Radio Tadio

Afya

Julai 4, 2023, 11:20 mu

Wakazi Kata ya Nyandekwa wahimizwa ushirikiano ujenzi wa zahanati

Wakazi wa Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama wametakiwa kuacha kukwamisha  shughuli  ya ujenzi wa zahanati kijijini hapo. Na Clement Paschal Wakazi wa kijiji cha Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha kukwamisha  shughuli  ya ujenzi wa…

Julai 4, 2023, 10:56 mu

Jamii kuishi kwa mazoea chanzo cha magonjwa yasioambukizwa

Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Na Misoji Masumbuko Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia…

03/07/2023, 14:50

Waganga tiba asili, wakunga 28 watunukiwa vyeti

Mafunzo hayo yaliyodumu kwa muda wa wiki moja yametolewa na wakufunzi kutoka Taasisi ya afya na sayansi shirikishi Dodoma (DIHAS) (Dodoma Institute of Health and allide Science). Na Alfred Bulahya. Jumla ya waganga wa tiba asili na wakunga 28 kutoka…

Juni 23, 2023, 8:10 mu

Ushauri: Zingatieni lishe bora kwa watoto

Wazazi na walezi kijiji cha Ihela Kata ya Tandala wilayani Makete wamekumbushwa namna ya kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuhakikisha wanakuwa na Afya imara. Akizungumza na Wazazi na walezi wa kijiji hicho tarehe 21 Juni, 2023 Bi. Jackline Nanauka…