Afrika
14 July 2026, 09:42
Vijana Kilolo watakiwa kutumia chuo cha Veta kujiajiri
Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa imekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Kilolo kinachojengwa kwa gharama ya Sh bilioni 1.6 kupitia fedha za mapato ya ndani ya Serikali. Na Hafidh Ally Vijana Halmashauri ya Wilaya ya…
22 June 2026, 7:20 pm
Wananchi watakiwa kufanya mazoezi kuepuka magonjwa yasiyoambukiza Geita
Mazoezi ya mara kwa mara yana mchango mkubwa katika kupunguza hatari ya kupata magonjwa kama shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo pamoja na unene uliopitiliza. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wamehimizwa kufanya mazoezi kuwa sehemu ya maisha yao…
22 June 2026, 5:41 pm
Mil. 300 kukarabati Nyankumbu huku uwanja wa Magogo kuanza kujengwa
Serikali mkoani Geita imevalia njuga suala la kuboresha miundombinu baada ya Geita Gold kupanda ligi kuu soka ya NBC Tanzania bara. Na: Ester Mabula Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imepanga kutumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa ajili…
20 June 2026, 6:55 pm
Academy ya mpira yazinduliwa kukuza vipaji Geita
Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…
11 June 2026, 4:02 pm
Makocha wa makipa watakiwa kujiepusha na vitendo vya ubashiri michezoni
Washiriki wa mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Geita , Dar es salaam, Mwanza , Ruvuma, Dodoma , Njombe , Mbeya na mikoa mingine ya Tanzania wamechangamkia fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Kamati tendaji ya Shirikisho la Mpira…
5 June 2026, 22:19
Wenyeviti wa vitongoji Maswa walia na TARURA ubovu wa barabara
Kila mmoja akitimiza wajibu wake katika kufanya kazi hautakuwa na migogoro yoyote, Lakini kwasababu tunafanya kazi kwa matakwa ya watu fulani ndio maana inafikia hatua ya mizozo kama hii ” Bi Caroline Shayo -Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo Maswa”…
15 May 2026, 11:57
Matarajio wavuvi ujenzi soko la samaki Afrika Mashariki Kipumbwi, Pangani
Na Rajabu Mrope Mwalo wa Kipumbwi, ndani ya Wilaya ya Pangani ndipo kitovu cha uvuvi ambapo boti zaidi ya 400 na wavuvi zaidi ya 6000 kutoka ndani nan je ya wilaya ya Pangani wanajishghulisha na shuhguli hii. Kwa mujibu wa…
May 12, 2026, 3:40 pm
LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba
Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Mamlaka ya Serikali za Mitaa…
22 April 2026, 8:08 pm
Kesi ya kaunya na wenzake, 14 waachiwa 7 wana kesi ya kujibu.
Watuhumiwa 14 wameachiwa huru huku wengine saba wakipatikana na kesi ya kujibu, kufuatia uamuzi mdogo (ruling) uliotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Bunda. Na Thomas Masalu Watuhumiwa 14 wameachiwa huru huku wengine saba wakipatikana na kesi ya kujibu, kufuatia uamuzi…
21 April 2026, 9:52 pm
Yowe haiui mtu bali watu ndiyo wanaoua
Ipo sheria ya ukamataji ambayo inaelekeza ukamataji salama na pindi wananchi wanaoshiriki ulinzi shirikishi wakikamata muhalifu wanatakiwa kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Wananchi watakiwa kutojichukulia sheria mkononi ikiwemo kuhusuka katika mauaji ya wahalifu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha…