Radio Tadio

habari

6 January 2024, 00:54

Mbeya yatia saini mikataba ya upimaji na PEPMIS

Na Hobokela Lwinga Zoezi la Utiaji Saini wa Mikataba ya Mfumo MPYA wa Upimaji wa Utendaji Kazi wa Watumishi(PEPMIS) katika Mkoa wa Mbeya limefanyika ambapo limemhusisha Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo na Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa…

30 November 2023, 22:27

Kisa Simba, Yanga bodaboda Kyela wasogeza mbele uchaguzi

Uchaguzi wa kuwapata viongozi wa umoja wa bodaboda Kyela uliopangwa kufanyika Disemba 2, 2023 umesogezwa mbele mpaka Disemba 8, 2023. Na Nsangatii Mwakipesile Mwenyekiti wa uchaguzi wa waendesha bodaboda wilayani Kyela Widrey Mwasyeka ametangaza kusogezwa mbele uchaguzi wa chama hicho…

November 17, 2023, 6:53 pm

Watumishi 5 wafukuzwa kazi halmashauri ya Makete

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Makete Mh. Christopher Fungo pamoja na viongozi wengine katika kikao cha baraza la madiwani. Picha na Ombeni Mgongolwa Ili kuhakikisha maendeleo kwa wananchi yanawafikia hususani viongozi nao kuwajibika katika nafasi zao imeonesha utoro kwa baadhi…

22 September 2023, 2:53 pm

Mara waikubali ZUKU, waipokea kwa mikono miwili

Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora wake wa muonekano wa picha. Na Thomas Masalu Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora…