Afya
22 Novemba 2023, 17:05
Wahudumu wa afya Bwai walia na hatari ya magonjwa wananchi kukosa huduma ya vyoo
Vichaka na kandokando ya ziwa vimeendelea kutumika kama vyoo jambo ambalo ni hatari kwa afya hasa kwa kipindi hiki cha mvua. Na Edward Lucas Wahudumu wa afya kijiji cha Bwai Musoma Vijijini walia na hatari ya magonjwa ya tumbo na…
22 Novemba 2023, 10:31 mu
Zaidi ya watoto 20 huzaliwa njiti kila mwezi mkoani Katavi
Mama anapojihisi kuwa ni mjamzito ni bora awahi kituo cha kutolewa huduma za afya ili kuepuka kujifungua mtoto kabla ya wakati. Na Gladness Richard-Katavi Zaidi ya watoto 20 kila mwezi ndani ya mkoa wa Katavi wameripotiwa kuzaliwa wakiwa njiti huku…
22 Novemba 2023, 10:17
Watoto wa miaka mitano hadi 14 kupatiwa dawa za minyoo na kichocho kigoma
Imeelezwa kuwa jamii kushindwa kuzingatia usafi na kuwa na vyoo bora ni miongoni mwa sababu zinazosababisha kuendelea kusumbuliwa na magonjwa ya minyoo na kichocho. Na Tryphone Odace Jumla ya Watoto laki tano na tano elfu mia nane na arobaini wenye…
21 Novemba 2023, 10:34 um
Mbunge Kakoso awakataa madereva walevi
Mbunge Kakoso ameshauri halmashauri hiyo kufanya marekebisho ya magari yaliyoharibika ili yaweze kuendelea kutoa huduma. Na Anna Milanzi -Katavi Mbunge wa jimbo la Mpanda Vijijini mkoani Katavi amekabidhi gari mpya ya wagonjwa kwa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika huku akisisitiza…
19/11/2023, 10:53
Asilimia 11 ya akina mama nchini hujifungua kabla ya wakati kila mwaka
Siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati ilianzishwa kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto ambao bado hawajakomaa. Na Mindi Joseph. Maadhimisho ya siku ya watoto wanozaliwa kabla ya wakati yalifanyika Nov 17 katika hospital ya benjamini mkapa yakiwa yamebeba…
18/11/2023, 15:38
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio wilayani Geita
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuwa tatizo miongoni mwa wakazi wa Mkoa wa Geita huku mtindo wa maisha ukitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya wagonjwa wanaosumbuliwa na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo kisukari katika kituo cha…
17/11/2023, 14:19
Waganga wafawidhi Kilosa wasisitizwa kutumia mfumo wa Got-HoMIS
Katika kuboresha huduma bora za afya na kudhibiti upotevu wa mapato katika vituo vya afya na zahanati serikali imevitaka vituo hivyo kuimarisha usimamizi wa utumiaji wa mfumo wa GoT-HoMIS ambao utaleta ufanisi katika masuala ya usimamizi wa dawa,vifaa tiba, pamoja…
16 Novemba 2023, 8:34 um
Mfumo wa alama za vidole kwa WAVIU wazinduliwa hospitali ya rufaa Iringa
Na Godfrey Mengele. Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa imezindua mfumo wa uandikishaji kwa alama za vidole lengo likiwa kuimarisha huduma kwa watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) ili kupata takwimu sahihi za wale wanaoishi na maambuzi hayo…
16/11/2023, 12:34
Geita mji yapewa siku 30 kukamilisha Zahanati zote zilizotelekezwa
Kutelekezwa kwa Zahanati zaidi ya tatu katika Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita kumemuibua Mkuu wa Mkoa nakutoa maagizo kwa watendaji wa serikali katika eneo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela ametoa…
15 Novemba 2023, 17:29
Mashamba ya shule yatumike kuimarisha lishe kwa wanafunzi
Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Momba, Bi. Regina Bieda amewaagiza wakuu wa shule na waalimu wakuu kuhakikisha wanatumia vizuri ardhi ya shule kwa kulima mazao mbalimbali ya kuimarisha lishe bora kwa wanafunzi. Bi. Regina Bieda…