Biashara
3 Novemba 2023, 16:39
Watu wasiojulikana wavunja vibanda 13 vya biashara manispaa ya Kigoma
Kubomolewa kwa vibanda hivyo kunatajwa kuwarudisha nyuma wafanyabiashara wakubwa na wadogo kwani ndio sehemu pekee walitegeme kujipatia kipato. Na Emmanuel Matinde Watu wasiojulikana wanaokisiwa idadi yao kuwa ishirini wamevunja kuta za vibanda vya biashara 13 kati ya 25 vinavyojengwa katika…
1 Novemba 2023, 5:20 um
Wananchi walia kutelekezwa eneo la stend Sengerema
Ikumbukwe kuwa kwenye mkutano wa Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mh. Senyi Ngaga uliofanyika katika eneo la ujenzi wa shule ya sekondari Nyampulukano mwezi Mei mwaka huu ,Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema Binuru Shekidele aliwaahidi wananachi kuwa stendi hiyo…
1 Novemba 2023, 15:32
Serikali kuendelea kutatua changamoto za wafanyabiashara Kigoma
Wafanyabiashara wameomba serikali kuweka mazingira rafiki ili waweze kufanya vizuri katika kufanya baishara ndani na nje ya nchi. Na Lucas Hoha Serikali imewahakikishia wafanyabiashara wa mkoa wa Kigoma kuwa inaendelea kutatua changamoto na vikwazo vinavyowafanya kushindwa kufanya biashara ikiwemo kuboresha…
20 Oktoba 2023, 10:08 um
Wanafunzi 300 wanufaika na program ya kilimo-viwanda scholarship
Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wanafunzi 300 wanaosomea kilimo katika vyuo Vinne vilivyo Chini ya programu inayojulikana kama Kilimo-Viwanda scholarship, wamenufaika na ufadhili wa masomo unaotolewa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) nchini Tanzania. Akiongea 19 Oktoba, 2023 wakati…
18 Oktoba 2023, 1:47 um
TBS yasisitiza wadau kushiriki uandaaji wa viwango
Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania, TBS, Shirika la Viwango Zanzibar, ZBS pamoja na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), imeandaa tuzo za ubora za kitaifa awamu ya nne kwa 2023 kwa wajasiriamali, wazalishaji wa…
11 Oktoba 2023, 12:34
Tani 124.1 za mbaazi zauzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani
Mfumo wa stakabadhi ghalani umewezesha kuuza mbaazi shilingi 1,710 kwa kilo huku wakulima wakifurahia mfumo huo na kuridhia bei. Na Jackson Machoa/ Morogoro Jumla ya tani 124.1 za zao la mbaazi zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 212 zimeuzwa…
10 Oktoba 2023, 1:42 um
TCB Bank yawapiga msasa wasitaafu Sengerema
Baadhi ya wastaafu wamekuwa na tabia ya kuoa vibinti vidogo baada ya kulipwa mafao yao jambo linalopelekea vifo vya mapema na kutoa laana kwa watoto wao nchini. Na Anna Elias Zaidi ya wastaafu 270 mjini Sengerema wamepatiwa mafunzo na benki…
27 Septemba 2023, 4:22 um
Usimamizi mbovu wapelekea biashara nyingi kufa
Usimamizi wa biashara nyingi umekuwa ni changamoto na sababu kubwa inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara hizo. Na Mindi Joseph. Usimamizi wa Biashara kwa wafanyabiasha imetajwa kuwa bado ni changamoto inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara. Hayo yamebainishwa…
22 Septemba 2023, 5:17 um
Serikali yaombwa kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara Bunda
Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya kufanya biashara hasa kwa wafanyabiashara waliopanga kwenye majengo ya Umma kama vile stendi na sokoni. Na Adelinus Banenwa. Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya…
22 Septemba 2023, 5:01 um
Wafanyabiashara Pemba walalamikia kodi kubwa
Wafanyabiashara kisiwani Pemba wameiomba serikali kuwapunguzia kodi ili kuweza kunusuru biashara zao. Na Is-haka Mohammed. Wafanyabiashara kisiwani Pemba wamedai kuwepo kwa kodi kubwa kunatishia uhai wa biashara zao na kuiomba serikali kuangalia upya hali ya kodi wanazotoza ili kunusuru hali hiyo…