Radio Tadio

Afya

27 May 2023, 12:20 pm

Na Mrisho Sadick: Kufuatia Kampeni ya “TUMUWEZESHE” Iliyoratibiwa na Storm FM kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuchangia taulo za kike hatimaye zoezi hilo limefanikiwa kwa kutembelea nakutoa taulo hizo kwa wanafunzi wa kike katika baadhi ya shule zilizopo katika Halmashauri…

26 May 2023, 10:32 am

Wananchi washauriwa kufanya usafi wa kinywa na meno

MPANDA Jamii Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeshauriwa kufanya vipimo vya meno, kufanya usafi wa kinywa kwa kuzingatia muda, kuepuka matumizi holela ya dawa zisizo za kitabibu ili kuepukana na magonjwa ya meno na kinywa kutoa harufu mbaya. Ushauri huo…

24 May 2023, 6:56 pm

Timu ya madaktari bingwa kuweka kambi Makole na Mkonze

Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa  kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…