Afya
8 Novemba 2023, 15:35
Momba kusimamiwa na serikali ujenzi wa vyoo kwa gharama zao
Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Momba imewaagiza watendaji wa vijiji na kata kutumia sheria ndogo za maeneo yao kutoza faini kwa wananchi ambao hawana vyoo bora na kuzitumia katika ujenzi wa vyoo bora kwa kaya ambazo zimetozwa faini hiyo…
07/11/2023, 16:36
Wananchi watakiwa kuacha matumizi ya maziwa mabichi
Baadhi ya watu wanaokunywa maziwa mabichi huenda wasielewe kikamilifu hatari na huenda wasijue uwezekano wa kupata ugonjwa kutokana na bakteria katika maziwa . Na Aisha Alim. Bodi ya maziwa nchini imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuepuka matumizi ya maziwa…
07/11/2023, 12:34
Mimba za utotoni zapungua nchini kwa 5%
Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyofanikiwa kupunguza mimba za utotoni kwa kiwango kikubwa . Na Mariam Matundu. Ripoti ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na viashiria vya malaria ya mwaka 2022 imeonesha Tanzania imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni…
5 Novemba 2023, 13:44
Wanafunzi shule za msingi wilaya ya Songwe kunufaika na vyandarua 32,670
Wilaya ya Songwe imezindua kampeni ya usambazaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule zote za msingi za Serikali na binafsi lengo likiwa ni kutokomeza maambukizi ya malaria katika wilaya hiyo. Na Mwandishi wetu,Songwe Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya…
Novemba 3, 2023, 9:19 mu
DC Ileje aagiza wananchi waelimishwe matumizi sahihi ya vyandarua
Na Denis Sinkonde, Ileje Wataalam wa afya na viongozi wa serikali wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wameagizwa kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya vyandarua vyenye dawa ili wajiepushe kutumia kutengenezea bustani za mbogamboga na kuvulia samaki.…
02/11/2023, 18:00
Makala: Huduma ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…
1 Novemba 2023, 11:52 mu
18 wagundulika na kipindupindu Maswa, mmoja afariki dunia
Na Nicholaus Machunda Watu 18 wamegundulika na ugonjwa wa kipindupindu wilayani Maswa mkoani Simiyu huku mmoja akifariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Bi, Salma Mahizi wakati …
Novemba 1, 2023, 11:02 mu
Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4
Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…
31/10/2023, 19:49
Vifaa vya matibabu vya milioni 400 vyanunuliwa Nyang’hwale
Serikali imedhamilia kuboresha huduma za afya kwa kujenga nakupeleka vifaa vya kisasa vya matibu katika Zahanati , Vituo vya afya na Hospitali. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetoa zaidi ya milioni 400 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba…
31 Oktoba 2023, 15:37
Vyoo vyatajwa kuwa sababu ya chanzo cha polio
Mgonjwa mmoja wa polio kwa mjibu wa wataalumu wa afya anapobainika kupata maambukizi anatajwa kuweza kuambukiza watu Zaidi ya 200 kwa wakati mmoja. Na Hobokela Lwinga Serikali inatarajia kutoa chanjo ya awamu ya pili ya polio katika mikoa sita ya…