2023, 10:18 mu
Wanafunzi kidato cha nne waanza mtihani wa taifa
Na mwandishi wetu Wanafunzi 572, 338 wa kidato cha nne kutoka shule 5,371 kote nchini wameanza mtihani wa taifa leo. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), imeeleza kuwa mwaka huu kuna ongezeko la watahiniwa 8, 633 sawa na…
12 Novemba 2023, 7:43 um
Wanafunzi 4953 kidato cha nne Bunda kuanza mtihani Nov 13
Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha nne wilayani Bunda kati yao wasichana ni 2470 na wavulana 2483. Na Adelinus Banenwa Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha…
12 Novemba 2023, 11:54 mu
Idara ya elimu sekondari Bunda mji yawapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vi…
Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda imefanya hafla ya kuwapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya Kidato cha Nne na Sita mwaka 2022. Na Adelinus Banenwa Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda…
9 Novemba 2023, 8:05 mu
Ujenzi wa Sekondari Bunda Mjini wafikia 85%
Ujenzi wa shule ya Sekondari ya Bunda Mjini unagharimu shilingi 584 mil chini ya mradi wa SEQUIP yafikia asilimia 85. Na Adelinus Banenwa Ujenzi wa shule ya Sekondari ya Bunda Mjini unagharimu shilingi 584 mil chini ya mradi wa SEQUIP…
8 Novemba 2023, 3:35 um
MEMKWA mkombozi kwa watoto Nagulo Bahi
Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa MEMKWA ni moja ya jitihada za kufikia malengo ya maendeleo endelevu hasa Elimu bora. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa mtaa wa Nagulo Bahi Kata ya Bahi wametakiwa kujitokeza kuwaandikisha watoto kwaajili ya…
7 Novemba 2023, 19:05
Wazazi waonywa kuwaozesha watoto kwa wachimba madini Chunya
Na Samweli Mpogole Wazazi na walezi wilaya ya Chunya wametakiwa kuacha tabia ya kuwafanyisha kazi watoto katika shughuli za uchimbaji madini na kuwaozesha wakiwa bado masomoni badala yake wawasimamie katika masomo yao. Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri…