Afya
14 June 2023, 3:24 pm
Asilimia 97 watumiaji dawa wamefanikiwa kufubaza virusi vya Ukimwi
Waziri Ummy ametoa wito kwa Watanzania kwenda kupima kujua hali zao lakini kwa ambao wanajua hali zao dawa za UKIMWI zipo na zinatolewa bila malipo na vipimo vya kujipima mwenyewe vipo kwahiyo Watanzania wajitokeze kupima ili tutokomeze UKIMWI ifikapo mwaka…
June 9, 2023, 7:51 am
Dawa za P2 si kila mtu anapaswa kuitumia
Dawa za P2 ni kwa ajili ya Dharura na si vinginevyo
June 8, 2023, 10:23 am
Wanaume washauriwa kuona wataalam tatizo nguvu za kiume
Wanaume washauriwa kwenda kwa Wataalamu tatizo la Nguvu za Kiume
7 June 2023, 6:18 pm
Serikali yatenga zaidi ya milioni 725 kuzuia, kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Dkt. Mollel amesema hayo, leo Juni 7, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Mhe. Bernabetha Kasabago Mushashu katika Bunge la kumi na mbili Mkutano wa kumi na moja kikao cha 42, Jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. NAIBU…
3 June 2023, 14:50 pm
Kipindi: Fahamu ulemavu aina ya mguu kifundo au unyayo uliopinda
Siku ya mguu kifundo au unyayo uliopinda inaadhimishwa leo Juni 3, 2023 katika wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Jamii FM Radio kwa kushirikiana na Hospital ya Rufaa Kanda ya Kusini (SZRH) tumetoa elimu kwa jamii juu ya aina hii ya…
27 May 2023, 12:20 pm
Na Mrisho Sadick: Kufuatia Kampeni ya “TUMUWEZESHE” Iliyoratibiwa na Storm FM kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuchangia taulo za kike hatimaye zoezi hilo limefanikiwa kwa kutembelea nakutoa taulo hizo kwa wanafunzi wa kike katika baadhi ya shule zilizopo katika Halmashauri…
26 May 2023, 10:32 am
Wananchi washauriwa kufanya usafi wa kinywa na meno
MPANDA Jamii Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeshauriwa kufanya vipimo vya meno, kufanya usafi wa kinywa kwa kuzingatia muda, kuepuka matumizi holela ya dawa zisizo za kitabibu ili kuepukana na magonjwa ya meno na kinywa kutoa harufu mbaya. Ushauri huo…
24 May 2023, 6:56 pm
Timu ya madaktari bingwa kuweka kambi Makole na Mkonze
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…
22 May 2023, 1:10 pm
Timu ya wataalam yaundwa kutekeleza mpango mkakati wa dhana ya Afya Moja
Na Katalina Liombechi Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na uhifadhi wa wanyamapori Afrika (AWF) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu, IUCN na wadau wengine wameunda timu ya wataalam kutoka katika bonde la Kilombero kutekeleza mpango mkakati wa Ofisi ya…
18 May 2023, 4:16 pm
Maswa: Zaidi ya wananchi laki mbili wamepata chanjo ya covid-19
Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…