Radio Tadio

Afrika

May 12, 2026, 3:40 pm

LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba

Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA ‎‎Mamlaka ya Serikali za Mitaa…

21 April 2026, 9:52 pm

Yowe haiui mtu bali watu ndiyo wanaoua

Ipo sheria ya ukamataji ambayo inaelekeza ukamataji salama na pindi wananchi wanaoshiriki ulinzi shirikishi wakikamata muhalifu wanatakiwa kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Wananchi watakiwa kutojichukulia sheria mkononi ikiwemo kuhusuka katika mauaji ya wahalifu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha…

6 March 2026, 7:38 pm

Kesi ya Kaunya na wenzake yaendelea leo mahakama ya Bunda

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mulokozi Kamuntu. Na Adelinus Banenwa Kesi ya jinai namba 21 ya mwaka 2026 inayosikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda inaendelea kusikilizwa huku washtakiwa wakitetewa na…

9 February 2026, 10:55 am

Wafanyakazi wapongeza uwepo wa GGML Bonanza Day

“Uwepo wa bonanza hili si tu kwaajili ya kucheza michezo mbalimbali bali ni kuimarisha afya za mwili pamoja na mahusiano miongoni mwa wafanyakazi” – Dominic Marandu, mgeni rasmi. Na: Ester Mabula Wafanyakazi wa GGML pamoja na kampuni zilizopo ndani ya…

2 February 2026, 6:57 pm

RC Songwe azindua gari SORECU

Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…

17 November 2025, 17:12

Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha

Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…

24 October 2025, 9:40 am

Vijiji 40 kunufaika na kilimo cha umwagiliaji Manyara

Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…

14 October 2025, 11:19 am

Wanasimba wazindua mnara wa kisasa Mpomvu

“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…