Radio Tadio

Afrika

1 May 2025, 4:32 pm

Aliyemchoma mtoto wake mkono ahukumiwa, Bunda

Katika utetezi wake mshitakiwa aliiomba mahakama imuachie huru kutokana na yeye kuwa ni mjane na ana watoto watano wanamtegemea. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha masharti (condition discharge) cha kutokutenda kosa lolote ndani ya miezi…

31 March 2025, 4:18 pm

Watumishi Geita watakiwa kutumia michezo kuondoa tofauti zao

Michezo ni nguzo muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuongeza uwajibikaji kazini kwa watumishi wa umma. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame amewataka watumishi wa serikali Mkoani Geita kutumia michezo kuondoa tofauti zao nakuweka mbele…

27 December 2024, 9:50 pm

Wachezaji zaidi ya 20 waikimbia Biashara United

Wakati ligi ya Championship ikielekea katika mzunguko wa pili timu ya Biashara United inakabiliwa na changamoto ya kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wachezaji zaidi ya 20 na benchi la ufundi la timu ya Biashara United ya mkoani Mara wameikimbia timu hiyo…

23 October 2024, 16:05

Tigo, serikali kushirikiana kuhudumia wananchi huduma za kifedha

Serikali ikiendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji nao wanawajibu wa kuendelea kutoa ushirikiano kwa kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Hobokela Lwinga Kampuni ya mawasiliano Tanzania Tigo imesema itaendelea kutoa ushirikiano kwa Serikali kuhudumia wananchi katika nyanja mbalimbali ikiwemo kupitia…

17 January 2024, 5:35 pm

Watu wanne waangukiwa na ukuta wa Nyumba

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo nchini zimesababisha nyumba nyingi kuanguka huku nyingine zikiwa katika hali tete ya nyufa, ambapo viongozi wengi wamekuwa wakitoa tahadhali kwa wananchi kuhama kwenye maeneo yenye changamoto au mkondo wa maji. Na:Emmanuel Twimanye…