Afya
14 Septemba 2023, 11:40 mu
Wananchi wafunguka juu ya ukamilishaji dozi ya maralia kwa usahihi
Mgonjwa wa maralia anapaswa kukamilisha dozi ya Malaria ambayo anapatiwa na mtaalamu wa afya Ambapo kutamsaidia kumaliza vimelea vya maambukizi ya maralia Na John Benjamin – Mpanda Wananchi halmashauri ya manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wametoa maoni namna wanavyoelewa…
13/09/2023, 15:27
Ugumu wa maisha watajwa kuwa sababu ya watu kujiua
Septemba 10 kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya kuzuia kujiua ambapo Kitaifa maadhimisho hayo yalifanyika katika Hospitlai ya Taifa ya akili Mirembe jijini Dodoma. Na Katende Kandolo. Imeelezwa kuwa ugumu wa maisha pamoja na msongo wa mawazo ni miongoni mwa…
13/09/2023, 14:47
Jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya
Wataalamu wa Afya wanashauri jamii kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kubaini hali zao na namna ya kukabiliana na magonjwa yanayoweza kujitokeza kwa haraka zaidi . Na Richald Ezekiel. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya mara kwa…
13/09/2023, 10:25
Kikao cha kamati ya tathmini chanjo ya polio chafanyika wilayani Kyela
Kamati ya tathmini ya ugonjwa wa polio imeketi na kujadili masuala mbalimbali ya maandalizi kuelekea zoezi la chanjo ya polio ikiwemo namna ya kuwafikia watoto hasa wenye umri chini ya miaka minane. Na Secilia Mkini Kikao cha mafunzo dhidi ya…
12/09/2023, 12:26
Serikali yaendelea kuchukua tahadhari kudhibiti Polio Nchini
Aidha wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Viongozi mbalimbali wametakiwa kusimamia Kampeni ya Kitaifa ya chanjo ya matone pamoja na Waganga wa Mikoa kutoa chanjo hiyo kwa wakati sambamba na kutoa elimu kwa jamii. Na Yussuph Hassan. Serikali imeendelea kuchukuwa…
Septemba 12, 2023, 9:24 mu
Maisha na UVIKO 19
Umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19 kwa wana jamii na kuchukua tahadhari ili kujilinda dhidi ya maambukizi ya mlipuko huo. Mtalaam wa afya kutoka ofisi ya Mganga mkuu wilaya ya Nyasa Dr Richard Kubingwa Akitoa elimu ya uchanjaji na kujikinga…
11 Septemba 2023, 3:17 um
Wanahabari kuwa mabalozi kutoa elimu ya sikoseli
Mkoa wa Tabora unashika nafasi ya nne miongoni mwa mikoa yenye waathirika wengi wa ugonjwa wa sikoseli nchini. Kaimu Mkurugenzi wa hospital ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete Dkt. Renatus Burashahu amewaomba waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele…
Septemba 11, 2023, 12:50 um
Wafugaji Makete wapigwa marufuku kuingiza mifugo eneo la hospitali
Juhudi za kuendelea kutoa elimu kwa wananchi zinaendelea kutunza mazingira kwa kutopeleka mifugo katika eneo la hospitali. Furahisha Nundu – Makete Wakazi wa kata ya Iwawa wilaya ya Makete mkoani Njombe wametakiwa kutunza miundombinu na vifaa vya ujenzi katika Hosptitali…
11 Septemba 2023, 12:49
Fahamu jinsi mifumo ya maisha inavyosababisha ongezeko la magonjwa
Katika maisha ya binadamu kumekuwa na mifumo mbalimbali ya maisha, ambapo watanzania walio wengi wana tabia ya kutozingatia afya hasa katika suala la ulaji hali inayowafanya wakumbwe na magonjwa mbalimbali. Na Hobokela lwinga Kutokana na mifumo mbalimbali ya maisha kuchangia…
11 Septemba 2023, 12:11 um
Zaidi ya watoto elfu 99 kupata chanjo ya polio Karagwe
Watoto 99,159 wilayani Karagwe watakuwa miongoni mwa watoto 3,250,598 wenye umri wa chini ya miaka minane watakaopata chanjo ya kinga ya polio katika kampeni ya chanjo kitaifa Septemba 21-24 mwaka huu. Na. Tumaini Anatory Kwa mujibu wa mratibu wa chanjo…