

7 October 2021, 5:53 pm
Na,Glory Paschal Waziri wa Nishati JANUARY MAKAMBA amesema serikali iko katika mchakato wa kuhakikisha inafikisha umeme wauhakika Mkoani Kigoma kwa kuunganisha Mkoa huu na Gridi ya Taifa kutoka vituo vya Nyakanazi na Tabora Mh. MAKAMBA amesema hayo wakati alipotembelea Kituo…
29 September 2021, 7:29 pm
Na,Glory Paschal Wajasiriamali nchini wametakiwa kuzingatia elimu ya utunzaji wa mazingira inayotolewa na baraza la uhifadhi wa mazingira NEMC ili kuweka mazingira safi na salama. Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi mkuu wa NEMC Nchini Bw. Samwel Gwamaka wakati akiongea na…
29 September 2021, 6:40 pm
Na,Glory Paschal KIGOMA Imeelezwa kuwa Imani Potofu na uchache wa vituo vya kutolea chanjo katika maeneo ya jamii imeelezwa kuwa chanzo cha kudhoofisha zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO 19 kutofanikiwa mkoani Kigoma Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa Mkoa…
29 September 2021, 6:34 pm
Na,Glory Paschal Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limefanikiwa kuwaua watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika barabara inayotokea kijiji cha Kagerankanda kata ya Nyakitonto Tarafa ya Buhoro wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi…
28 September 2021, 7:12 pm
Na,Glory Paschal Wananchi wa Kata za Bitale na Mkongoro Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani Kigoma wameondokana na adha ya kusombwa na Maji ya Mto Nyabigufa na kusababisha vifo pamoja na kupoteza mali zao, baada ya Serikali kujenga daraja la…
27 September 2021, 6:48 pm
Na, Mwanaid Suleiman Serikali imesema imekuja na mpango harakishi wa kuhamasisha chanjo ya corona ikiwa lengo ni kuhamasisha kila mwananchi anapatiwa chanjo ya corona Hayo yamesemwa na DR CRESENCIA JOHN kutoka ofisi ya mganga mkuu mkoani kigoma wakati akizungumza na…
16 September 2021, 9:10 pm
Na,Glory Paschal Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Mjaliwa Kassim amewahakikishia wakulima wanaolima mazao ya kimakakati nchini kuwawezesha katika mchakato wa kuandaa kulima na kuwatafutia masoko ya ndani na nje ya nchi. Ametoa kauli hiyo alipotembelea Shamba la michikichi katika kambi…
13 September 2021, 3:40 pm
Na,Glory Paschal Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia Maendeleo UNDP, likishirikiana na shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo sido mkoani kigoma wametoa mafunzo kwa wabunifu wanaoanza ili kuibua bunifu na kuahindanisha kazi zao ambapo mshindi wa kwanza atapatazawadi ya milioni 10…
9 September 2021, 5:54 pm
Na,Editha Edward Imeelezwa kuwa kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito humsaidia kujua hali ya mama kiafya Pamoja na hali ya mtoto wake aliyeko tumboni Akizungumza na redio Uvinza fm mganga mkuu wilaya ya Uvinza dkt ZAITUNI HAMZA amesema kuna baadhi…
9 September 2021, 5:44 pm
Na,Glory Paschal Imeelezwa kuwa katika Kipindi cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona awamu ya kwanza na ya pili hali ya watalii kutembelea hifadhi za Taifa Ikiwemo Ruaha ilipungua ikilinganishwa na wakati huu ambapo watalii wameanza kujitokeza kwa wingi kutembelea hifadhi…
Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.
Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.
This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.
96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.
VISION:
Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.
MISSION:
To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.
Radio uvinza fm