Afya
Julai 12, 2023, 6:38 um
Cherehani aiomba halmashauri ya Ushetu kutenga eneo ujenzi wa kituo cha afya
Kijiji cha Ulowa kina zahanati moja ambayo haikidhi mahitaji ya wananchi ambapo mbunge wa jimbo la Ushetu Emmannuel Cherehani ameiomba halmashauri kutafuta eneo la kujenga kituo cha afya chenye thamani ya shilingi milioni 500 Na Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Ushetu…
12 Julai 2023, 4:28 um
Fahamu matibabu na jinsi ya kujikinga na saratani ya jicho
Saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi kumi na nane na huonekana zaidi kwa watoto chini ya miaka mitano. Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu juu ya utambuzi wa Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi…
11 Julai 2023, 6:08 um
Ukosefu wa zahanati Mbelezungu Chamwino wapelekea vifo vya akina mama wajawazito
Sera ya afya ya mwaka 2007 imeweka wazi kuwa kila kijiji kanatakiwa kuwa na zahanati moja ili kuhudumia wananchi wa eneo hilo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ukosefu wa Zahanati katika kijiji cha Mbelezungu Wilayani Chamwino ni sababu inayosababisha vifo…
11 Julai 2023, 5:45 um
Wizara ya Afya Yawajengea uwezo Wanahabari Iringa.
Na Adelphina Kutika Wizara ya Afya imeendelea kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari nchini kuhusiana na masuala ya chanjo ili waweze kuelimisha jamii. Afisa Program ya chanjo wa mpango wa Taifa wa chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau amesema Wizara…
11 Julai 2023, 4:45 um
Wahudumu wa Afya nchini watakiwa kupunguza semina
Aidha Waziri Ummy amewataka wataalamu hao wa afya kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia kazi zao za tiba. Na Fred Cheti. Waziri wa Afya, Mhe Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi…
10 Julai 2023, 8:11 um
Uislam wazungumzia lishe na virutubisho
Suala la kufuata utaratibu wa mlo kamili ni la muhimu ili kuimarisha afya, ili kutimiza azma ya serikali kuandaa wataalam wabunifu wa kizazi kinachokuja, viongozi mbalimbali wa kiserikali na kiimani wameendelea kusisitiza kuwa lishe si suala la hiari, wanaowaza hivyo…
10 Julai 2023, 10:30 mu
Kituo cha afya Kazima chaanza kutoa huduma
MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi Mhe Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi halmashauri ya manispaa ya Mpanda. Moja ya miradi iliyotembelewa ni kituo cha afya Kazima kilichojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu. Katika ziara…
9 Julai 2023, 5:48 um
Wakamatwa kwa kumfanyia ukatili mtoto
Matukio ya ukatili yamekuwa yakiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, licha ya juhudi binafsi ya jamii kwa kushirikiana na serikali kuendelea kukemea na kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na Said Sindo- Geita Baadhi ya akina mama mtaa wa Ibolelo maarufu…
8 Julai 2023, 10:14 um
Vipigo kwa wanawake wajawazito hupelekea kuzaliwa kwa watoto njiti
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewataka wanaume wenye tabia za kupiga wake zao wakati wakiwa wajawazito kuacha mara moja tabia hiyo. Na. Abdunuru Shafii Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amepokea misaada mbalimbali iliyotolewa na taasisi ya…
8 Julai 2023, 3:57 um
Watu 8 hufariki kila mwezi kwa TB Geita
Ugonjwa wa kifua kikuu (TB) umeendelea kuwa tishio mkoani Geita kutokana na idadi ya watu wanaobainika kuwa na ugonjwa huo kwa mwaka pamoja na idadi ya watu wanaofariki dunia. Na Mrisho Sadick- Geita Watu wanane (8) wanafariki dunia kila mwezi…