Triple A FM
Triple A FM
13 December 2023, 12:37 pm
Na Mariam Juma
8 December 2023, 11:16 pm
Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…
8 December 2023, 11:42 am
Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG jengo hilo lilitengewa shilingi Bilioni 3.9 Na Joel Headman Msikilizaji ukisoma muundo wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa wa…
8 December 2023, 10:45 am
Shilingi bilioni 3.9 tayari zilitolewa na Serikali Kuu na kuifikia halmashauri ya jiji la Arusha miaka mitatu iliyopita lakini hadi mwaka 2023 bado jengo la wagonjwa wa nje kwenye hospitali ya jiji hilo haijakamilika. Na Joel Headman Wakazi wa jiji…
7 December 2023, 3:33 pm
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa usafirishaji jijini Arusha. Picha na Anthony Masai “Sheria ya reli namba 17 imefanyiwa marekebisho ambapo kwa sasa inaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika miundombinu ya reli“. Na Anthony…
7 December 2023, 2:20 pm
Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za ufundi wa ,Mamlaka ya hali ya hewa nchini Dokta Paskali Wanyiha,akielekeza jambo.Picha na Anthony Masai. Licha ya maeneo mengi ya nchi kuendelea kupata mvua za kiwango cha juu ya wastani na kusababisha mafuriko katika…
7 December 2023, 1:43 pm
Uwanja wa ndege wa Arusha ni uwanja unaoongoza kwa kupokea ndege nyingi kuliko viwanja vyote nchini Tanzania lakini hautumiki kwa saa 24 kwa sababu ya kukosa taa. Na.Anthony Masai Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuanza kuweka taa katika…
11 November 2021, 3:47 pm
Na.Anthony Masai,Arusha. Baada ya kunyooshewa kidole cha malalamiko ya muda mrefu ya wananchi kuhusu huduma duni za ukusanyaji na uzoaji taka jijini Arusha,Meya wa jiji Maxmillian Iranqhe amefanya kikao kazi na mawakala wa usafi ili kutafuta ufumbuzi wa changamoto hizo.…
8 November 2021, 2:02 pm
Na.Sunday Douglas,Arusha. Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama machinga ambao walikuwa wamejenga vibanda juu ya madaraja, kandokando mwa barabara na maeneo mengine ambayo sio rasmi jijini Arusha,leo wameanza kuhama. Wamachinga hao wanahama kutokana na tangazo la Mkuu wa Mkoa Arusha, John Mongela…
8 November 2021, 12:50 pm
Na.Anthony Masai,Arusha Mkuu wa Mkoa Arusha, John Mongella amewataka wananchi wa Jiji hilo kutumia wiki ya kupambana na magonjwa yasioambukiza kwa kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya upimaji afya pamoja na kupata ushauri wa kitaalamu. Bwana Mongella amesema, maadhimisho hayo…
Triple A Fm is a private owned and a business oriented Radio Station Registered under the Act which formed TCRA.The Radio Station is part of other organizations which are under the umbrella of The Blue Triple A Limited registered under the Companies Ordinance (Cap 212 of the Laws of Tanzania) in 2002.The Radio Station officiated on air in 2004 under a District License to cover only one Regional of Arusha.The Owner is Mr. Papaking Sambeke Mollel and his Family.
Since 2004 Triple A Fm Radio Station works on providing contents based on youth empowerment ,and deals specifically with contents based on entertainment, sports, entrepreneurship and health .the company own only one frequency which is 88.5.
THE MISSION
As per the functions of Triple A Fm Radio Station ,the mission statement summarizes the Station roles,which is “To be an effective Radio Station that offering Needed and Quality Contents with time assurance”
THE VISION
“To be the most listened Radio Station in Arusha”
THE CORE VALUES