Afya
8 Septemba 2023, 9:01 mu
Kilio kwa wananchi wa Mjini Kiuyu kutotumika jengo lao la kituo cha Afya
Wananchi wa Mjini Kuyu Wilaya ya Wete wakililia miaka 12 tangu kujengwa kituo cha Afya katika kijiji chao kwa lengo la kusaidia kwa mama wajawazito kupata huduma kwa wakati ila bado seriakali hawajakitumia kituo hicho kama wanavyohitaji wananchi hao. Na…
6 Septemba 2023, 1:47 um
Wajawazito wahimizwa kutumia dawa kinga
Kwa mujibu wa wataalam wa afya, wanasisitiza suala la akina mama kupata dawa kinga kwani zimekuwa na umuhimu kwa afya ya mama na mtoto. Na Naima Chokela. Imeelezwa kuwa upo umuhimu kwa mama mjamzito kupatiwa dawa kinga katika kipindi cha…
6 Septemba 2023, 12:09 um
Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda
Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…
5 Septemba 2023, 3:10 um
Jamii yatakiwa kufuata kanuni na taratibu ili kuepuka usugu wa dawa
Matumizi holela ya dawa husababisha ugumu wa kutibu magojwa kutokana na mwili kuwa na usugu wa dawa. Na David kavindi. Jamii imeaswa kufuata kanuni na taaratibu za matumizi sahihi ya dawa ili kupeuka changamoto ya usugu wa dawa hizo mwilini. …
5 Septemba 2023, 1:57 um
Wanaume wahimizwa kuhudhuria kliniki na wake zao
Miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha mwitikio mdogo kwa wanaume kuwasindikiza wenza wao kliniki ni pamoja na kukabiliwa na majukumu ya kila siku jambo ambalo linaweza kutatulika iwapo kila mmoja atatambua umuhimu wa kuhudhuria kliniki na mwenza wake. Na Richard Ezekiel.…
4 Septemba 2023, 12:32 um
Wananchi watakiwa kutatua changamoto zinazo sababisha msongo wa mawazo
Takwimu kutoka shirika la afya Duniani WHO zinaonyesha kuwa kila mwaka watu 800,000 hupoteza maisha kwa kujiua kutokana na msongo wa mawazo huku kila baada ya sekunde 40. Na Naima Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kushirikishana katika kutatua changamoto mbalimbali…
4 Septemba 2023, 10:53 mu
Zanzibar Yakabiliwa na Upungufu wa Vifaa Vya Uchunguzi wa Hiv
VIJANA WASHINDWA KUCHUNGUZA AFYA ZAO Na Harith Subeit Zanzibar Kumekuwa na uhaba wa wa kifaa cha uchunguzi wa Virusi Vya UKIMWI ( HIV Kits) katika vituo vya afya vya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar jambo ambalo limepelekea huduma ya upimaji…
4 Septemba 2023, 9:53 mu
Uhaba wa vifaa vya kupimia VVU Unaathiri Vijana Kutambua Afya Zao Zanzibar.
Zoezi la upimaji ya vizusi vya UKIMWI Zanzibar limeshuka kila siku kutokana na uhaba wa vifaa vya upimaji katika vituo vya serikali . Na Mwandishi wetu. KUMEKUWA na uhaba wa kifaa cha uchunguzi wa Virusi Vya UKIMWI (HIV Kits) katika…
30 Agosti 2023, 4:58 um
Jamii yatakiwa kujenga mazoea ya kutumia maziwa
Daktari Malaki amesema kuwa maziwa hayasaidii kusafisha mfumo wa hewa kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakiamini. Na Aisha Alim. Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kunywa maziwa mara kwa mara ili kuimarisha afya zao kutokana na maziwa hayo kuwa na…
30 Agosti 2023, 7:54 mu
Wanahabari Pemba watakiwa kuandika habari za uchunguzi kuhusu GBV
Udhalilishaji ni vitendo ambavyo vinapigiwa kelele siku hadi siku katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo ni vyema kuhakikisha tunashirikiana kwa pamoja kutokomeza suala hili ambalo limekuwa likirejesha nyuma maendeleo. Na Mwiaba Kombo Afisa mkuu wa mawasiliano na uchochemuzi kutoka Chama cha…